Hivi Why Is It That World Class Players Wakienda Real Madrid Wanaflop Big Time?? Its Happend To Countless Players More Recently Kaká. This Is A Proven World Class Player With A Ballorn Dor And A...
mi nashindwa kuelewa maana hapa nchini imekuwa kama vile nchi ni ya wacheza mipira ya miguu tu,watu wanaocheza basketball,volleyball hata hawathaminiwi kama wacheza mipiira ya miguu,maana hata...
Rage aapa kutokanyaga KinshasaMwenyekiti wa Simba, Ismail Aden RageMICHAEL MOMBURI, KINSHASA MWENYEKITI wa Simba, Ismail Aden Rage, ameapa kwamba timu hiyo haitakanyaga Kinshasa milele na...
Wakala wa kiungo raia wa Kenya Victor Wanyama amethibitisha kuwa klabu ya Celtic ya Uskochi wamekubali kumsajili mchezaji huyo.
Wanyama ambaye ni mdogo wake kiungo wa Inter Milan MacDonald Mariga...
Alexis Sanchez ameipiga chini Manchester City baada ya kukataa kupanda ndege kwenda kufanya mazungumzo ya kujiunga na Matajiri wa Premier League kwa dili lenye thamani ya £30 million.
Superstar...
By Mike Henson
BBC Sport at Wimbledon Wimbledon Championships
Venue: All England Club, London
Date: 20 June-3 July
Coverage: Live on BBC One, Two, 3D, HD, Red Button, online (UK only), Radio 5...
Wimbledon Championships
Venue: All England Club, London
Date: 20 June-3 July
Coverage: Live on BBC One, Two, 3D, HD, Red Button, online (UK only), Radio 5 live, 5 live sports extra; live text...
Mrisho Khalfani Ngasa apata zali.Ameitwa na timu ya Seattle Sounders ya ligi kuu ya Marekani.AMEPEWA DAKIKA 15 za kuonyesha uwezo wake katika mechi kati ya Seattle NA Manchester United-mashetani...
Nilikuwa napitia Tovuti ya BBC SPORT..nimeona HABARI kuwa kuna wachezaji wa Zambia wanaocheza Katika Ligi ya huko FINLAND wanatuhumiwa kuwa walichukua Mlungula(RUSHWA) ili wapange...
Ni dhahiri kuwa kwenye utawala bora mtu asiporidhishwa na jambo fulani anayo haki kukata rufaa kwa chombo cha juu cha maamuzi.
Simba SC ilikata rufaa dhidi ya Bw. Kabangu kuchezeshwa na TP Mazembe...
Mechi ya Nigeria na Tanzania U23 kuelekea michuano ya Olimpiki imeahirishwa kutokana na mvua kubwa iliyonyesha Benin City na kufanya uwanja ujae maji. Baada ya ukaguzi, waamuzi walikubaliana kuwa...
Ndugu Wanachama,
Naona leo Tanzania imekununtwa 3-0 na Nigeria katika kolifikeshen ya Olompik.
Tanzania lini itaendelea kimpira ?
Kila ikishiriki katika mashindano ya nje haifanyi vizuri.
Avenging what happened five years ago in perfect turnabout style, theDallas Mavericks won their first NBA title by winning Game 6 of these finals in Miami 105-95 on Sunday nightcelebrating on the...
Premier League fixtures 2011-12: Manchester United start defence at WBA Champions play Spurs, Arsenal and Chelsea in first five games
Kenny Dalglish...
Ligi ya mkoloni wetu, english premier league imesimama. Timu zinajiimarisha kwa kusajili wachezaji wapya. Mi natabiri top 4 itakuwa chelsea, man u, man city na liverpool. We unasemaje khs top 4