Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Hivi ni kweli Kennedy, Mshery, Manula, Sop, na Mao ni bora kuliko wachezaji wote walioachwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa kinachokwenda Azerbaijan? NI uteuzi usiokuwa na mipango ya muda mfupi...
1 Reactions
5 Replies
563 Views
1.Its called team of citizens "timu ya wananchi" because its owned by fans (51% shareholding). 2. Its most popular team in Tanzania with huge fan base approx more than 35 millions fans that are...
10 Reactions
14 Replies
781 Views
KISASI NI HAKI🔰 Mwaka 2001 Yanga ilikutana na Mamelodi Sundowns katika hatua za awali kwenye ligi ya mabingwa barani Africa .Mamelodi ilikua ya moto kwelikweli ikiwa Chini ya Mwanamama Natasha...
2 Reactions
4 Replies
811 Views
... 🔖 𝙉𝘼𝙉𝙄 𝙕𝘼𝙄𝘿𝙄 ? Baada ya ushindi wa Simba (6-0) dhidi ya Jwaneng nimeona mijadala mitandaoni watu wakibishana nani zaidi kati ya Chama na Pacome ?! Nami nimeona nisipitwe na mjadala huu. Kama...
9 Reactions
126 Replies
7K Views
Azam FC inathibitisha kwamba imepokea ofa kutoka vilabu viwili tofauti vikimhitaji mchezaji wetu, Prince Dube, raia wa Zimbabwe. Ofa hizo zimetoka katika vilabu vya Simba SC ya Tanzania na Al...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
1. Ayoub Lakres ameanza kulewa sifa 2. Che Malone Fondoh amekuwa beki mbovu sana kutokana na makosa ya kitoro anayofanya 3. Babacar Sarr asiwe anaanzishwa kwani leo timu ilikuwa na uhai sana...
16 Reactions
37 Replies
2K Views
Timu ya Taifa ya Riadha wameondoka leo na kuagwa na Rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania Silas Lucas Isangi na Kaimu katibu mkuu wa RT Wakili Jackson Ndaweka katika uwanja wa Kimataifa wa...
0 Reactions
1 Replies
398 Views
Huwezi kuwa bora, bila kushindanishwa kisha kushinda dhidi ya walio bora kuliko wewe, naam, kuelekea mchezo wa Yanga afrika dhidi ya masandawana, tathmini yangu fupi ya kina kabisa imeleta...
6 Reactions
4 Replies
779 Views
Asalaam Aleikum, Hopefully kila mtu kapokea results za quarter finals za CAFCL kwa namna anayoijua yeye. Sisi kama Mashabiki wa Young Africans tumefurahia kwa kiasi kupangwa na Mamelodi na furaha...
14 Reactions
39 Replies
2K Views
Southgate : "Ben white didn't want to be selected and it's great shame he's player I really like"
0 Reactions
0 Replies
296 Views
"Kuna Maisha baada ya uchaguzi" Hii ilikua kauli ya Mzee jakaya kikwete akiwaasa watanzania wasichanganyikiwe na mambo ya uchaguzi wakasahau kua kuna Maisha mengine ambayo ndio halisi baada ya...
2 Reactions
21 Replies
989 Views
Yanga play like big European clubs I don’t think Ronwen William will keep a clean sheet in this game ...Young Africans are unbeaten they play like big European clubs...it will be so hard for...
15 Reactions
29 Replies
2K Views
Sio mimi niliyewapangia Mamelodi, mnanituka bure, matusi mnayonitukana yawarudie wazazi wenu wote na familia zenu, watukaneni CAF. Nyie mnasema mna uwezo wa kuikabili timu yoyote, vipi leo...
0 Reactions
10 Replies
444 Views
Ingia google play tafta dalmax checkers, i-download hlf chagua Tanzanian rules, hlf kwenye difficulty uweke 100% Kati ya michezo kumi ukiweza shinda atleast michezo sita tu, kila unapocheza nae...
16 Reactions
622 Replies
73K Views
TFF tunaomba mfikirie umuhimu wa mashindano, ubora wa mashindano na vipaumbele vya mashindano. Kwasasa timu ya Simba na Yanga zina mechi muhimu sana ya klabu bingwa hatua ya robo fainali na...
6 Reactions
26 Replies
1K Views
Salaam Wakuu... mimi kama mwana yanga kindaki ndaki napendekeza yanga ikate rufaa kuhusu droo ya caf... sababu ni ugumu wa timu tuliopewa ukilinganisha na kikosi chetu. Hili linakuja baada ya...
7 Reactions
17 Replies
958 Views
Baada ya ushindi wa goli 3 Jana wa Simba dhidi ya wachovu Singida fountain gate zile kelele kwamba Gsm anasponsor timu zote za ligi kuu zimekwisha/zimepungua. Kama watoto wa Tff Jana wangefungwa...
3 Reactions
6 Replies
530 Views
Hii ni fursa adimu na inahitaji juhudi kubwa kutoka kwa wachezaji. Wanapaswa kujituma na kufanya vyema ili kufikia malengo haya makubwa. Tunawatakia kila la heri katika safari yao ya kufikia...
7 Reactions
5 Replies
796 Views
Tanzania Wafungaji - Tanzania South Afrika Wafungaji - South Africa Egypt Wafungaji - Egypt Champions League Wafungaji - Champions League
0 Reactions
3 Replies
570 Views
Mm ni mmoja wa wadau wakubwa wa Azam, iwe media, iwe tigopesa, iwe sports, iwe ice cream ali mradi tu imeitwa Azam. Jana, kabla ya mchezo haujaanza kipa wa Singida Benedict Haule alionekana...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom