Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kauli ya mashabiki wa Yanga ikiwaelekea SINGIDA BIG STARS ikisema " Tafadhali Singida msuruhusu goli 5 kwenye Mechi ya leo" Niwazi kuwa Mashabiki wa Yanga wanataka ushindi wao wa Goli 5 uzidi...
1 Reactions
3 Replies
454 Views
Ahly hawawezi kuja kucheza hapa hata Mechi ya kirafiki. Mamelody wasingeweza kuja hapa hata kwenye tamasha la Wananchi maana wamejaribu mwaka jana lakini ilishindikana. Lakini uwezo wa Simba na...
7 Reactions
28 Replies
2K Views
Hongera Yanga SC, hongera Tanzania. Kutoka kwenye msitu wenye zaidi ya miaka 200, imekwisha onekana Yanga atakutana na Tp Mazembe kwenye final match ya CACL. Safari ya mbali haiagwi.
6 Reactions
9 Replies
764 Views
Halafu msisahau Sisi tulipowafunga wao walikuwa na Kikosi dhaifu na Mgogoro mkubwa Klabuni kwao wakimtaka aliyekuwa Kiongozi wao Lyoed Nchunga ajiuzuru. Na nakumbuka Usiku wa kuelekea Mechi hiyo...
42 Reactions
80 Replies
5K Views
Ni tofauti na kwetu ukiwa na viporo ukimaliza ratiba ya kimataifa unapangiwa mechi 4 mfululizo kila baada ya siku mbili
0 Reactions
5 Replies
453 Views
Very interesting, @simbasctanzania vs @alahly hii game ni 50/50 hata Simba akitoa sare Kwa Mkapa bado game itabaki 50/50 na uamuzi utafanywa Cairo kwa mikwaju ya penati. Katika hili naiona bahati...
3 Reactions
15 Replies
755 Views
Timu ya Dar es salaam Young Africans Sports Club, au Yanga sc aka Wakimataifa ama wananchi kama wanavyotambulika kwa sasa. Ktk msimu huu wa 2023/2024 wamekuwa ktk ubora usiopimika wala...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Timu ya soka ya Simba leo iko dimbani kupambana na Al Ahly ya Misri katika mchezo wa hatua ya makundi ukiwa ni mzunguko wa pili kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa majira ya saa kumi jioni. Pamoja na...
16 Reactions
710 Replies
58K Views
Kesho ndio ile siku ya ufunguzi wa AFRICAN FOOTBALL LEAGUE( AFL) ambapo mechi ya ufunguzi itazikutanisha Simba S.C ya Tanzania dhidi ya Al Ahly ya Misri. Tupia utabiri wako hapo chini
1 Reactions
33 Replies
2K Views
Mechi hii Ni muhimu kwa Simba kutafuta points 3 muhimu ili kujiweka nafasi nzuri ya kufuzu hatua ya robo fainali Mechi inatarajiwa kuanza saa Kumi kamili jioni hii Kikosi Cha Simba tayari kimetoa...
9 Reactions
500 Replies
54K Views
Kwa kikosi walichonacho na uwezo binafsi wa mchezaji mmoja mmoja bila kusahau wanavyoendelea kurekebisha makosa yao, naiona Yanga hii ikitinga hatua ya robo fainali mapema tu. Hata msimamo katika...
26 Reactions
61 Replies
4K Views
Wananchi niwatoe pressure Yanga anakwenda nusu fainal huu msimu, najua watu watapinga sababu ya mpinzani anayekutana naye ila muda utaongea vizuri. Kwa sasa ni vigumu kuwaambia kwamba yanga...
0 Reactions
0 Replies
172 Views
Nimepita kwenye vijiwe nongwa vya mtaani nakusikiliza mashabiki wa kariakoo (sunche na kapeto) wanavyopiga hesabu za kutoboa robo mpaka fainali Tena hesabu nyepesi kabisa utadhani robo Kuna...
9 Reactions
79 Replies
4K Views
so prepare your medical kit in deed
2 Reactions
8 Replies
534 Views
Imekua ni utaratibu kwa Mashabiki wa Simba kuwa na wivu wakiona Team za Ligi kuu zinafungwa kama wao. Yani wanatamani sana zile 5 walifungwa wao zibaki wao tu wawe wa kipekeee. Saiv najua bado...
11 Reactions
44 Replies
2K Views
Miaka minne nyuma hawa utopolo walikuwa sio chochote sio lolote kwa simba, tuliwatania kila aina ya matusi na kejeli, mara bakuli fc, mara utopwinyo fc, mara kabwili fc n.k Haya matusi na kejeli...
13 Reactions
20 Replies
887 Views
Match Day [emoji471] #NBCPremierLeague [emoji460]️ Namumgo FC [emoji739] Young Africans SC [emoji414] 08.03.2024 [emoji909] Majaliwa Stadium, Lindi. [emoji797] 12:00 Jioni Kikosi Cha Yanga Leo...
13 Reactions
532 Replies
27K Views
Kuna wimbi la mashabiki, wachambuzi na wadau wa soka wakihoji uhalali wa goli la tano. Kwa wenzetu walioendelea mambo kama haya yameshapitwa na wakati ila kwa nchi zetu za kimasikini bado...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Kuna wachezaji wabovu hasa wa kigeni waliwahi kusajiliwa kwa mbwembwe na timu za Simba na Yanga ila wakaishia kuondoka nchini kimya kimya kutokana na uwezo wao mdogo hata kufikia kushindwa kiuwezo...
2 Reactions
143 Replies
28K Views
"Kitu kimoja kuhusu mpira wa miguu hakuna kinachodondoka kutoka angani, wakati wanaanza project yao wengi hawakuamini watafika popote, ila Wahuni walifahamu wanachokiandaa kifupi The Premier...
5 Reactions
6 Replies
460 Views
Back
Top Bottom