Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Nasikis paredi imeandaliwa kabisa baada ya kutwaa IST Cup. Wanayanga watatembea vifua mbereee kunadi hicho kikombe ambacho wakifanya mchezo hawanyanyui tena kwapa msimu huu. Yanga bana...
0 Reactions
13 Replies
766 Views
Habari WanaJamiiForums, Naomba msaada wa kumpata mwalimu wa CHESS maana natafuta mwalimu wa mchezo huu lakini imekuwa changamoto. Msaada wenu please
3 Reactions
22 Replies
610 Views
Haya ni maneno ya Gamond Jana "Nilikuwa naweza kuimaliza mechi kipindi cha kwanza sema nikahofia kuwavunjia heshima wanyeji wetu walio tualika" ~ Gamondi. Mambo ya Gamond Jana goli la kwanza...
8 Reactions
21 Replies
855 Views
Ni habari gani sasa unaweza kuipokea mikono miwili kutoka Yanga? Nje ya nje uliyoishuhudia mwenyewe? Hii haijaanza leo, ila sikutegemea kama ingeendelea hadi leo. Taasisi yeyote kuwa katika...
2 Reactions
22 Replies
951 Views
Amini usiamini, simba na yanga wanajuana na ndio maana ni ngumu sana kwa vilabu vingine kugombea kombe lolote dhidi ya miamba hii miwili hapa nchini. Azam anajitahidi kufurukuta ila anazidiwa nje...
2 Reactions
9 Replies
562 Views
Mnyonge mnyongeni huyu mzee ndio ametambulisha kwa ukubwa matumizi wa hayo maneno kwenye uwanda wa football hapa nchini. Simba wamlipe huyu mzee kwa kutumia hayo maneno. Kama humjui mzee mbwiga...
5 Reactions
38 Replies
3K Views
Naombeni msaada kwa mtu yeyote au fundi ambye anajua frequency za kisimbuzi cha Canal +, nmenunua lakin fundi ameniomba niulizie frequency zake. Na je ushauri, dish lake la Canal + naweza pata...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Klabu ya manchester united nchini England imepitisha mpango wa kujenga uwanja mpya wa mpira utakaokua na manufaa zaidi kuliko kukarabati ule uliopo [old trafford], uwanja huo utakaobeba mashabiki...
1 Reactions
2 Replies
351 Views
Yanga walicheza mpira mkubwa hadi mashabiki wa Kaizer chiefs walipokuwa wakizomea Kwa nguvu mwanzoni mwa mchezo walianza kushangilia Kwa nguvu. Hakika hii ni ajabu katika mpira, team ipo kwao ila...
5 Reactions
8 Replies
793 Views
Post aliyoweka jana akiaga mashabiki kaifuta kwenye ukurasa wake, je ni kweli kaondoka tena au ni kiki tu za michezo ila alikuwa amemaliza mkataba wake na hivyo kuongezewa mkataba mwingine? Zaidi...
10 Reactions
46 Replies
2K Views
Hizi tetesi tu, inasemekana mauza uza yamekuwa mengi ndani ya club siku chache zilizopita. Njiwa wamekuwa wakionekana ndani ya ofisi ya idara japo madirisha na milango imefungwa. Bundi, na wakati...
12 Reactions
56 Replies
2K Views
Hii Taarifa ina ukweli gani? Hiyo hata ningekuwa mimi, Mtu kaita Waganga wote kutoka Rufiji waje wamzindike halafu uendelee kushangaa, labda kama hujitaki === Ally Shaban Kamwe baada ya...
17 Reactions
171 Replies
11K Views
Rais wa clabu ya yanga Eng. Hersi pamoja na makamu wake Arafat Haji wamefanikiwa kumrejesha kazini aliyekua msemaji wa yanga Ali Kamwe katika nafasi yake ya meneja habari na mawasiliano na...
2 Reactions
0 Replies
285 Views
Uongozi wa klabu ya Yanga kupitia kwa Makamu Mwenyekiti wake, Fredrick Mwakalebela umesema hautaweza kuvaa jezi yenye nembo nyekundu ambayo ni nembo ya wadhamini wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Vodacom...
12 Reactions
218 Replies
24K Views
Furaha za ushindi wa yanga jana dhidi ya Kaizer Chief zimeingia dosari kufuatia sintofahamu ya afisa habari wa klabu hiyo kutoa chapisho lenye utata. Maelfu ya mashabiki na wanachama wamekusanyika...
10 Reactions
36 Replies
2K Views
Binafsi pamoja na kuwa ni Mpinzani wako ( nikiwa mwana Simba SC ) ila nilipenda na nimependa mno ambavyo umeleta Mabadiliko makubwa katika hiyo Idara ya Usemaji wa Yanga SC. Najua kuwa kuna muda...
2 Reactions
0 Replies
394 Views
Yaani aisee ulaya itazidi kuwa juu mpaka dunia itapoishia yaani huu uchafu waliozindua simba na yanga mmoja kazindua sanda yaani mijezi haieleweki aisee imekaakaa kishamba. Mwingine jana usiku...
9 Reactions
97 Replies
2K Views
Kule Afrika Kusini Yanga imecheza na Kaizer Chiefs kombe la TOYOTA na kulazimika kuvaa logo ya TOYOTA kifuani mwa jezi yenye rangi nyekundu. Binafsi nilidhani Yanga inakataa logo za wadhamini...
1 Reactions
1 Replies
419 Views
update kutoka simba app. hadi sasa simba yuko nyuma kwa goli moja _____________ Simba wanapata goli la kusawazisha kupitia kwa Valentino Mashaka
8 Reactions
60 Replies
4K Views
Back
Top Bottom