Wanamichezo saba wa Cameroon walioenda London kwenye Olympic wameingia mitini kwa sababu za kiuchumi [ wamezamia].
BBC News - London Olympics: Cameroon athletes 'abscond'
Wadau,
mara nyingi spika ama wenyeviti wabunge hulalamika kuwa muda wa kuchangia wa wabunge ni mchache kwa hoja mbalimbali na hili hudhihirika hata kwa wachangiaji kujikuta wakipigiwa kengela za...
Nimekuwa nikifuatilia hii michuano, imekuwa na kizungumkuti sana. Imeletwa bila mipango thabiti kwani timu zimekosa viwanja kama uwanja wa Sheikh Amri Abeid (Arusha), uwanja upi utumike kati ya...
Ni kiama barani ulaya; wakati ligi mbalimbali zikikaribia kuanza huwa kuna utaratibu ma bingwa wa ligi kucheza na bingwa wa kombe la ligi ktk nchi husika.
11/8/2012 Juventus vs Napoli...
Ni kiama barani ulaya; wakati ligi mbalimbali zikikaribia kuanza huwa kuna utaratibu ma bingwa wa ligi kucheza na bingwa wa kombe la ligi ktk nchi husika.
11/8/2012 Juventus vs Napoli...
http://www.azamfc.co.tz/news/club-news/2012/07/31/ngasa-akaribia-kutua-simba-sc-watoa-ofa-ya-milioni-25-yanga-waishia-milion
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Kiungo Ramadhan Suleiman Chombo Redondo leo amesajiliwa Simba SC, akitokea Azam FC katika mkataba ambao bado haujaeleweka, lakini habari za uhakika kutoka kwa Wekundu hao wa Msimbazi...
Kwa wanachama na wapenzi wa Dar Young Africans S.Club. Nawaomba muda huuu tuachane na propaganda za watani zetu wa jadi yaani Simba S.Club wenzetu wanajiimarisha katika kujenga kikosi chao wakiwa...
Kuna rafiki yangu kanitumia hii article:
Sextesting, head-covering, outing, unisex crying, flowers and more
Just a few mid-term up-dates on gender issues at the Olympics 2012...
Prezzo through to finals
By JOHN MUCHIRI jmuchiri@ke.nationmedia.com
Posted Monday, July 30 2012 at 01:45
Kenya's contestant in the Big Brother Africa reality show...
Mabingwa wa kusakata kabumbu ukanda mzima wa Africa ya Mashariki na Kati, Dar-es-salaam Young Africans almaaruf kama Yanga leo watakuwa bungeni kwa Mwaliko wa Waheshimiwa wabunge wanaothamini...
Can U imagine bila usajili wa Mshambuliaji Mrisho Ngassa na beki kisiki Mbuyi Twite mkutano wa wana Msimbazi leo ungekuwaje...issue ya kula rambirambi za Mafisango(RIP) (kwani wako wana Simba...
Edson Arantes do Nascimento - Pele (Brazil)
Lionel Messi - Atomic Flea (Barcelona)
Iddi Pazi - Tanzania One (Simba)
Muhammed Mwameja - Tanzania One au Meja (Simba)
Muhammed Hussein - Mmachinga...
Yule mchezaji mrefu na mwenye uwezo mkubwa wa kuzifumania nyavu, DIDIER KAVUMBAGU ametambulishwa rasmi na kukaribishwa kwa wana jangwani tayari kuungana na akina Kiiza na Bahanuzi katika safu ya...
Serena Williams of the U.S. (C) poses with her gold medal along with silver medallist
Maria Sharapova of Russia (L) and bronze medallist Victoria Azarenka
of Belarus during the presentation...
Leo asubuhi wamenikera kwenye kipindi chao cha michezo, eti wametangaza mechi kati ya Great Britain vs Korea iliyopigwa jana usiku eti hakukuwa na mshindi baada ya kuisha dakika 90 wakiwa drooo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.