Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Japo mimi ni utopolo lakini hawa ndugu zetu wamezidi umbumbumbu. Hivi hawa viongozi wa simba nani kawaloga? Hivi wanashindwa vipi kuuchagua uwanja wa Chamazi kwa ajili ya mechi zake za nyumban...
16 Reactions
47 Replies
2K Views
Ikiwa imepita siku moja tangu Simba amshushie kipigo kizito jwaneng galaxy pale kwenye dimba la Benjamin William mkapa, ni kawaida duniani kote lazima kutakuwa na team ambazo zina upinzani kwenye...
11 Reactions
55 Replies
3K Views
Hawa ndugu zetu sijui wamelogwa na nani, Wakati dada zao wanautumia chamazi kama uwanja wa nyumbani wao wamekimbilia mkoani Morogoro kisa wanaogopa kulogwa. Walikimbilia CCM kirumba mkoani Mwanza...
11 Reactions
27 Replies
1K Views
Ukweli usemwe tu katika sajili zilizofanyika simba msimu huu Fred Koublan ni usajili mbovu zaidi, ukimuangalia uwezo wake uwanjani ukitoa uwezo wake wa kucheza rafu za ovyo na kupiga maboko...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
ZAMANI mzee Jakaya Mrisho Kikwete aliwahi kupigwa picha akipanga foleni kuingia katika pambano moja la timu yake aipendayo Yanga. Wakati ule alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje. Alipenda zaidi soka na...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna mdau alipost kuhusu selestian sikinde mbunga kuwa alishafariki long time ago. Ukweli kuwa, huyu jamaa Bado anaishi na anapatikana mkoani Lindi wilaya ya Ruangwa Kijiji Cha Lipande. Hiyo...
3 Reactions
30 Replies
2K Views
Kwanza kabisa nina furaha kwa matokeo ya mtani ya hapo Jana, Pili maombi kwenda kwa uongozi wa klabu ya yanga, ambayo ni kuwahimiza wachezaji waendelee na spirit ileile bila kujali aina ya...
16 Reactions
18 Replies
712 Views
Hii bila shaka ipo kwa maslahi ya watu flani, sie wengine tunafata mkumbo tu, Ni kweli ina faida yake ila hasara yake ni kubwa sana, imagine unakataliwa goli la halali kabisa ambalo pengine...
1 Reactions
5 Replies
327 Views
Hawa tulionao akina mshery na metacha hawapaswi kuwa yanga. Kuna magolikipa wazuri sana tunaona watatusaidia siku DIARA akiumia ila sio hawa madogo. Golikipa wa prison yona amos, golikipa wa...
4 Reactions
26 Replies
1K Views
... πŸ“Έ π™π˜½π™ 2020 "Mmenifurahisha sana hii ndio Yanga yangu ninayoijua tangu zamani, Uwanja umejaa full. Kumbe mkiamua kutokuwa BARIDI mnaweza. Naamini msimu ujao mtatwaa Ubingwa ambao mmeukosa kwa...
5 Reactions
1 Replies
486 Views
Wakuu naangalia marudio hapa ya mechi ya simba na prison. Naona hapa simba wamechomoa goli dakika hizi za lala salama Tukiendelea hivi chama atachomoa labda iwe mbili kwa mbili! Ila sasa huu...
8 Reactions
26 Replies
1K Views
Mike Tyson vs Jake Paul officially announced as date set biggest event in boxing history. Jake Paul rose to combat sports fame when he knocked out former NBA player Nate Robinson on the...
1 Reactions
12 Replies
931 Views
Kila timu ikicheza na Simba unaona inaikamia sana. Ukitaka kujua kuwa Simba huwa inakamiwa, ngoja timu inayocheza nayo ishinde. Kuna timu iliifunga Simba 5-1 hadi ikachonga na bango. Kila timu...
8 Reactions
27 Replies
2K Views
Mimi ni mshabiki wa Yanga ila napingana na kauli za watu wanaosema uongozi wa Simba ni mbovu hapana sio mbovi ila wanazidiwa na Yanga kwenye usajili. Mwaka jana Simba imesajili sana ila ukweli ni...
1 Reactions
15 Replies
836 Views
Naona Aishi Manula zama zinamtupa mkono.....ufalme unaanguka mbele ya macho yake...... Hakika kila lenye mwanzo lina mwisho
7 Reactions
38 Replies
3K Views
1. Simba na Yanga hongera, kujipa nguvu nyumbani Mmeonesha ubora, bara pia visiwani. Mmeionesha dira, kwamba mmekuza Fani Kaza buti msikwame, shikilia hapohapo 2. Kaza buti msikwame...
5 Reactions
23 Replies
1K Views
Baada ya Marcelo kwenda Real Madrid walikutana pale na Mbrazil mwenzake Ribson Robinho aliyekuwa star wa timu. Marcelo akiwa ananyoa kipindi hiko akajijuta anafanana sana na Robinho kiasi cha...
7 Reactions
7 Replies
849 Views
Leo ni SIKUKUU ya kibegi kufika kwenye kilele cha Mlima wa Kilimanjaro mita 5,895 juu ya usawa wa bahari. Wapanda mlima Mashabiki wa Mnyama wako kwenye hali salama ya kufika kileleni leo. Jioni...
23 Reactions
140 Replies
11K Views
Naona Prince Dube ameaga anaondoka Azam, na assume ametimiza masharti aliyotoa Azam, je ataruhisiwa kujiunga na club nyingine wakati dirisha la usajili limefungwa, Januari?
2 Reactions
9 Replies
688 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…