Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Ni aibu mashabiki mechi kubwa kuingia dezo,uongozi wa Yanga umekuwa ukiamini mashabiki wao bila kiingilio kuwa bure hawezi kuingia uwanjani, kwanini wanapenda bure? Mechi kubwa kama hii kama ni...
10 Reactions
38 Replies
1K Views
Kusema kweli huyu dogo mainoo wa Man UTD wamezidi kum overrate mpaka inafika stage unajiuliza kwa kipi alichofikisha au ku achieve. Sasa nilikuwa najiuliza je ingekuwa cole pamer angekuwa man utd...
4 Reactions
38 Replies
2K Views
Ndio nimefika Dar jana. Asubuhi nikafika vijiweni vya soka na kagawa. Nataka kujua kina nani wamelipiwa. Kila mwana Yanga ukimuuliza kama amelipiwa anasema yakhee niombe radhi mimi siwezi...
4 Reactions
15 Replies
482 Views
Story zote hapa nchini ni juu ya mechi ya Yanga v Mamelodi Sundowns. Naomba kujuzwa, ile ya Simba v Al Ahly imeahirishwa? au kuna mechi ngapi jaman
5 Reactions
28 Replies
1K Views
Mimi na wenzangu tumrshanunua jezi za Mamellod na tutazitinga, natamani mtu abiguse ilu saa mbili nionekane kwenye taharifa ya habari na front page za magazeti ya kesho yake.
7 Reactions
28 Replies
1K Views
Mwanariadha wa Kimataifa, Staff Sergeant (SSgt) Jackline Juma Sakilu wa JWTZ, ameshinda leo mbio za kilomita 42 za Chongqing International Marathon, kwa muda wa saa mbili na dakika ishirini na...
0 Reactions
5 Replies
650 Views
Tunaweza kulaumu bure kwanini waziri wetu alitania utani wa ngumi lakini ikumbukwe kuwa aliwahi kumuuliza swali la michezo mtu asiye sahihi, kiufundi ni kama vile hana uelewa wa mambo ya soka?
1 Reactions
3 Replies
397 Views
Hakuna Timu ambazo Naziogopa hasa zikifika katika hatua ya Robo Fainali kama za Al Ahly na Mamelodi Sundowns FC. Ninadhani tumeelewana vyema tu.
5 Reactions
21 Replies
1K Views
Alipo ulizwa kuhusu Diego Armando Maradona maarufu kama El Pibe di Oro yaani Golden Boy, Mzee Berlusconi alisema: Nilitaka saana kumleta Maradona ili aje AC Milan akamilike na hata abebe mataji...
15 Reactions
19 Replies
1K Views
KINGINE TOKA KWA GANG CHOMBA… Nyota wa zamani wa Real Madrid Hugo Sanchez aliifungia timu hio magoli 38 katika msimu wa miaka ya 1989/1990. Sasa ni hivi, katika magoli yoote hayo ambayo mwamba...
4 Reactions
13 Replies
637 Views
Takribani Wachezaji wa 4 wa Al Ahly kuikosa mechi ya mnyama mkali kwa mkapa, Wachezaji hao ni Al shahat Ashour Dieng Yesser Ibrahim Unaambiwa Bench la Ufundi la Ahly limechanganyikiwa, wanasema...
2 Reactions
35 Replies
2K Views
Salaam, Kuna sintofahamu imetokea baada ya waziri Damas Ndumbaro kutoa maelekezo kwa mashabiki wa soka nchini ya kuwa inabidi Watanzania woote tusimame kwa ajili ya nchi, na upinzani wetu wa...
3 Reactions
44 Replies
1K Views
Mechi kati ya Al Ahly na simba ni kisasi ambacho ni kati ya dubwana lenye nguvu dhidi ya kijana mdogo, mechi ya kariba hiyo ni rahisi japo ngumu. Al Ahly kupangwa na simba ni kama bahati kwao...
4 Reactions
31 Replies
2K Views
moja, ni timu bora kabisa barani Africa, Simba S.C. hawa jamaa, wana ijumaa moja ngumu sana kiroho na kimwili. Ijumaa ya kushika moyo, huku jua nalo likififizwa na wingu zito la roho ya itakuaje...
8 Reactions
3 Replies
516 Views
Hii ndiyo kauli mbiu bora kabisa kutoka kwa mjangwani mwenzetu. Hakika tunaenda kuwagaragaza simba hawa wa manjano pale kwa mkapa. Karibu tuburudike. Dominika njema!
2 Reactions
3 Replies
354 Views
Hivi uwanja mpya wa Zanzibar haustaili kuchezesha mechi za kimataifa AFCON au mpaka tutenge kodi za mama ntilie ili zikashibishe matumbo ya watu?
1 Reactions
8 Replies
620 Views
Ukija uwanja wa Taifa ukiwa umevaa jezi ya Mamelodi Sundowns lazima utuoneshe passport ya Afrika Kusini na ukiwa na jezi ya Al Ahly utuoneshe passport ya Misri, nje na hapo Polisi watakuchukua...
32 Reactions
204 Replies
8K Views
Mchambuzi wa masuala ya kabumbu Alex Ngereza ametia neno kuhusu kambi ya Simba walikoweka Zanzibar:- "Sijaona sababu ya Simba kwenda kuweka kambi Zanzibar kwasababu zimebaki siku chache kuelekea...
7 Reactions
34 Replies
2K Views
Hii inadhihirisha wazi kuwa mashabiki wa Simba sio kina pangu pakavu tia mchuzi. Tunajitambua, Simba nguvu moja.
8 Reactions
35 Replies
2K Views
Nitumie nafasi hii kumpongeza kiungo wa Azam FC Feisal Salum ‘Fei Toto’ baada ya kuitungua Utopolo goli la ushindi wa 2-1 kwenye mchezo dhidi ya waajiri wake wa zamani (Yanga SC) uliopigwa juzi...
9 Reactions
25 Replies
1K Views
Back
Top Bottom