Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Hapa ni baadhi ya makinda wachache wakiwa Uwanja wa Ndege tayari kwenda kupata utulivu Egypt Pongezi kwa tajiri namba moja Mo Dewji, na uongozi wote wa Simba SC
10 Reactions
21 Replies
1K Views
Inasemwa kwamba kazi ya afisa uhusiano ndio kazi ngumu kabisa huku duniani. Kazi hii inahitaji mtu mwenye uelewa wa mambo haswa yale ambayo atakuwa akiwashirikisha watu kuhusu kampuni, taasisi na...
11 Reactions
41 Replies
2K Views
Je kama mdau wa soka unakubaliana na suala hili kuwa usajili wa Simba unalengo la kumaliza tatizo la Ajira Kwa watanzania ???? Na sio kutetea Mataji ?????
13 Reactions
66 Replies
2K Views
Dirisha la usajili linaendelea kushika kasi huku timu za Yanga na Simba zikiwa zinaendelea kushusha vyuma vyao . vipi mdau usajili unakupa picha gani kwenye msimu mpya 2024\2025
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Tangu dirisha la usajili lifunguliwe tunasikia simba,yanga na azam hatusikii vilabu vingine vinafanya nini wala vinajiandaje huko mikoani. Wachambuzi wote simba na yanga mpaka habari zinachosha...
2 Reactions
9 Replies
370 Views
Au mnaleta dharau? Anyways " Engineer means business" Guede tulikupenda sana lakini ulikosea sana kudemand pesa nyingi mapema kiasi hicho.. Issue yako ilikuwa bado haija mature. Huu ulikuwa...
13 Reactions
81 Replies
3K Views
Nimeshituka kuona seleman matola anaendelea kuwa ni sehemu ya benchi la ufundi kama kocha msaidizi. Sina mashaka na uwezo wa matola , Sina wivu naye , ila simba wangehitaji mabadiliko wangebadili...
9 Reactions
27 Replies
1K Views
Ushirikina ndio njia pekee inayotumiwa na Utopolo kufifisha nyota za wachezaj wa wekundu, huko kwa mwarabu Misri ndio mahali pake kusoma albadiri na dua nzito ya kafara. Wachezaji wenu walindwe...
3 Reactions
5 Replies
352 Views
Huu ususi mpya uliofanywa na Simba sijui tuuitaje, wasusi kina Kalpana na maras tulionao humu watatusaidia ila ni wazi hii ni Simba brand new tunaenda kuiona. Misimu miwili iliyopita niliwahusia...
6 Reactions
30 Replies
1K Views
Ni mwendelezo wa Yanga sc kusajili wachezaji waliotelekezwa. Mshambuliaji raia wa Burundi ,Saido ntibazonkiza amerudi tena Jangwani na kupewa kandarasi ya miaka miwili kuwatumikia wana mboga mboga...
7 Reactions
25 Replies
2K Views
Manchester United forward Mason Greenwood has met senior football figures at the club for what have been described as "constructive discussions" about his exit from Old Trafford. United forward...
0 Reactions
1 Replies
204 Views
Nimeona nilete kwenu huu utabiri niliouna kutokana na usajili nganga ngingi aloufanya Simba kupitia usimamizi mahiri wa boss Mo. Safari hii hadi Mohamed Husein"Shabalala" ameletewa chalenge...
9 Reactions
20 Replies
1K Views
Ewe mwana Lunyasi mwenzangu, weka kituko kilichopo mtandaoni kuhusi usajili wetu wa kupaniki. Wakati wa usajili, Sifa anapewa Mo ila ligi na michuano mbalimbali ikianza, Lawama zote anapewa...
7 Reactions
16 Replies
926 Views
Mchezo mpya wa Ngumi tofauti na ilivyozoeleka waanza uganda ni made in Uganda. Mkanda wa ushindi wa pambano unawekwa juu ya mti mshindi wa ngumi za aina yake akiwashinda wenzie anapanda kwenda...
6 Reactions
26 Replies
995 Views
Prince Dube, muuaji anayetabasamu katika misimu minne aliyokuwa akiitumikia Azam FC alifanikiwa kufunga magoli 34 ndani ya Ligi Kuu 🇹 🗓️ 04 Misimu ⚽️ 34 Mabao Mwana Mfalme ni mali ya Wananchi My...
10 Reactions
49 Replies
2K Views
Hivi nyie Utopolo a.ka Gongowazi, mnapataga wapi ujasiri hata wa kubishana tu na watu wa timu namba tano Africa kwa ubora? Level zenu ni Ihefu, Dodoma na KMC, hao ndio mnaweza kubishana nao. Next...
3 Reactions
7 Replies
533 Views
Niseme ukweli kuwa nampongeza mwekezaji kuamua kusajili vijana wadogo ambao ni wazi wengi hupambabana kuonesha uwezo wao kwani wanahitaji kuendeleza vipaji na vipato vyao kupitia soka. Pamoja na...
17 Reactions
48 Replies
1K Views
King of Squats akiwa Arusha kwa maandalizi ya mazoezi, tazama Video hii kwa umakini kisha rusha maoni yako
12 Reactions
161 Replies
6K Views
UNA VISION KUBWA SANA, WE SUPPORT THAT , JUST MAKE SURE YOU SUCCEED. COST = SUCCESS yanga inaweza ingia kwenye madeni with nothing to show for it. kwa expenses yanga wameingia this year at...
5 Reactions
11 Replies
779 Views
Mchezaji Bora katika kutoka Azam Fc Prince Dube amesajiliwa na mabingwa wa kihistoria Dar Young Africans. Young Africans waendelee kuimarisha timu kwa kufanya Usajili makini bila kukurupuka...
16 Reactions
66 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…