Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Mshindi wa mechi ya leo kati ya Simba ya Yanga ameshajulikana. Ni Azam FC! Leo hii Simba na Yanga watakapomenyana Uwanja wa Taifa kama kawaida watajaza uwanja mpaka pomoni. Ili kuwahi viti...
2 Reactions
3 Replies
5K Views
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Huu sio ubinadamu najua wengi watafurahia lakini ushindi wa man city 6 man u 1 sio ubindamu wafike wakati waanafunga waangalie wanachezea wapi na wachezaji waliopo wako kiwango gani;;ingawa ni...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakuu leo nimesikitika sana,kuna kipindi nimeangalia ITV cha guiness sport,kuna madogo sijui wametoka wap!maswali marahis wamechemsha,walikua wanashindana na wakenya na waganda!mtu hajui hata jkt...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
wakuu habari yenu ebwana mimi kiukweli simkubali kabisa kipa wa manchester united wa sasa david de gea ...... Anafungwa kizembe sana, anatema mipira kizembe sana hajui kupanga mabeki wake wakuu...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Jana Serengeti baridi zilikuwa zinashuka taratiiibu huku nikimshuhudia David Sylva akionyesha some worldclass kiwango! Wazee what inauma zaidi kati ya kufungwa 8-2 ugenini tena ukiwa na kikosi cha...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Pengine naweza kuwa sheikh ya hya kwa mechii hii ya jumamosi pale taifa sipendi kusema mengi ila nasema na ntarudia kama oden atabaki kuwa mwamuzi wa simba na yanga ;wachezaji na mashabiki...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hivi huyu jamaa mbona simuelewi kabisa kwanini anajihita Mr Liverpool na alipewa na nani kwa vigezo gani? Halafu mie naona kama ni kujidhalilisha kujiita majina yasiyo na maana isipokuwa utumwa na...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Hahahahaaaaaa amezidi kulalamika! Lol!
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kibarua cha kwanza cha Papic ni mechi dhidi ya Simba tarehe 29 October, 2011.
0 Reactions
1 Replies
784 Views
Jaana kuna website nimesoma asbh aliamshwa na mkewe kwa ajili ya chai akamwita Hny come for breakfast aliposhtuka akauliza ""wameongeza lingine tena""""" Mapenzi kweli kizungumkuti mke...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Yanga wamekatisha mkataba wa kocha wao Sam Timbe na kumrejesha aliyewahi kuifundisha timu hiyo ya Jangwani Kostadic Papic. source: radio one. My take: Watani wetu isije kuwa mnatafuta...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Huyu bwana ni bad boy in nature au matatizo huwa yanamfuata tu kwa bahati mbaya?! Alituhumiwa kuwatupia vitu wachezaji wadogo wa Man City, Giggs kamtuhumu kama pro football palyer anayeongoza kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sergio Busquets - racial slur against Marcelo Hapa Busquets anaonekana anataja neno "MONO" kwa mchezaji wa Madrid Marcelo. Neno hilo ni la kibaguzi nchini Hispania Source>>>>>YouTube -...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Timu za soka za Ligi Kuu Moro Utd, African Lyon na Villa Squad ndizo mpaka sasa zimetangaza rasmi nia yao ya kuutumia uwanja wa Chamazi Complex nje kidogo ya jiji, uwanja huo unaomlikiwa na...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Wakiwa nyumbani OT,Man U wamegongwa 6-1 na mahasimu wao wa jadi Man city.Hii aibu ni sawa na mtu mzima kuogeshwa roundabout ya Msamvu-Moro mchana kweupeee!
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Ni mda sasa tangu ligi kuu ya Barclays Premier Legue ianze..kinachonishangaza na kunisikitisha ni pindi mechi inavyochezwa kila kitu Tanzania kinasimama vijana wa vijiweni ndiyo usiseme..kwa maana...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
She ìs a fan of manchester united... She is suffering from 6 goals.. Dats why she is logging in jf so that she can remove her stress
1 Reactions
14 Replies
2K Views
kiongozi huyu wa timu ya yanga amepewa tuzo ya heshima kwa kutambua mchango wake katika soka la Tanzania.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom