Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesema hakuna shabiki atakayedaiwa pasipoti wakati anaingia uwanjani katika mchezo wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga na Mamelodi...
8 Reactions
110 Replies
5K Views
CAF imefungua usajili kwa timu zilizoingia robo fainali ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho ili kufanya mabadiliko kwenye vikosi vyao. Timu zote zinaweza kuingiza majina ya Wachezaji wapya...
5 Reactions
24 Replies
3K Views
[emoji599] OFFICIAL & CONFIRMED: Klabu ya Yanga imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo fundi ZOUZOUA PACOME (26) kutoka Asec kwa Mkataba wa miaka miwili. Pacome [emoji1132] ni kiungo...
6 Reactions
50 Replies
6K Views
yanga imetangaza kuwa mechi ya mamelodi,imepewa muda dei:unaitika wote tupige simu tujae kwa mkapa
4 Reactions
9 Replies
572 Views
Updates Half Time Yanga 0-0 Marumo Goal 68" Aziz Ki 70" Yanga 1-0 Marumo Goal 92" Bernard Morison 94" Yanga 2-0 Marumo FT: Yanga 2-0 Marumo Mabingwa wa Tanzania, Dar es Salaam Young...
22 Reactions
984 Replies
59K Views
Lengo la uzi huu ni kukumbushana orodha ya Wachezaji ambao wamewahi kuzitumikia timu zote hizi kwa vipindi tofauti tena kwa mafanikio. Yaani mchezaji anaweza akawa alicheza Simba baadae akaenda...
2 Reactions
88 Replies
18K Views
Melissa Vargas ni mchezaji wa mpira wa wavu(Voleyball) kutoka Cuba ambaye anajulikana kwa uwezo wake mkubwa katika uwanja wa mpira wa wavu, haswa kama mchezaji wa pembeni. Alizaliwa tarehe 2 Mei...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Hivi umewahi kujiuliza ni kwa vigezo gani CAF waliitangaza Al Ahly kuwa ni timu bora ya karne ya 20? Wengi mnadhani ni kwa kubeba makombe mengi kuliko timu nyingine yoyote lakini siyo kweli...
3 Reactions
43 Replies
3K Views
Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi ametoa ufafanuzi kuhusu kauli ya Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro kwamba Shabiki atakayekwenda uwanjani kutazama mechi za...
6 Reactions
46 Replies
2K Views
Wape ushindi wale wanaokuabudu kwa dhati ya Moyoni. Na wanyime wale wanafanya ushirikina ili washindi. Eee Mola iwapo kuna mwana Simba yeyote atakayeshirikiana na waganga na washirikina basi...
1 Reactions
17 Replies
631 Views
Katika bara ambalo linavituko na linawatu ambo hawako serious bas ni Africa ndo maana umaskini umetamalaki na uongozi mbovu in general. Mwaka jana 2023 pacome alipokea tuzo ya mchezaji bora wa...
6 Reactions
34 Replies
3K Views
#Wazee wa klabu ya Simba hawamtaki aliyewahi kuwa Kaimu Mwenyekiti wa klabu hiyo, Mhina Kaduguda baada ya kusema Fred na Jobe ni wachezaji ambao unaweza kuwapata Tandika na Mwananyamala. Video ...
2 Reactions
57 Replies
3K Views
Siku ya jumamosi katika mtanange wa young Africans na mamelody ,je mamelody watavaa ule Uzi wao wa rangi ya njano na bukta ya bluu(Ubuntu bothu) au ule wa rangi nyeusi? Nimeuliza hivi kwa sababu...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Umegundua nini hapa?
0 Reactions
3 Replies
446 Views
Katika muendelezo wa tambo mbali mbali za Simba na Yanga pindi ukiotewa pale ambapo pana mshono hakika nawe lazima ukajipange kuja kurudisha mashambilizi. Picha ya zamani ya Ahmed Ally akiwa...
16 Reactions
80 Replies
4K Views
Nukta yangu naiweka hapa YANGA imekuwa ni moja ya timu tishio barani Afrika kwa sasa hii inatokana na kiwango kikubwa ambacho amekionesha kuanzia Makundi ya Shirikisho mpaka kufikia finali mwaka...
0 Reactions
0 Replies
777 Views
Wiki inayoanza kesho ni wiki ngumu sana Mamelodi na Al Ahly Kwa kile watakachokutana nacho kwenye dimba la Benjamin Mkapa dimba ambalo Yanga SC na Simba SC wamezoea kufanya mabalaa Kwa kila mgeni...
1 Reactions
16 Replies
807 Views
Niliwai kusema kwamba viongozi wa Simba na wanachama wao walikuwa wamebaki kutambia mafanikio ya mechi za kimataifa misimu 4 iliyopita huku wakiibeza yanga ambayo ilikuwa inajitafuta! Nilisema...
54 Reactions
123 Replies
6K Views
Mechi baina ya Yanga na Azam, imezaa majeruhi wawili ambao ni wachezaji muhimu sana kwa Yanga.Wachezaji hawa ni Pacome na Yao Kouassi. Tunachojiuliza hii ni bahati mbaya tu au kulikuwa na nia...
6 Reactions
62 Replies
4K Views
Back
Top Bottom