Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Ili kuficha AIBU najua maombi ya mashabiki wa Simba leo ni kuona YANGA anafungwa. Na ikitokea Yanga kufungwa utawasikia maneno yao ya shobo na majigambo. Wanasimba ombeni sana tu Yanga afungwe...
1 Reactions
2 Replies
321 Views
Kuna Diarra kuna Baka kuna Aucho kuna Aziz K kuna Pacome na kuna Musonda na Guede yaani GENTAMYCINE nitaachaje Kuwashangilia na nimshangilie Nuksi Kapombe na Mpuuzi Onana? Kila la Kheri Yanga SC...
6 Reactions
31 Replies
1K Views
Kwa namna wachezaji wa simba walivyokuwa wanacheza ni wazi kabisa kocha hapa hatuna deni nae shida ni quality ya wachezaji wenyewe ni ya kuchechemea. Magoli 7 ya wazi yamekoswa yani alhy amepiga...
6 Reactions
19 Replies
1K Views
"We have two finals left against Medeama and Yanga SC. We will play those games like never before.” — Marcel Koller Al Ahl coach My Take Naomba nisihusishwe vyovyote na kipigo cha Utopolo...
7 Reactions
46 Replies
3K Views
Bado sijaelewa hali hii imetokana na nini, Walianza Al Ahaly lakini sasa hata Mamelod wamefanya hivyo ! Je, kuna nini huku Bongo hadi timu hizi ziogope kula kwenye mahoteli yetu?
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Siku kama ya Leo wiki ijayo ndipo kutakapokua vilio na kusaga meno katika dimba la Mkapa kwani Kolozidad atapigwa na kitu kizito. Baada ya hapo ataenda tena Cairo kufanyiwa mambo mabaya sana na...
11 Reactions
62 Replies
3K Views
Habar JF, Nilichokiona uwanja Wa Taifa Al Ahly asipeleke Timu Yaana anainda Kufungwa goal 4+ Simba sc wameimaliza hii Mechi Kikatili mno Al Ahly hawana cha kukwepa Zaidi Ya Kutoingia Uwanjani...
10 Reactions
62 Replies
4K Views
Najaribu kukumbuka. Zifuatazo ni mechi za Nyumbani za Simba kwenye hatua ya robo Fainali. Hajawahi kupoteza game ya dsm 2019 Simba 0 TP Mazembe 0 2021 SIMBA 3 KAIZERCHIEFS 0 2022 SIMBA 1 ORLANDO...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Nani ndani ya Simba SC aliamua Phiri na Baleke waachwe na waje hawa Mafowadi Michosho na Vituko akina Fred na Jobe.
1 Reactions
7 Replies
1K Views
What's up, fellow footballers! Today, I want to talk about something that's been bugging me for a while: time-wasting in our Tanzanian league. We all know it happens – players faking injuries...
2 Reactions
18 Replies
917 Views
Title iko wazi naona inafafanuliwa miaka 3 ya Mama hapa tunaweza kushangaa meza ya busara inakuja akiwepo Rioba na wazee wenzake.
9 Reactions
91 Replies
2K Views
Najua kocha anapenda kumtumia Saidoo ntibazonkiza kwa sababu ya profile yake lakini ukija kwenye pitch huyu Saidoo hakupi unachotaka. Kuna mchezaji Kama Miqson, kibu denis Hawa wanafaa kupewa...
0 Reactions
2 Replies
570 Views
Washabiki wa Simba sasa hivi kila mmoja anachekelea kwa ushindi wa kesho dhidi ya Al Ahly yaani wanaingia na matokeo mfukoni kesho wakifungwa wataanza tena nyimbo zao za kumlaumu kikosi chao...
7 Reactions
25 Replies
1K Views
Hii kampeni bila shaka imeasisiwa na wanasiasa wasio fahamu utani wa jadi uliopo kati ya simba na yanga. Ukiwa shabiki wa timu mojawapo ya hizi timu huwezi kuiombea mema timu ya upande wa pili...
1 Reactions
6 Replies
902 Views
wakuu nimeona maono ya uhakika kabisa game hii ya simba ipo hivi ft itaisha kwa simba kufungwa anaebisha asubiri dk 90
3 Reactions
17 Replies
657 Views
Natoa onyo kwa Mamlaka zitakazoruhusu kuingiza siasa kwenye mechi za Simba na Yanga dhidi ya Wapinzani wao kuacha kufikiria jambo hilo. Hatutarajii kwenye uwanja wa Mkapa kuona mabango ya...
12 Reactions
18 Replies
748 Views
(1) Jina la 'Al-Ahly SC' Jina lilipendekezwa na Amin Samy Amin, ambaye alipendekeza kuwa jina hilo ni sawa na neno "taifa" katika Kiarabu cha Misri. Lengo la jina ni kuwahudumia wanafunzi na...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Simba imepata nafasi zaidi ya 20 za mashambulizi mazuri kutengeneza magoli ya wazi kabisa wameshindwa, umakini ni mdogo mno wanapokaribia lango la adui Tatizo sio kocha, tatizo la simba ni...
-1 Reactions
11 Replies
579 Views
Hizi ni dharau kubwa sana kuona timu zetu zinafika hatua nzuri katika michuano ya kimataifa lakini zinashindwa kusonga mbele Tena zinafungwa uwanja wa nyumbani. Nilishawahi Kuandika humu baada ya...
1 Reactions
1 Replies
203 Views
Tuiombee simba ifikapo Misri mchezo wa marudiano.
6 Reactions
13 Replies
785 Views
Back
Top Bottom