Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

kila siku nikifungua katika sehemu hii nipate kujua msimamo wa ligi yetu ya tanzania sioni thread inayozungumzia. utaona mambo ya ligi za ulaya na hasa uingereza naomba tutumie thread hii...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
JEREMY INSON, Associated Press Writer MILAN (AP) ― Cameroon striker Samuel Eto'o responded to racist taunts from Cagliari fans by scoring the only goal as Inter Milan beat Cagliari 1-0...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kwa kweli wana yanga wenzangu atuna budi kujipongeza kwa kumfunga mnyama kwa mara ya pili na wakati huu tukielekea kupongezana si haba kuchukua maneno ya papic kwamba akuamini yanga ingeza mpira...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mtanange wa watani wa jadi Kati ya SIMBA na YANGA utakaopingwa Jmosi utaonyweshwa moja kwa moja (live) na kituo cha Startv kuanzia saa 10 jioni, timu zote zimejinasibu kuwa zimefanya maandalizi...
0 Reactions
144 Replies
16K Views
Baada ya kutesa kwenye mieleka ataweza shuruba za MMA? Dave Bautista talks about MMA and leaving the WWE - ESPN
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimezitazama sana team zote za ligi ya Uingereza mwaka huu hakika kiwango chake kimepungua ajabu..naona Ligi ya Spain na Italia bomba mara kumi. Nachokoza!
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Unamkumbuka kwa jema lipi ambalo linapaswa kuendelezwa au kwa baya lipi ambalo halitakiwi kurudiwa tena?
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Ni vute ni kuvute mara wachezaji wamenywanganywa simu mara kambi ulinzi mkali yanga kunako Kirumba majira ya saa kumi tarehe ya 2010-10-16, je yanga watachomokoa mbele ya mnyama aliyetuka kwenye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mnasoma sana habari za uchaguzi, hebu kuleni tano bora: Wengi tunafahamu kuwa Reggae Music ni mziki wa Wajamaica. Ni moja ya miziki ambayo ilivumbuliwa kwenye STUDIO na siyo kwenye majumba ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Shirikisho La Mpira wa Miguu nchini (TFF) limemsimamisha kazi afisa habari wake, Florian Kaijage (pichani) kutokana na fedheha ya kushindwa kutimiza itifaki muhimu ya kupiga nyimbo za taifa...
0 Reactions
85 Replies
10K Views
Kwa wale wapenzi wa sposisis spotisisis..... Ghaaa sport ni kwamba kesho jmosi agape television network wataonyesha live mechi ya english premier league kati ya fulham na spurs, na huu ni mwanzo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
jamani hiki ni kichwa cha kawaida ama jamaa alibeba mizimu ya ufaransa..kichwa kimdondoshe hivi loh!!we zidane pumzika kwa amani kwa style hii mmh ulipokuwa unaelekea ungeingia na kisu uwanjani
0 Reactions
2 Replies
2K Views
TFF ni wajanja sana badala ya kushughulikia mambo mazito yakulidhalilisha taifa tena nyumbani kwa kufungwa na timu dhaifu ya Morocco wao wanaona suala la wimbo wa taifa ndiyo kivuno cha kutufanya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
BBC Sport - Commonwealth Games medals table
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ebu angalia mmbo ya chama kubwa hayo1
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Poleni na majukumu wadau, naomba nizungumzie kitu ambacho nimekiona na kimenikera wakati wa mechi ya taifa stars na morocco. Kwanza: Utaratibu wa ukataji tiketi, hivi kweli kwa hadhi ya uwanja...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MOSES Kipsiro raced into the record books with Uganda’s first double gold at a major international event yesterday. He again defied a Kenyan onslaught, charging into the lead in the final 400m...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kocha wa Simba FC Mzambia Patrick Phiri anatarajiwa kusign kuifundisha Azam FC mkataba wake utakapoisha mwezi November mwaka huu. Source: Azam FC Official website
0 Reactions
4 Replies
1K Views
The bad omen of Stars losing the game started at the very outset, when CDs of the national anthems of two countries were nowhere to be seen, prompting the Tanzania Football Federation (TFF) to...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…