Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Habari. Mashabiki Wa Dar Young Africans Atuongei Kabisa Wala Kupiga Kelele Ambazo Hazina Maana Katika Kukuza Sector Wa Mpira Wetu Hapa Tanzania Na Africa Kwa Ujumla. Imekuwa Tofauti Hivyo Ubora...
6 Reactions
14 Replies
616 Views
Ukimuona Mohamed Outara unaweza sema timu imepata beki wa maana sana, Simba iliwahi kumsajili beki huyo kutoka sudan. Tulimsifia mnooooo, tukasema tumepata beki. Siku ile alipozungushwa na...
5 Reactions
6 Replies
389 Views
Wanamkusanyia wachezaji wapya kocha ajae badala ya kusajili wachezaji kutokana na philosophy ya mwalimu. Nimemsikia kocha mpya wa Singida black stars akitoa angalizo kuwa viongozi wamesajili 90%...
12 Reactions
64 Replies
2K Views
1. MUKWALA- ametoka Asante Kontoko Imeshika namba 6 ligi ya Ghana. 2. AHOUA Ametoka Stella Adjame Imeshika namba 6 ligi ya Ivory coast 3. AUGUSTINE. Ametoka Rivers united ya Nigeria Imeshika...
18 Reactions
120 Replies
6K Views
Mada tajwa hapo juu ya husika, tunaomba TTF, Viongozi wa clab za simba na yanga mjitafakari Kwa kitendo kilichofanyika jana katka uwanja wa taifa mnatokosea heshima kuona mnachanganya mpira na...
6 Reactions
11 Replies
775 Views
Bila ya Salamu. Huwa najiuliza nilichelewa wapi kujiunga na Simba Sc? Mpaka leo nikifikiria nakosa majibu. Kifupi katika hiki kipindi cha wiki mbili nimeshuhudia chama langu jipya likifanya...
9 Reactions
42 Replies
3K Views
Kazini kwa Tshabalala kuna kazi, kwa tabia zake za kiswahili lazima aibe soksi au kitu chochote cha Valentine ili aonekane mbovu, na watakaomsaidia kuharibu kipaji cha Valentine ni watu wa Utopolo...
5 Reactions
10 Replies
897 Views
Hili wazo najua Yanga wataiba mwakani, Simba nawashauri ingawa mnaniudh sana kwa kukosa ubunifu, anzisheni banda lenu pale sabasaba mwakani mtapiga hela sana, mtauza CD za mechi za zamani...
5 Reactions
15 Replies
589 Views
Usajili ndani ya Simba Sc 🇹🇿 hadi sasa and players available ✅ Jean Ahoua 🇨🇮 ✅ V. Nouma 🇧🇫 ✅ S. Mukwala 🇺🇬 ✅mzalimu 🇹🇿 ✅hussen 🇹🇿 ✅kibu🇹🇿 ✅chasambi 🇹🇿 ✅barua 🇹🇿 *️⃣✅ Lawi 🇹🇿 ✅ A. Hamza 🇹🇿 ✅ Omary...
3 Reactions
6 Replies
696 Views
Rais wa Simba ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohammed Dewji amekutana na Bodi ya Ushauri na kufanya kikao cha pamoja. #WenyeNchi #NguvuMoja
2 Reactions
9 Replies
602 Views
Every body is entitled to freedom of expression, this is a constitutional rights.Ipo kwenye Bill of Rights. Kutoa maoni ni haki ambayo nobody huwezi kuichukua, ndio maana Rais anavumilia watu...
2 Reactions
8 Replies
357 Views
Azam bingwa 2024/2025 Msimamo mwisho wa msimu 1 Azam Fc 78 pts 2 Young African Sc 78 pts 3 Simba Sc 70 pts 4 Singida black stars (Ihefu. 14 Pamba pts 25 15 Kmc pts 24 16 Mashujaa 20 Mfungaji...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Nawasalimu kwa jina la Jamii ya Wapenda Sports hasa mchezo wa football. Tukiwa tunaelekea kumaliza mwaka wa 2023. Kama jamii ya Wapenda michezo hasa mpira wa miguu, Kwenu Wapenda football lipi...
0 Reactions
8 Replies
591 Views
[emoji599]WILSON ORUMA:TIMU ZOTE 15 ZIUNGANE KUIZUIA YANGA ISICHUKUE UBINGWA "Kama ambacho nimepata so far as to why Yanga Africa wanamuacha Joseph Guede na Kumchukua Jean othos Baleke ni kweli...
11 Reactions
35 Replies
1K Views
Tunajua njaa haina rafiki, lakini GSM amtafutie mahala pengine huyu babu, kazeeka. Hivyo vitengo ni vya vijana, na wamevimudu vilivyo. Zee la miaka 50 na zaidi la nini tena Yanga? Awekwe Baraza...
33 Reactions
75 Replies
3K Views
Jana pale uwanja wa Mkapa mmefanya Mambo ambayo ni dhahiri hata nafsi zenu zinawasuta. Nyie ni Watanzania na mna Uhuru wa kuamini au kuabudu chochote. Mna dini zenu lakini pia mna itikadi zenu...
2 Reactions
15 Replies
533 Views
Mimi ni Simba ila sikubaliani na huu uhuni wa kuchanganya Siasa na Mpira na tusipo piga kelele now mbele ya safari hali itakuwa mbaya zaidi. Kwa nini kuwe na kiwango hiki cha juu cha kuchanganya...
3 Reactions
16 Replies
703 Views
Kwa wale wataalamu wa body language na video analysts. Kwa namna UVCCM inavyotamkwa na muonekana wa uso na matamshi yanayotamkwa vinatia shaka sana kama ni maamuzi ya Ahmed. Pia soma: Rais Samia...
2 Reactions
8 Replies
578 Views
Ukijaribu kufatilia contents za matukio mbalimbali pamoja na utambulisho wa wachezaji wa Yanga Afrika miaka ya hivi karibuni, Basi utagundua kuna ubunifu wa hali ya juu sana Idara ya kidigitali...
4 Reactions
3 Replies
587 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…