Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Ewe Mwana lunyasi, Tuendelee kuhamasishana ili Jumamosi tukamkande Galaxy pale kwa Mkapa. Katika kuelekea mchezo huo, Afisa habari wetu ametupa hamasa wana lunyasi kwa kuuita Inonga Day au...
8 Reactions
77 Replies
5K Views
Paul Pogba ambaye atatimiza umri wa miaka 31 mwezi Machi mwaka huu amefungiwa kutojihusisha na soka kwa miaka minne kutokana na matumizi ya dawa za kusisimua misuli. Mpaka adhabu yake iishe...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Huyu jamaa anaitakia nini kolouzidad?
2 Reactions
8 Replies
738 Views
Ushindi wa magoli 4-0 wa Yanga dhidi ya CR Belouizdad umechangiwa kwa ukubwa na Pacome Zouzoua aliyeonyesha performance nzuri sana yenye spirit ya hali ya juu sana katika siku yake ya "Pacome Day"...
10 Reactions
29 Replies
3K Views
Nimeshangaa kuona kumbe ile timu iliyofungwa jana ni ya vijana wa kutoka academy ya Belouzdad. Kocha na uongozi unalaumiwa kwa kuwadharau yanga.
0 Reactions
58 Replies
4K Views
Kipindi Robetinho amekuja Simba, alikuja na vibe lake la ushangiliaji. Upande wa pili wakaanza kumkejeli sana kuwa anashangilia kwa kukimbia kimbia kama kichaa. Ikafika wakati nadhani uongozi...
2 Reactions
12 Replies
721 Views
Senzo alipokuja kuwa CEO wa Simba ndo hapo mabadiliko makubwa yakaanza kuonekana uwanjani,viongozi wengi walikosa upenyo wa upigaji na kumchukia,usajili mzuri ukafanyika na Simba ikafanya...
9 Reactions
20 Replies
878 Views
Karimu Mandonga ni bondia aliyeanza safari yake ya masumbwi miaka kadhaa iliyopita. Na inavyosemekana, miaka ya nyuma alikuwa ni bondia mzuri sana. Swali ni je, nini kimempata Mandonga?
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Namshauri Hersi aongee na Mayele, kumsikiliza anasemaje, na utaona nini la kumsaidia, anahitaji msaada mkubwa sana.
2 Reactions
9 Replies
761 Views
Me nilishawahi kusema na nitaendelea kusema Ntibazonkiza ndio anamnyima uhuru chama, sababu nafasi anayocheza ndio alikua akiicheza chama na kwa ubora takribani misimu yote aliyocheza simba...
4 Reactions
40 Replies
2K Views
Simba SC itacheza mchezo wake wa mwisho wa Kundi B wa CAF Champions League dhidi ya Jwaneng Galaxy siku ya Jumamosi ya March 02, 2024 katika uwanja wa Benjamin Mkapa. Kuelekea mchezo huo Meneja...
7 Reactions
20 Replies
2K Views
Kiufupi hii timu ya yanga inaendela kuleta madhara, na mfano ulikuwa baada ya simba kufungwa tano walifukuza kocha , na pia walitakwa kumfukuza chama. Algeria: Kufuatia kipigo kikali cha bao 4-0...
18 Reactions
22 Replies
2K Views
Kuisemea Team ambayo haina uwezo ni kazi jamani nyie achen Mtu unajitamba Jumamos tunaenda kumaliza kazi Mashabiki Njooni.. Mnyama Robo anatinga,ghafla Akili inarudi inakwambia huo uwezo...
8 Reactions
26 Replies
2K Views
Tanzania imekuwa ikifuzu kwa kuunga unga Kwenye afcon 2019 kule misri na sasa afcon ya Ivory Coast . Ukiangalia matokeo ya mechi za kufuzu na ukalinganisha na matokeo ya tarehe 17 Jan dhidi ya...
7 Reactions
25 Replies
1K Views
Mashabiki wa Team kubwa kubwa Afrika kama Yanga saiv mnatusimanga kua sisi MAKOLO hatujashinda goli 4 au 5 kwenye uwanja Mkubwa Afrika Mashariki na kati BENJAMIN MKAPA NATIONAL STADIUM..Na Mnaenda...
5 Reactions
13 Replies
607 Views
Mudathir wakati yupo Azam FC alikuwa mwishoni wa mkataba wake akaenda kuzungumza na uongozi wa Azam kuhusu kuingia mkataba mpya na akataka kuongezewa mshahara. Viongozi wa Azam FC na tajiri wao...
45 Reactions
64 Replies
5K Views
Nimesoma sehemu kuwa Fiston Mayele atakwenda kwenye Kambi ya Yanga huko Egypt. Kwa ushauri wangu nadhani asiruhusiwe kuonana na wachezaji wa Yanga kwasababu ni dhahiri yupo tayari kuihuju timu...
11 Reactions
16 Replies
2K Views
REKODI YA SIMBA NA YANGA LIGI KUU PEKEE P W D L Pts Yanga SC 98 36 33 26 113 Simba SC 98 26 33 36 83 MATOKEO YA MECHI ZILIZOPITA ZA WATANI WA JADI; JUNI 7, 1965 Yanga v...
3 Reactions
20 Replies
102K Views
alot of financial drama.
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Mtalalakika ooh kiwango ooh nasemaje Wale wachezaji wa stars wapimwe kilevi kabla ya kuingia uwanjani Kwa mpira ule wa zambia kuna shida sio tu kiwangoooooooo Hairuhusiwi chini ya miaka 19
1 Reactions
1 Replies
534 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…