Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

𝗠𝗔𝗗𝗨𝗡𝗗𝗨𝗞𝗔 Just imagine wewe KOLO umelipia App yako halafu admin anakudanganya Waziwazi Dakika ya 71 Chambi anatoka then Dakika ya 88 anafunga😂. Kweli nimamini maneno ya Mzee wangu Rage...
9 Reactions
10 Replies
682 Views
FT Wydad 4-1 Azam
10 Reactions
45 Replies
2K Views
Naona kabisa kwa trend hii tunaenda kupotea. Huu mwendelezo wa kila mtu kulaumu ooh timu mbovu mara wachezaji hawachezi mara sijui Mo kafanyaje kwakweli itenda kutugharimu... kivipi 1) Hii hali...
12 Reactions
49 Replies
3K Views
Naomba wanaojua mpira na wenye akili Timamu bila Ushabiki -Tudiscuss jambo hapa mimi ni Fan wa YANGA kindaki ndaki toka mwaka 2000 lakini kwenye SWALA LA JEZI tunazengua saana! Na ukweli lazima...
9 Reactions
30 Replies
1K Views
Najiuliza tu unacheza na vitimu vya madaraja ya chini uko ulikoenda na vinafanikiwa kupata magoli No clean sheet dhidi ya vitimu dhaifu vipi ukikutana na prince dube? Vipi ukikutana na jean othos...
4 Reactions
5 Replies
232 Views
Baada tu ya Dogo kubwaga Manyanga ghafla Simu Nne Kubwa zilipigwa Kwake moja kutoka kwa mwana Bagamoyo kwa niaba ya Baba, ya Singida, ya Dodoma na ya Zanzibar kwa mwenye Timu yake katika Karatasi...
5 Reactions
34 Replies
3K Views
Yawezekana au Nahisi huenda Mamlaka inayohusika na kupima Akili timamu ( Afya ya Akili ) za Mashabiki wa Vilabu barani Afrika kuna Klabu moja itajikuta / itakuwa ndiyo Kinara wa kuwa na Mashabiki...
3 Reactions
5 Replies
336 Views
Mtanzania Andrew Thomas Mlugu {uzito wa 73kg} ashinda mpambano wa kwanza wa mchezo wa judo katika mashindano ya 33 ya olimpiki ya majira ya joto huko nchini paris baada ya kumtoa mpinzani wake...
4 Reactions
7 Replies
556 Views
1. Kaizer Chiefs ya jana na ya sasa siyo ile yenyewe kwani bado Inajitafuta 2. Kaizer Chiefs ya sasa ( ya jana ) bado inajikongoja kwa miaka / misimu karibia saba 3. Kaizer Chiefs ya jana ( ya...
7 Reactions
22 Replies
763 Views
Yaani kabla ya Press Conference kuanza unawaambiwa Waandishi wa Habari kuwa Wewe huna Bosi katika hiyo Idara na kwamba huko ulishavuka. Hivi ungevuka huko kama unavyojinadi ungekuwa kutwa...
6 Reactions
5 Replies
611 Views
Wakuu, Kumbe na kwenye soka kiki ni dili! … Tumewaambia kilele ni August 4, lakini kama ilivyokuwa utamaduni wa Yanga sisi tuna Wiki ya Wananchi ambayo kilele chake ni ndiyo August 4, na hiyo...
2 Reactions
8 Replies
730 Views
Kaeni mkijua nyie utopolo kuwa Haji Manara hayupo Yanga kwa ajili ya mapenzi ya timu hiyo, yeye yuko Yanga kwa ajili ya GSM. GSM ndio inamlipa mshahara Yanga na mwenyewe amesema live kuwa...
1 Reactions
4 Replies
474 Views
Klabu ya Yanga Sc imemrejesha Ali Shaban Kamwe kwenye nafasi yake ya Umeneja wa Habari na Mawasiliano na Tayari amesaini Mkataba Mpya wa miaka miwili ndani ya Klabu hiyo. Uamuzi huo wa kumrejesha...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
with manara records of abuse. this the lowest yanga have gone. bad decision by the board and members. this is bad. we don't need uneducated fools in this modern era of football. Making 10...
1 Reactions
20 Replies
718 Views
Yaani kabisa Baba yako Mzazi akiri EFM Radio na EA Radio kuwa Wewe ni mwana Simba SC kisha useme ni Yanga SC?
5 Reactions
60 Replies
1K Views
Hapo vip!! Kwanza naomba Admin tafadhali acha ku edit kichwa cha habari cha hii thread tafadhali. Moja kwa moja kwenye mada husika. Kuna msemo unasema kilicho kidhaifu huiga kilicho na nguvu..au...
1 Reactions
37 Replies
2K Views
Jana imefanyika match ya kirafiki huko Misri kati ya Simba zidi ya Telecom, match ilikuwa live kwa kuhadithiwa kupitia Simba appl. Dakika 71 anatoka Chasambi anaingia Onana,chakushangaza dakika 88...
11 Reactions
28 Replies
1K Views
Naona kazi ya usemaji babu yetu Mzee Manara na yeye kaiingilia, yaani kazi iliyofanywa kwa ufanisi na weledi mkubwa, leo anaongezwa mtu mwingine. Leo katika mkutano na wanahabari, yaani ikawa...
8 Reactions
32 Replies
1K Views
Timu ya Wanawake ya Kikapu ya Australia imepata matokeo ya kushtua baada ya kufungwa Vikapu 75-62 dhidi ya Nigeria kwenye Uwanja wa Pierre Mauroy Jijini Lille. Mchezo ujao wa Australia “The Opals”...
0 Reactions
0 Replies
366 Views
#MICHEZO Timu ya Simba Queens imethibitisha kuinasa saini ya kiungo Amina Bilal ambaye msimu uliopita alikuwa akiitumikia JKT Queens na pia aakipiga mnamo timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania...
1 Reactions
4 Replies
525 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…