Kila pambno lake anaweka vigisu ninwasi Sasa njama zinatumika kumdidimiza mwakinyo kwa kile kitendo chake Cha kujifanya don care kwa vile ndugu yake anaweza kumkingiwa kifuwaa na naibu waziri wa...
Kuna mabadiliko nimeyaona ya muundo wa kombe la Crdb FA cup kutoka kwenye ule muonekano wa kwanza likiwa kombe la Azam
Mabadiliko sio mabaya na kombe limependeza ila sio vizuri kuwa na muonekano...
Pigano lililopangwa kati ya Mike Tyson na Jake Paul limeahirishwa.
Kucheleweshwa huku kunatokana na dharura ya kiafya iliyomhusisha Mike Tyson, ambapo alipata kichefuchefu na kizunguzungu wakati...
MAZUNGUMZO GROUP LA WATSUP LA CHAMPIONS LEAGUE
Semaji Mamelod : Mnyamaaa 😭😭
Semaji Al Ahly : Pacha naumia sana kwa ajili yako
Semaji Mazembe : Jirani tutakumic sana Champions League
Mimi...
Hongereni Azam Media kwa kupromote mchezo wa ndondi hapa nchini.
Napenda kutaja orodha ya mabondia wangu bora kwa sasa hapa Tanzania.
1/ Fadhili Majiha
2/ Twaha Kiduku
3/ Mwakinyo
4/ Selemani...
Tyson Fury Amekumbana na kichapo katika usiku wa kuamukia Leo nchini Saudi Arabia huku Oleksandr Usyk akiwa bingwa wa kwanza wa ndondi wa mikanda minne ya uzito wa juu bila Kupingwa.
Usyk...
Ni simple advice,
Hii nimeiyona South africa. phone company imeweka hela kila msimu kuna MTN 8. Team 8 za juu zina compete for MTN Championship na jezi sponsors kabisa
Note: Tigo, Vodacom...
Hapa ndipo Mangungu na Try Again wanapolaumiwa na mashabiki wao. Yaani haiwezekani team yenye kombe Moja ifanye parade halafu team yenye makombe mawili ishindwe kufanya parade tena la nguvu kwenye...
Mshambuliaji wa Remo Stars Alimi Sikiru ndio mchezaji anayelipwa mshahara mkubwa kuliko wote kwenye ligi ya Nigeria akiwa analipwa Naira Milioni 1.3 (sawa na Dola za Marekani 1000$ au 2.5m Tshs)...
Huyu mtu yupo pale kutumika kisiasa. Amewekwa na wanasiasa na kwa nguvu zao sioni iwapo ataacha madaraka yake.
Nikisikiliza jinsi anavyojibu kijeuri, sipati shaka kabisa kuwa Simba kwa sasa...
Mlinda mlango wa klabu ya Yanga SC Djigui Diara ametwaa tuzo ya mchezaj bora wa Afrika kwa msimu wa 2023\2024, katika tuzo zilizotolewa nchini Mali. Tuzo hizo maalum zilizotolewa nchini Mali ni...
Moja kati ya makocha ambao nimekuwa nikitazama mechi zao kadhaa za nyuma basi ni huyu kocha Zidane ila kitu nlichogundua ni kwamba huyu jamaa ni kocha wa kawaida mno kimbinu, aliweza kuchukua...
DAR ES SALAAM: KAIMU Kocha Mkuu wa @taifastars_ Hemed Suleiman Morocco ameita kikosi cha wachezaji 34 kujiandaa na mchezo wa Juni mwaka huu dhidi ya Zambia, kuwania kufuzu Kombe la Dunia mwaka...
Nimemuangalia huyu striker mpya wa Azam you tube, natema mate Chino.Hawa Azam safari hii labda wafanyiwe kafara zito, Blanco ana balaa, pengine anaweza kuwa striker bora ambaye hajawahi kutokea...
Wanaosema uongozi wa Yanga unaongozwa kisera na viongozi wao ni Ma check bob wapo sawa, uongozi makini usingeweza kumsajili mchezajinkwa 400m na kumpa mkataba wa miaka miwili pekee
Msimu wa...
I'm proudly black man
Ila waafrica wengi tuna matatizo sana
Sadio mane alienda Bayern Munich tena akawa miongoni mwa wachezaji watatu wanaokula mshahara mkubwa Bayern
Lkn tunaofatilia mpira...
🚨 MOHAMED DEWJI ATUA UGANDA.
Mfadhili Wa Simba sc na Tajiri namba 17 barani Afrika Mohammed Dewji Yuko mbioni kununua Hisa asilimia 51% katika Klabu ya Express FC ya nchini Uganda🇺🇬
Baada ya...
Kama ambavyo tayari imeshajulikana kwamba mwaka huu tuzo nyingi zitaenda Yanga (winner takes all)
Viongozi, mashabiki na wapenzi wa Yanga Afrika kataeni huu uhuni unaotaka kufanywa na Tff kwani...
kufuatia utumbo huu (mistakes) uliofanywa na TFF na Bodi ya ligi inaonesha dhahiri kabisa hakuna watu weledi na wanaojua uongozi wa mpira
kitu kama
1) kuamuru mechi ya fainali ya FA kuchezewa...