Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Inakaribia miaka 30 sasa tangu Tanzania ishiriki mara ya mwisho kwenye mashindano makubwa zaidi ya soka barani Afrika, CAN. Na kwa hali jinsi ilivyo kwasasa sidhani kama tunaweza kushiriki kwenye...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wapendwa, tukio la siku hizi mbili timu zetu kongwe za Simba na Yanga kucheza pale Chamazi zimenipa fikra ya kutaka kujua nikiwa shabiki wa timu hii Simba Sports Club. Kwa muda mrefu viongozi wa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
sijui wanajisikiaje kutumia uwanja unaomilikiwa na klabu iliyoanzishwa miaka mitatu iliyopita wkt wao klabu zinakaribia karne nzima? Hawa watu kweli hata aibu hawana,duuh!
0 Reactions
15 Replies
2K Views
yanga imeonesha ungangari kugomea jezi za vodacom kutokana na kuwa rangi nyekundu. Lakini hatuoni ikigomea rangi nyekundu na nyeupe ambazo zinatumiwa na watu wa huduma ya kwanza maarufu kama red...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
sasa yanga mziki ndo umeanza baada ya kupata uwaja wa ukweli
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Serial a: Juventus 4 parma 0
0 Reactions
6 Replies
973 Views
Timu nyingi za ulaya naona zina wanyama ambao kidogo wanafanania na simba lakini sio simba. Miongoni mwa timu hizo ni Manchester United na Chelsea. Man wanamwita mnyama wao SHETANI MWEKUNDU, je...
0 Reactions
8 Replies
10K Views
Ona official website yao, last time ilikuwa updated July. Hii ni aibu sana kwa club yenye wapenzi duniani kote. www.yangasc.com
0 Reactions
3 Replies
1K Views
NATAMANI KUSIKIA LIGI IMEISHA YA TANZANIA BARA KWA MSIMAMO HUU JAMANI SIJUI MAONI YENU
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu napenda tujumuike pamoja katika mada hii inayoendelea kwa sasa katika Star TV na itakamilika majira ya saa 3:00 ASUBUHI Tupo Live, weka maoni yako hapa na yatasomwa LIVE Nawasilisha
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ama kwa hakika ni tarehe 13 ya mwezi wa 9 ktk dimba la Nou Camp ambapo kutakuwa na mechi kati ya mabingwa watetezi wa klabu bingwa barani Ulaya yaani Barcelona watakapo pambana na mabingwa mara 7...
2 Reactions
40 Replies
4K Views
  • Poll Poll
:msela:Following the English Premier league (BARCLAYS PREMIER) start-up this season of Manchester United and Chelsea, who do you think will dominate/win the race at the BIG MATCH this weekend?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Haya wapenda tennnis na wanafatalia kina serena williamd andy muuray federer Tundeleeeee. Hapa tujadiliane mashindandano ya ATP na grand slam za mwaka huu 2011 Nimeona jana Andy Murray...
0 Reactions
246 Replies
18K Views
The Citizen (Dar es Salaam) 8 September 2011 Dar es Salaam — The International Amateur Athletics Federation (IAAF) has showered praise on the Tanzania Olympic Committee (TOC) secretary general...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani wana jf naomba mnijuze yanga wana matatizo gani? Kila cku draw hadi wanaboa! Au ule ubingwa wa east africa 2lipewa? Wenye details chanzo cha matatizo Yanga anijuze.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama wafanyavyo wenzetu Ulaya na kwingineko duniani,ligi yetu ya Vodacom ingekuwa inasimama ili kupisha michezo ya kimataifa.maana kwa sasa kuna timu zimeshacheza mechi tano zingine zina 2...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa timu hii ambayo siasa imejikita ndani huku uswahili ushachanua ni vigumu kuifunga Algeria!! Binafsi namuona kocha kawa mswahili,tff wamekuwa wanasiasa na serikali ipo ICU ikisubiri kujifungua...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Bila ubishi mechi ya jana ya kufuzu katika mashindano ya AFCON 2012 kati ya Taifa Stars v/s Aljeria ilikuwa nyepesi sana kwetu kama utulivu,umakini na weledi(proffessionalism) ungekuwepo. Tuliwapa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Na Dina Ismail ALIYEWAHI kuwa Katibu wa Klabu ya Simba na Mwenyekiti wa Chama cha Soka Mkoa wa Pwani (COREFA), Hassan Othman ‘Hasanoo’ anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Timu ya Taifa ya Taekwondo inatarajiwa kuondoka siku ya Ijumaa tarehe 9 Sept 2011 kuelekea maputo Msumbiji kushiriki kwenye michezo ya Afrika. habari kutoka ndani ya kambi hiyo zinadokeza kwamba...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom