Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Baada ya filimbi ya mwisho ya mchezo wa Leo dhidi ya namungo fc, Nimepokea simu toka kwa jamaa zangu mbalimbali waliopo hapo bongo land, kuhusu hali ya wasiwasi iliyozuka kufuatia ushindi mnono...
11 Reactions
8 Replies
1K Views
Ukiangalia msimamo na ushindi walio upata wamekaribia kabisa kuwa mabingwa kwa msimu wa 2023/24. Wanahitaji kushinda mechi 5 tu kati ya 10. Hapa ni kama wapinzani wake nao wanaendelea kushinda...
2 Reactions
5 Replies
459 Views
Huyu hajawahi kuwa kocha , bali aliwahi kuwa msimamizi wa mazoezi wa Man City . leo hii Vibonde waliopanda ligi kuu Brentford 2 -0 Arsenal , ufunguzi wa EPL
5 Reactions
72 Replies
7K Views
3 Reactions
5 Replies
528 Views
Kama Simba sc tulikua tunasubiri kupata mrithi wa Kapombe Basi niseme kwamba mrithi ameshapatikana kikubwa aombewe dua avuke salama kwenye safari yake ya soka. Mwenda[emoji123]
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Huu ndio ushauri ninaoupeleka kwa Bodi ya wakurugenzi ya Arsenal, Washabiki na wapenzi wao. Arteta hana uwezo wowote wa kufundisha timu kubwa kama Arsenal, hana kitu na wala uwezo wake hauna...
7 Reactions
89 Replies
9K Views
Habari zenu wadau wote wa jukwaa hili la michezo, kwanza kabisa niseme tu mimi nimekua nikafatilia Kwa club michuano hii mikubwa kwa ngazi ya vilabu barani Africa. Nikitazama kwa jicho la...
4 Reactions
5 Replies
634 Views
Tusubiri tu hiyo wiki ijayo tarehe 12 tupangiwe na Mamelodi Sundowns FC katika Robo Fainali ya CAFCL tuje kupigwa 4 kwa 0 kwa Mkapa na tukapigwa Kipigo kitakatifu cha Goli 8 kwao ili Akili zitukae...
23 Reactions
62 Replies
4K Views
Benchikha hawezi kufanya kazi na timu yenye wachezaji wa kuungaunga kama Simba. NIna uhakika kuwa Benchikha hana furaha na anajuta kuchafua CV yake kuja Simba. Ahmed Ally amesema kuwa Benchikha...
9 Reactions
27 Replies
2K Views
#trusttheprocess Msimu wake wa mwisho akiwa kocha wa Manchester United José alipata kichapo kutoka kwa Sevilla na akatupwa nje ya mashindano ya UEFA. Pamoja na kebehi zake nyingi na majigambo...
12 Reactions
39 Replies
4K Views
Ndivyo unavyoweza kusema baada ya kocha huyu kutengeneza upya timu iliyokuwa imeshapoteana. Mpaka wakati huu tayari ameshinda michezo minne mfululizo katika ligi ya Uingereza (EPL) na inatarajiwa...
13 Reactions
93 Replies
8K Views
Ni suala la Muda, ila yanga anakitu inaitwa Consistency, muhimu sana kwenye mustakabali wa soka. Hili kombe ameshalichukua in advance Huenda mwakaa huu TZ tukafanya. Mageuzi ya mpira; Yanga...
18 Reactions
55 Replies
2K Views
Habari wanajamvi ,Leo bila kupapasa wala kubipu game la simba na coastal union litsaisha kwa safe au simba kufungwa Kubali au ukatae ila huo ndo ukweli maana Kyle mkwakwani kuna kazi si ya kitoto
6 Reactions
27 Replies
1K Views
Andres Iniesta Kondoo fulani katikati ya msitu wa mbwa mwitu wakali Ile picha ya kibabe sana, aliipiga 'Felipe Mondrovera' wa 'Getty images'. Ilikuwa Juni 10 2012 mechi ya kwanza ya EURO...
3 Reactions
9 Replies
454 Views
Mimi kama Labani og kwa akili zangu timamu bila kushawishiwa na mtu I decided to declare that if Simba (kolo) will win tomorrow's match against giant Al Ahly let my account be banned for 3 days...
17 Reactions
183 Replies
5K Views
Japo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika...
31 Reactions
411 Replies
17K Views
Habari Mwanajukwaa la Sports. Nianze kwa kusema; Moja ya kitu ambacho watanzania tunacho sana na ndio utambulisho wetu ni MAIGIZO yani tunapenda kuFake kila kitu hatutaki kua na uhalisia na...
8 Reactions
23 Replies
1K Views
Hii timu yangu natamani waache propaganda ingewezekana waachane na media wajifiche sehemu wajinoe haswa, Hizi propaganda za Ahmed Ally ipo siku atakuja kupigwa mawe, jamaa akiongelea kuhusu Simba...
12 Reactions
16 Replies
1K Views
Wakuu kwema.. Hivi hawa watu nyie mnawezaje kuishi nao? Mbona ni watu wenye uelewa mdogo sana na huu mchezo wa soka? Kuna jamaa zangu ni mashabiki wa Simba hapo juzi kabla ya mchezo wa Simba na...
24 Reactions
68 Replies
2K Views
Back
Top Bottom