Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Waungwana Game ya Jana MancityvsChelsea was very compettive, the absence of terry meant we were to loose. but vijana wamecheza kiume, i belive with this spirit we gonna cause some problems to the...
0 Reactions
1 Replies
790 Views
Wanapaswa kupongezwa....ni game yao na Simba.....
0 Reactions
0 Replies
868 Views
Pamoja na manchester city kushinda jana tunaimani kubwa na ubingwa wa EPL kwetu sisi Manu.Na itakuwa vizuri sana kama mechi ya mancity na Manu iamue bingwa.
0 Reactions
0 Replies
897 Views
Siku 2 zilizopita tff kupitia mzee tenga wamemzawadi sh.laki tano mwamuzi muisrael mkongo eti kwa kumudu mchezo kati ya yanga na azam.sitaki kuzungumzia kama kweli alimudu ule mchezo au lah.pia...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Soka la waafrika wazimu mtupu...... NINAVYOFAHAMU PIUS KISAMBALE NA ATHUMAN IDD 'CHUJI' NI NDUGU WA TUMBO MOJA, HUKU ATHUMANI IDD AKIWA AMEZALIWA TAKRIBANI MIAKA MIWILI KABLA YA PIUS. SWALI LA...
1 Reactions
35 Replies
6K Views
Hasheem amekua traded kwenda Blazers, atapata muda kidogo wa kucheza kwa sababu center wa Blazers Marcus Camby ameenda Rockets...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
hivi soka letu linaelekea wapi? Mnaona jinsi tfff wanavokurupuka kwa kufanya maamuzi ya kufurahisha hadhira! Huyu j.tegete amefungiwa miezi 6. Ni kweli alistahili adhab kwa kuingia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mchezaji nguli wa Barcelona,Lionel Messi anaongoza kwa kipato kati ya wachezaji wote wa kandanda duniani.Hii ni kwa mujibu wa kipato cha mwaka mzima wa jana.Messi anafuatiwa na David Bekham na...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Nimefurahishwa na moyo wa wana jf kwenye tukio la mchezaji mwafrika mwenzetu mwamba naamini kinachooendelea ni maombi yako na yangu ndio yamemfanya hata kumjua shori wake na kumtambua leo hii...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
tHE MATCH BETWEEN TOTTENHAM AND BOLTON HAS BEEN ABANDONED... THIS IS NOT LOOKING GOOD AT ALL FOR A CONGOLESE/BRITISH TETESI NI KWAMBA FABRICE MUAMBA AMEPATA ATTACK AND HE IS FIGHTING FOR HIS LIFE
1 Reactions
129 Replies
9K Views
Dr Sanjay Sharma revealed “one or two players” were due to have tests on Monday but now the whole of the squad wants to have the tests. Sharma also stated incidents such as Muamba’s are uncommon...
0 Reactions
0 Replies
669 Views
Jamani zinahitajika jezi za wapinzani wa simba kwenye kombe la CUF, Es Setif tukawashangilie kwa nguvu zote siku hiyo,nasikia zimeanza kuuzwa mtaani.tafadhali wana jf nipeni maelekezo pa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
The Coppa Italia Dilettanti may not be the most glamorous competition in Europe — it's contested by amateurs — but the tie between Torres and Unione Sportiva Termoli has thrown up an unusual...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana JF, kombe la club bingwa ulaya lanategemewa kutua nchini mnamo machi 27 mwaka huu. kombe hili linaletwa kwa udhamini wa kinywaji cha HEINEKEN.Je ujio wa kombe hili unaweza kuwa na athari...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
[COLOR=#ff0000][COLOR=#ff0000]Napenda kuwapa pongezi watangazaji wa michezo wa clouds katika kwa jinsi mnavofanya kaziyenu ya uandishi kwa masrahi na maendeleo ya timu yetu ya simba sc.nawataja...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hivi jamani kwanini hawa tff wanafanya maamuzi kupitia vipindi vya redio clouds na clouds tv a.k.a simba tv.ukitazama vizuri kile kinachozungumzwa na clouds ndicho kinachoamliwa na tff.mfano tff...
0 Reactions
1 Replies
990 Views
Uhakika wa Tanzania kuvuna medali za dhahabu umekuwa mkubwa sana baada ya kujitokeza wanandondi (Boxers) wa ridhaa wenye kiwango cha hali ya juu. TOC kushirikiana na TFF wamekubaliana wachezaji wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kocha wa yanga kostad papic amebwaga manyanga kuifundisha yanga.hii imetokana na uongozi wa yanga kumhoji kuhusu mahusiano yake na wachezaji kwani ilionekana anaendekeza chuki na baadhi ya...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Wezi wamevamia kwenye uwanja wa kutunzia makombe EMIRATES bahati nzuri hawakukuta kitu source:SKY SPORT
0 Reactions
6 Replies
994 Views
Back
Top Bottom