Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kuna tetesi Azam amelipia VAR next season maana kuna cheaper alternatives ya var. FIFA introduced recently Azam na Board ya ligi wanataka kuipitisha. Kiwake next season, tutajua mchawi nani...
5 Reactions
33 Replies
1K Views
[emoji573] HERE WE GO!!! [emoji573] Our exclusive #AfricaSoccerZone power rankings are out. [emoji471] African champions Al Ahly SC reign supreme in top spot, closely followed by Taraji and...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Hiooo ni Fei Toto vs Yanga hukoo Zanzibar alipofanya hivyo tukampa dozi. Pemben ni Kibu Denis mechi ya vs Yanga, aliporudisha ikawa moja moja akaleta dharau tukamuadhibu. #Nisameheniibureeepls
3 Reactions
8 Replies
433 Views
Hii timu huwa inanishangaza sana. Jana Fredy Michael kawa mfungaji bora wa Ligi kuu Zambia licha ya kutokuwepo huko kwa miezi kadhaa. Saido mwaka jaba aliibuka mfungaji bora NBC PL akagawana...
1 Reactions
5 Replies
797 Views
Leo majira ya saa 10:00 jioni katika uwanja wa Mkapa, timu ya Simba itakuwa dimbani kuwakaribisha JKT Tanzania kwenye mchezo wa kufungia msimu. Mechi hii inategemewa kuwa na ushindani mkali sana...
5 Reactions
143 Replies
7K Views
#MICHEZO Unaambiwa baada ya video za Paredi la Ubingwa wa Yanga kusambaa duniani kote hivi karibuni zimezua gumzo huko nchini uingereza, ambapo hii ni mara baada ya Shabiki Maarufu wa Klabu ya...
3 Reactions
29 Replies
3K Views
Ndugu wanajukwaa, nawasalimu Kwa jina la jamhuri. Ama baada ya salamu, nichukue fursa hii kuzipongeza timu za Simba na Yanga Kwa kufanikiwa kuanza kampeni zao vyema kwenye hatua ya awali ya...
7 Reactions
40 Replies
3K Views
“Tatizo ni timu kwa ujumla na sio mtu mmoja mmoja, tatizo ni timu nzima na kama timu haijatulia mfano hata kwenye eneo la Utawala maana yake itaathiri timu nzima" "Sijui tatizo limetokea wapi...
7 Reactions
30 Replies
1K Views
Baada ya Try Again kukiri kushirikiana na Mo Dewji kumsajili mchezaji mkubwa kutoka klabu kubwa fununu zilizopo huyo mchezaji ni raia wa Afrika Kusini anayekipiga Alhly ya Misri Hongera Simba
8 Reactions
87 Replies
6K Views
Spika mstaafu Mhe. Job Ndugai amesema walijisikia vibaya sana Kocha wao Juma Mgunda alivyofananishwa na andazi. Ndugai amesema lakini walifurahishwa kwa jinsi Juma alivyojibu kwa hekima. Ndugai...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mashindano ya Mpira wa Miguu Tulia Trust Uyole Cup 2024 yanayofanyika katika Uwanja wa Mwawinji Uyole ya Kati Mbeya Mjini. Mashindano haya Yanashirikisha Timu 32 ambazo zimepewa Vifaa vya Michezo...
2 Reactions
2 Replies
274 Views
Jina kamili: Mamelodi Sundowns Football Club Nicknames: Masandawana /The Brazilians. Nchi: Afrika Kusini. Ngazi ya ligi: Ligi kuu ya Afrika kusini (PSL/DstvPremiership) Kuanzishwa: 1970...
16 Reactions
133 Replies
5K Views
Wagumu nyumbani, sio wanyonge ugenini Mamelodi Sundowns ni miongoni mwa timu ambazo huwa sio rahisi kupoteza mechi kwenye uwanja wao wa nyumbani pindi inaposhiriki Ligi ya Mabingwa Afrika jambo...
17 Reactions
74 Replies
5K Views
Yassin Mustafa ana uwezo mkubwa kuliko Joyce Lomalisa Mutambala kwa Beki ( Mbavu ) ya Kushoto. Zawadi Mauya ana uwezo mara 100 kuliko Mchezaji wa Newcastle United ya katika Photoshop ya...
11 Reactions
62 Replies
7K Views
Lengo la timu huwa ni kushinda bila kujali nani kashinda,lakini kila mchezaji ana role yake uwanjani,timu huwa zinasajili striker namaanisha namba 9 kwa ajili ya kufunga,kwamara ya pili ligi yetu...
1 Reactions
12 Replies
425 Views
Habari wanajukwaa la sports. Nimejiuliza hapa sijataka kuumiza kichwa changu kutafta huko kwenye websites ya TFF na platforms zingine maana naweza kutana na majibu ya ajabu ajuae kua karia...
7 Reactions
48 Replies
2K Views
Simba ni Azam B. Narudia tena, Simba ni Azam B. Inasemekana, mwenye njaa hachagui chakula. Kumbe, hata timu isiyo na taji, hilazimika kujishikiza popote. Ona sasa, Simba wanavyohangaika. Mara oh...
5 Reactions
13 Replies
647 Views
Alieangalia Mpira hawez kubishana na mimi M.Mustafa alistahili kua Man of the Match. Ila nahisi mmeamu hivo coz ya Uzanzibar. Nimeelewa leo match ilikua inachezwa ila mlikua mnaangalia wachezaji...
21 Reactions
71 Replies
3K Views
Nilivyoangalia mchezo baina ya Azam na Yanga kwenye fainali za CRDB, ni wazi kuwa bila ya kuwa golikipa Mohammed Mustafa, Azam ingekuwa na wakati mgumu sana. Kwa vile Azam inaingia kwenye...
4 Reactions
7 Replies
673 Views
Back
Top Bottom