Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kwa mwendo WA ukataji ticket wa mashabiki wa simbasc ulivyokua na Kasi wanaeza kuuza ticket zote siku mbili kabla ya Tamasha, kwasasa bado 15% tuu wauze ticket zote, wakati kule upande wa Yangasc...
4 Reactions
20 Replies
799 Views
Ndio maana Manara anawapanda kichwani. Organisation haina known e-mails wala contacts online. Kuna shida, kuna watu wanajimilikisha hii team.
2 Reactions
17 Replies
605 Views
Siku zote Thamani ya Mjanja anayejitambua kama Rafiki yangu Bila bila haiwezi kuwa ya kupewa Shilingi Milioni 200 kwa mwaka wakati Mjanja mwingine anayejitambua kama GENTAMYCINE Yeye anajijua...
1 Reactions
12 Replies
609 Views
kikosi cha timu ya wanawake simba queens kimesajili viungo wapya kutoka timu ya yanga princess. viungo hao washambuliaji ni Precius Christopher, kiungo mkabaji Saiki Atinuke na mlinzi wa kushoto...
1 Reactions
2 Replies
372 Views
Wakati Jude Bellingham aliposaini Borussia Dortmund, wazazi wake waliamua "kugawanyika" kusaidia wana wao wawili. Mark baba alibaki na Jobe mchezaji wa sasa wa Sunderland na Denisse mama...
2 Reactions
3 Replies
395 Views
Ni vizuri tukaanza kuwekana sawa maana maneno na majigambo ya wenzetu Kono la nyani yamekuwa mengi mtaani wakitambia usajili wao kuwa ni hatari tupu sasa ni Bora tuliweke hili vizuri na wazi...
7 Reactions
31 Replies
1K Views
Wadau hamjamboni nyote? Haijataja kutokea kwenye historia ya mapikezi ya timu ya soka Tanzania Maelfu Kwa maelfu ya wapenzi wakesha usiku wakisubiri kuwasili kwa mabingwa hao wa Ligi Kuu Tanzania.
13 Reactions
101 Replies
3K Views
Kaulize wazazi wake ;; 🚨_|| π—•π—’π—Ÿπ—” π—žπ—¨π—œπ—£π—˜π—Ÿπ—˜π—žπ—” π—¦π—œπ—‘π—šπ—œπ——π—” π—™π—œπ—™π—” ➑️ Winga wa Singida Black Stars, Manu Bola πŸ‡¨πŸ‡© ameipeleka klabu yake katika Shirikisho la soka duniani (FIFA), akishinikiza kuvunjiwa...
3 Reactions
8 Replies
575 Views
Kwenye mkataba wa Kibu Denis na SimbaSC kuna kipengele walichokubaliana kuwa, akipata timu Ulaya aruhusiwe kuondoka. Kipengele hicho ndicho kinampa uhakika na jeuri ya kuondoka katika klabu ya...
9 Reactions
64 Replies
3K Views
Kampuni Ya GSM, Leo Tarehe 07/02/2022 imetangaza kujiondoa Kwenye Udhamini Mwenza Wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Ikimbukwe kuwa Kampuni Ya GSM iliingia Makubaliano Ya Kuidhamini Ligi Kuu Tanzania...
13 Reactions
165 Replies
14K Views
TFF mna Roho Mbaya sana na wala hamna Huruma. au mna Agenda yenu ya kutaka Watu wavurugane zaidi mapema yote hii?
10 Reactions
28 Replies
1K Views
Mchezaji mpya aliesajiliwa Simba kwa ajili ya msimu ujao, Yusuph Kagoma amepata majeraha ya mguu yatakayomweka nje ya uwanja kwa miezi kadhaa.
2 Reactions
27 Replies
1K Views
Hizi ni timu pendwa sana kwa watanzania wa rika zote, dini zote na vyama vyote vya siasa. Kwa ushauri wangu msijifungamanishe na vyama siasa na wanasiasa, msijinasibu na dini yeyote kama...
2 Reactions
10 Replies
690 Views
Naamini nimewahi kuleta walau uzi mmoja kuhusiana na mada ya Utalii wa Michezo, ila leo nitakuja na angle tofauti kidogo kutokana na kile ambacho nimekishuhudia siku za hivi karibuni. Bila...
1 Reactions
0 Replies
213 Views
Anaandika Idd Rashid ( Iddmastory). Alessandro Del Piero alizaliwa Novemba 9, 1974 huko nchini Italia katika familia ambayo baba yake alikuwa ni fundi umeme na mama yake akiwa ni mama wa nyumbani...
1 Reactions
0 Replies
270 Views
Hapa tutafarijiana tu ila kiukweli na hasa Kiufundi hasa kwa maeneo yote Simba SC ya sasa kwa Yanga SC bado mno.
19 Reactions
73 Replies
3K Views
Haji Manara leo amejikweza sana kwenye redio yao ya unafiki na umbea mwingi akidai kuwa yeye ndio msemaji wa Yanga na mkataba wake unasema hivyo, ametamba sana na kuitisha Simba isipeleke timu...
1 Reactions
5 Replies
637 Views
SHAFFIH DAUDA:SITOSHANGAA YANGA MSIMU UJAO WAKAALIKWA ULAYA. "Nimefuatilia PreSeason ya Yanga kwa maana maandalizi yao ya msimu mpya wakiwa hapa nyumbani na baadae kwenda Afrika Kusini kwa...
8 Reactions
8 Replies
537 Views
Klabu ya Azam fc yaonjeshwa ladha ya mchezo wa ligi za mabingwa kwa kupokea kichapo cha bao nne kwa moja dhidi ya wenyeji wao Wydad Casablanca inayoongozwa na aliyekua kocha wa Mamelod Sundowns...
2 Reactions
5 Replies
480 Views
Inashangaa sana kwakweli, haya mambo wanayofanya hayawezi kufanywa na mtu mwenye akili timamu. Ni vibaka/wahuni/watu wasio na kazi ndio wanaweza kuyafanya haya. Saa 9 usiku unaacha mke/mume wako...
5 Reactions
6 Replies
417 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…