Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Jana MAN ilishinda 2-1 dhidi ya Fulham,hii ni byby mancity.
0 Reactions
1 Replies
948 Views
Ndugu wana Jamii na wapenzi wa mpira nchini. Kwako TFF. Nawasilisha utetezi wangu kwako kuwahusu wateja wangu Yanga na wachezaji wake watano uliowapa adhabu hivi karibuni. Yanga anahusika kwa...
2 Reactions
29 Replies
5K Views
Kamati ya nidhamu na usuruhish ya tff imefuta adhabu walizopewa wachezaji wote wa yanga kwa sabb kamati iliyohusika kotoa adhabu ilikua imekurupukia kazi isiyokua yao.na kwamba adhabu hiyo...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Manchester United imerejea kileleni mwa EPL kwa tofauti ya points tatu baada ya ushindi wake wa bao moja dhidi ya Fulham.Bao hilo pekee lilifungwa na Wayne Rooney muda mchache kabla ya...
0 Reactions
1 Replies
930 Views
Kutokana na mwenendo usioridhisha wa Inter Milan,klabu hiyo imemtimua kocha wake Ranieri.Wakati huohuo,ikikabiliwa na kibarua kigumu dhidi ya Barcelona hapo kesho,klabu ya AC Milan inaandamwa na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Inter Milan wamemtimua kocha wao Claudio Ranieri baada ya kushinda mechi moja kati ya 10 za ligi. Hapa tunajua wazi nani anaenda kuchukua hiyo nafasi: Andre Villas-Boas
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuweza kujua idadi ya watazamaji wakati mpira unakaribia kwisha ni hatua kwa kweli..
0 Reactions
10 Replies
2K Views
We wish him a very speedy recovery SAMATA out for ten days! The scorer of the goal against Power Dynamos of Zambia in Kitwe, the attacker Tanzanian Mbwana Ally SAMATA will be sidelined for 10...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana JF, jioni ya leo kutakuwa na Mechi kati ya Man U ikipambana na timu ya Mwarabu,Fulham. Wana Man u tuiombee timu yetu ili tuzidi kuiacha Man City........NAWASILISHA
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu kwa mwaka wa tatu sasa huwa nacheza kamari kwa kubet mechi za soka hasa ligi ya Uingereza pale New Africa Casino through ladbrokes tokea nasoma IFM na hadi sasa kwa miaka mitatu nimepoteza...
0 Reactions
17 Replies
10K Views
Mie nashangaaa sana....yaani leo kila sehemu ni simba simba eti wanawapa dole tupu kwa kuifunga timu dhaifu ya aljeria....hakuna m[pira wowote tz aisee msiwape sifa wala nini.....waambieni wapige...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari wapenda soka naona mashabiki wanazidi kuingia uwanjani kusubiri mtanange unaotarajia kuanza punde karibuni tupeane update,simba oyeeeeee! FT:simba vs Es setif 2:0
0 Reactions
21 Replies
6K Views
NDUGU ZANGUNI BADO TUNAWEZA KUREKEBISHA MATOKEO LAKINI MPAKA DK YA 63 MAGOLI NI KAMA HAYO HAPO JUU DUA ZA WATANZANIA MZIDI KUIOMBEA SIMBA TUWEZE KUTAFUTA HATA DRAW gUDNYT ALL
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nova2010 FC yachapwa 58-0 Wakuu na wachezaji wa timu moja inayocheza soka ya mitaa au bustani, wanajitahidi kutathmini kilichotokea na kusababisha kinachoaminika kua kipigo kikubwa kuwahi kutokea...
0 Reactions
1 Replies
863 Views
Mchezaji wa kulipwa wa mpira wa kikapu wa Tanzania, Hasheem Thabeet amechukuliwa na klabu ya Portland Trail Blazers inayoshiriki kwenye Ligi ya Mpira wa Kikapu nchini Marekani (NBA) kutoka klabu...
0 Reactions
0 Replies
882 Views
Ligi imefika patamu sasa,sisi Manu tunachekelea tu kwani mechi zetu zilizobaki ni nyepesi ukilinganisha na jirani zetu.Leo wana kibarua kigumu kwa stoke.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hatimaye Barcelona imerudi kwenye mbio za ubingwa baada ya mfulululizo wa Madrid kutoa suluhu. wakati jumapili walitoa suluhu ya 1-1 na malaga kwa free kick ya dakika za mwisho leo pia wametoa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamani wapenzi na wadau wa Simba SC tupeane habari za mechi ya kesho, naona kimya mno hapa jukwaani. karibuni
0 Reactions
6 Replies
2K Views
kwa wale wasiojua kitu chochote kuhusu "Supper rugby" kuweni nami hapa nitajaribu kadiri ya uwezo wangu ku explain kuwajulisha machache ni ya juao . South Africa, Australia na New Zealand ...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani kuna mtu yoyote ana information na huyu mtu (John Stephen Akhwari) yuko wapi na anafanya nini?. Watu kama hawa wanapaswa kutuzwa kwa uzalendo walionyesha hasa kwa kizazi chetu cha sasa...
0 Reactions
1 Replies
996 Views
Back
Top Bottom