Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Wanamichezo humu JF! Mi kama mimi naona mchezo wa Tanzania Vs Zimbabwe kama nilivyoifuatilia Mi naona huyu (PM) wa serikali tawala anafaa kulalamikiwa mpk mwisho. KISA NI AHADI YAKE KWA WACHEZAJI...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Shirikisho la soka Ulimwenguni(FIFA) limetoa majina 55 ya wachezaji wafuatao kwa ajili ya mmoja wao kutangazwa mchezaji bora wa soka wa Dunia ha[po Januari 9,2012.Nani kiboko yao hapo? Kama wewe...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Beckham plays football with Filipino street children - picture special Published 14:41 02/12/11 By MirrorFootball Recommend
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ninavofahamu mie ajira ya utangazaji tbc ulizingatia sana ueledi, sasa nashangaa kuona katika mashindano haya ya cecafa tbc kwenye tv yao wanaandika "kilimanjaro" badala ya tanganyika au tanzania...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
sasa hivi ni kipindi cha pili. mechi zote zimefungana goli moja.goli la ethiopia limefungwa kwa njia ya penati na ADEN GRIMA anaye chezea al malek. Na goli la malawi limefungwa na HENRY KABICHI...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
hatimaye manchester united yatolewa kwenye kombe la carling na timu ndogo!haya yote yanatokana na kocha kupanga makinda makinda tu,natoa angalizo sir.alex ferg asipoangalia atakuja stafu kwa aibu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Floyd Mayweather Jr. challenges Manny Pacquiao to sign contract Found 5 hours ago on NESN.com: Via NESN: Floyd Mayweather Jr. has turned the tables on the Mayweather-Pacquiao storyline...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Tatizo la soka Tanzania na Afrika mashariki kuporomoka linatokana na TFF na SECAFA,hii inatokana na kulenga kwenye mapato zaidi kuliko kukuza mpira.Tuliona kagame timu moja ikipelekwa fainali kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
hadi sasa hivi mpira bado unaendelea. zanzibar 2 - somalia 0. over
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hivi tutaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu hadi lini?.Usemi huu wa mzee ruksa unaonekana haujatupa fundisho lolote walimu na wachezaji wa timu yetu ya taifa. Jana tumecheza na msumbiji mechi...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
sasa hivi ni kipindi cha pili. sudan wanashambulia sana na malawi wanazuia. Sudan wanacheza kwa malengo na mpira wa akili zaidi. hadi sasa hivi dak 21 kipindi cha pili MALAWI 0 - SUDAN 0. Mia
0 Reactions
9 Replies
2K Views
KUPIGA MIPIRA MINGI KWA KUTUMIA KICHWA KUNAHARIBU UBONGO. Footballers: Too many headers 'can damage the brain'BBC News - Footballers: Too many headers 'can damage the brain'
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wales manager Gary Speed found dead | Mail Online
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Jamani leo tumiminika kwa wingi kuishangilia kilimanjaro stars uwanja wa taifa saa 10 jioni ikipambana na Djibout.Nawaombeni wadau msiangalie matokeo ya nyuma kwani mtoto kama ni wako hata akiwa...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
kuna taarifa mechi ya stars ya kesho imearishwa kwa sababu zilizo nje ya uwezo wa TFF BINAFSI HATA WANGEENDA KUXCHEZA NASHAURI WATANZANIA MSIKIMBILIE KABISA KUANGALIA WALE WAVUTA BANGI WAKIONGOZWA...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
aaah kama kawa yetu leo tena tumelalwa tena uwanja wetu wa taifa! bao 1 tu na wanarwanda julio kama kawa sijui kama analakujitetea!!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Leo wamechoka kweli, sijui itakuwaje, dk ya 65 sasa wako nyuma 1-0
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Shirika la Utangazaji nchini TBC imerejea katika maonyesho ya soka na kwa kuanzia wataanza na Challenge Tusker Cup inayoanza kutimua vumbi hapo kesho katika uwanja wa Taifa. Kwa mujibu wa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
SKY SPORT:sir alex ferguson has removed any doupt reguarding Rio fnrdinand's future by cleiming the center-half can play on for another couple of years'. WENGER BLEMES FITIGUE FOR DRAW Asner...
0 Reactions
1 Replies
882 Views
check video, huyu kocha lazima atupeleke kwenye kombe la dunia, akishindwa huyo basi tena tuache kucheza mpira wa miguu...Kocha Kibokoo.wmv - YouTube
0 Reactions
0 Replies
994 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…