Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Nasema hivi ni afadhali ukumbane na Chui atakuchuna atakuacha lakini sio Mamelodi, huyu ni zaidi ya mnyama. Kwanza akitua tu unazimika mwenyewe sembuse kukabiliana naye.
3 Reactions
28 Replies
1K Views
Ndugu yangu Oruma unaijua Mamelodi ya miaka 7,?? Ndio Mamelodi iliyobeba ubingwa? Pengine hujawaelewa mashabiki wa Mamelodi. Nafikiri Mashabiki wa Mamelodi wameona namna mradi wa Eng @caamil_88...
7 Reactions
26 Replies
2K Views
🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Arsenal 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Man City 🇪🇸 Barcelona 🇪🇸 Atlético 🇪🇸 Real Madrid 🇩🇪 Bayern 🇩🇪 Dortmund 🇫🇷 PSG
2 Reactions
7 Replies
578 Views
Baada ya droo ya hatua ya robo fainali ya michuono ya caf champions league kufanyika hapo jana, kumekuwa na hisia mchanganyiko kuhusiana na timu zilizokutanishwa kukabiliana na wawikilishi wawili...
14 Reactions
26 Replies
2K Views
Kwanini mkataba kama huu usihojiwe? Mdhamini mkuu wa ligi (NBC Bank) mkataba wake unahojiwa,huu wa GSM na TFF kwanini usihojiwe? Ndiyo maana marefa mpira ukigonga mwamba ukarudi uwanjani filimbi...
0 Reactions
8 Replies
588 Views
Huwezi kufanya mazoezi huku mmejifunika uso, halafu mnapiga mashuti yasio ya kawaida. Mnafanya mazoezi huku mnalia sana, mnaomba mechi iwe hata kesho, hii sio sawa
15 Reactions
20 Replies
2K Views
Nikiwa kama mdau wa soka safi hapa duniani huwa napenda sana kuona jinsi timu ya mamelodi sundowns kutoka nchini Afrika ya kusini jinsi inavyosakata kabumbu . Karibuni marafiki na wadau wote...
3 Reactions
8 Replies
485 Views
🔰𝐍𝐄𝐗𝐓 𝐔𝐏🔰 🏆 #NBCPremierLeague ⚽️ Young Africans SC🆚Ihefu FC 📆 11.03.2024 🏟 Azam Complex 🕖 12:00 Jioni Kikosi kinachoanza dhidi ya Ihefu SC Mpira umeanza Dakika ya 5 Yanga SC 0-0 Ihefu SC...
23 Reactions
491 Replies
24K Views
Ndio timu zetu mbili Yanga na Simba zinakibarua kigumu kwani zimepangwa na vigogo wa Soka la Afrika MasandawanaMamelod na Al Ahly mtawalia. Ndio wakati wa Afrika na Dunia kuitambua Tanzania, ndio...
6 Reactions
13 Replies
519 Views
Mashabiki wa timu ya Kaizer Chiefs imetangaza kuisapoti timu ya Yanga dhidi ya Mamelodi Sundowns katika mechi zote mbili Mashabiki hao wamesema wanataka kuona soka safi la Yanga linalovutia...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
https://www.youtube.com/watch?v=Wi1gdJiCIt4 The Quarter-Final draw for the 2023/24 TotalEnergies CAF Champions League and TotalEnergies CAF Confederation Cup will be conducted Today, 12 March...
18 Reactions
621 Replies
44K Views
Na kuna Timu moja hapa Afrika licha ya kuwa inacheza Mpira wa uhakika, ni Tajiri wala haitegemei Kuuza Godoro la kuumiza Migongo Ina Wachezaji ambayo Bajeti yao ni Bajeti ya Miaka 10 ya Majini...
5 Reactions
42 Replies
2K Views
Wachezaji wa Yanga msikubali majina yenu kudhalilishwa mtakapocheza na Mamelod sundown. Mliosoma Cuba mmenielewa
1 Reactions
9 Replies
544 Views
Mimi kama shabiki wa Soka na mfuatiliaji wa Ligi ya NBC, nimefurahi yanga kufuzu lakini na Simba Ina chance ya kufuzu 50/50. Kwa uwelewa wangu timu sita tayari zimeingia robo fainali, ikiwemo...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Nimekuwa najiuliza sana maswali bila majibu, hizi team za Singida zinakumbwa na tatizo gani? Ilianza Singida united, ikaja vizuri kabisa na Mashabiki wa mpira wakajua kwamba mpinzani amekuja...
6 Reactions
23 Replies
1K Views
Jinsi wanavyojiona ni timu tishio kisa tu walimfunga simba kwa kubahatisha goli 5-1 , hawa watatolewa kirahisi sana na Mamelod. Kwa mkapa watapigwa 3-1 na kule south watapiwa kama walivyopigwa na...
2 Reactions
46 Replies
2K Views
Hizi draw za CAF Huwa tayari zinakuwa zishapangwa huko nje, hapo wanakuja kutimiza ratiba. Michuano hii huwaga na fitina nyingi sana, kuanzia Kwa marefa, mapokezi, uchezeshaji wa draw na fitina...
31 Reactions
119 Replies
6K Views
TFF tunaomba mfikirie umuhimu wa mashindano, ubora wa mashindano na vipaumbele vya mashindano. Kwasasa timu ya Simba na Yanga zina mechi muhimu sana ya klabu bingwa hatua ya robo fainali na...
0 Reactions
0 Replies
371 Views
Back
Top Bottom