Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

as young Africans fans we did our work. the management shouldn't come forward we did advice them or sent letter of concern. if chaos happens. it's Hersi and management fault.
1 Reactions
15 Replies
609 Views
Kevin De Bruyne is STAYING at Man City this season, insists Pep Guardiola, despite reports claiming Saudi club Al-Ittihad had agreed terms with the veteran star Kocha wa Manchester City, Pep...
0 Reactions
1 Replies
473 Views
Haji Manara, semaji la Yanga lilifungiwa kujihusisha na masuala ya soka na likapigwa faini kwa utovu wa adabu. Hata hivyo, licha ya kufungiwa, Manara aliendelea kujihusisha na mchezo wa soka kama...
1 Reactions
8 Replies
932 Views
Hersi has experienced a lot of backlash recently, and the way I see it, he is facing trial after trial. Magoma's issue started with Manara. The case was attributed to fans not wanting Manara...
2 Reactions
20 Replies
949 Views
Timu ya Yanga kesho itatupa karata ya pili katika mashindano ya Mpumalanga cup kwa kucheza dhidi ya TX Galaxy. Mechi itakuwa live Azam sport 1 HD saa kumi jioni. Mechi ya Yanga ya kesho...
7 Reactions
6 Replies
590 Views
Sijui Kuna watu wa aina yangu yaani nikiangalia mpira wa Tanzania naona kama uchafu Fulani hivi jumlisha na viwanja vyao wanavyochezea kama kwenye matuta ya viazi basi naona kama jalalani mfano...
8 Reactions
178 Replies
3K Views
Ewe Mpenzi wa Soka na mfuatiliaji wa Timu kubwa Pinzani za Tanzania yaani Simba SC na Young Africans habari hizi zikufikie popopte ulipo. Timu ya Simba iliyopo kwenye maandalizi ya msimu ujao...
12 Reactions
81 Replies
5K Views
Karibu tena mtaalam wa hamasa Bugatti. Wewe ni mwananchi halisi. Unaipenda Yanga kutoka moyoni. Utaipandisha team yetu thamani. Manara ndo mhamasishaji mkubwa Tanzania ataipa Yanga thamani...
2 Reactions
14 Replies
710 Views
Hivi nyie wazee huwa mnatuchukuliaje vijana utakuta mzee anasifia wachezaji wa zamani unaweza kusema hao wachezaji waliipa Tanzania ubingwa wa dunia yaani katika vitu vinanikera mizee kusifia...
20 Reactions
80 Replies
2K Views
BAADA ya sintofahamu ya kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua kutoongozana na kikosi cha timu hiyo kwenda Afrika Kusini, Tumezinyaka sababu ziliyomfanya asiwe sehemu ya kikosi hicho ni ishu...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna hii mechi ya preseason ya Simba Sc huko Misri. Huko Youtube kuna Channels za hapa Bongo zinatangaza mechi live. Wale jamaa wanatangaza mechi as if kweli wao wanaitazama. Kitu ambacho sio...
14 Reactions
15 Replies
899 Views
Habari ndugu zangu Nimepost Uzi kwa utani ila Kuna raia humu vichwa vibovu wanasemelea kwa mods nipigwe ban Sasa nyinyi mnavo tutania sisi mbona tunachukulia poa tu! Kama huwezi utani bora...
3 Reactions
10 Replies
559 Views
WAKATI Kocha Mkuu wa Augsburg, Jess Thorup, inayocheza Ligi Kuu ya Ujerumani Bundlesliga, akiimwagia sifa Yanga kutokana na kiwango ilichoonyesha katika mechi ya juzi nchini Afrika Kusini, Kocha...
3 Reactions
1 Replies
603 Views
Ni zaidi ya mara mbili nimemsikia Haji Manara akisema kuwa Fabrice Ngoma ni mchezaji mwenye umri mkubwa sana kuliko unaotangazwa katika taarifa zake rasmi. Toka nimemsikia nilikuwa nina mashaka na...
12 Reactions
29 Replies
3K Views
I will be short manara ni time bomb atakuja kuibomoa yanga as a big brand. hatakiwi hata Kusongea karibu na wachezaji wa yanga. with big names in yanga huyu jamaa will destroy everything...
3 Reactions
35 Replies
1K Views
Klabu ya Simba imemrejesha kikosini Patrick Rweyemamu kuendelea na majukumu yake ya kuwa meneja wa timu hiyo. Rweyemamu amerejeshwa katika majukumu hayo baada ya msimu uliopita kuondolewa kwenye...
1 Reactions
8 Replies
819 Views
Sudan Kusini wamefuzu kushiriki michuano ya Olympics upande wa wanaume leo 22-7-2024 Miaka 14 iliyopita Taifa hili lilijipatia Uhuru kutoka kwenye mikono ya Sudan ya Kaskazini ile ya Dikteta Al...
1 Reactions
3 Replies
331 Views
Kwa shauku aliyonayo si ajabu akawa analinoa koo lake na maziwa ya ngamia mara tatu kwa kutwa, kifungo chake kinaenda kuisha mwezi huu, si hivyo tu bali Yanga ikiwa imebeba makombe muhimu...
5 Reactions
21 Replies
1K Views
Na mlituaminisha muda tu kuwa mmeshamalizana nae sasa ni kwanini hata Kambini katika Pre Season wala hayuko?
5 Reactions
29 Replies
4K Views
Jina: Kibu Denis Mechi: 20 Assist : 3 goli:1 Na ndio mchezaji anayejutuma zaidi Simba
12 Reactions
15 Replies
1K Views
Back
Top Bottom