Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Ninatumia AZAM MAX APP. Inapofika siku za mechi za CAF chaneli zinazoonesha zinaondolewa nakuwa zisizioni tena, afu mechi zikiisha zinarudishwa. kwa mnaotumia AZAM MAX APP naomba msaada namna ya...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Wanasimba wenzangu Nikiwa kama shabiki wa simba kindaki ndaki naumia sana kuona viongozi wetu wakitupiga namna hii.. Haiwezekani watuletee teka bovu kama huyu Fred..! Hivi si hata pale mtibwa...
0 Reactions
0 Replies
308 Views
Mr Chairman of CRB I think all is well with you. I would like to remind you to do all what I have told you the day before yesterday against your do or Die match versus Utopolo. Please, do not...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Yanga tuna ujinga mwingi sana Hatujui kama mpira wa africa una fitna zake Timu zote za weusi zilizowai ku win caf champions league zinajua weakness ya warabu ni jua Yanga home games zetu...
5 Reactions
62 Replies
3K Views
Ramadhani Brothers kutoka Tanxania wameibuka washindi kwenye shindano la America's Got Talent Fantansy League na kujinyakulia kitita cha dola 250,000. Kwa ushindi wao wanaweka historia ya kuwa...
29 Reactions
113 Replies
8K Views
We dogo ulianza na vinjuka Aziz Ki day sisi na heshima zetu tukapiga vinjuka na vitambi mchomoko vyetu mtaani tukawa vituko!! Sasa tupake rangi vichwani kweli? Gharib atapaka? Au ni wale wale...
11 Reactions
58 Replies
3K Views
Huu ndio utabiri wangu simba na yanga wote watasare michezo yao, kulingana na wapinzani wanaocheza nao nimetizama kwa jicho la kiufundi sion hata mmoja wao akichukua alama zote tatu. Asec vs...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Kuna kipindi Senzo akiwa mtendaji mkuu wa yanga alikwenda kuipokea timu kutoka south Africa ilikuja kucheza na Simba kwenye mashindano ya klabu ya klabu bingwa Afrika. Kitendo cha Senzo kukutana...
8 Reactions
27 Replies
2K Views
Tunataarifa na aina ya mbinu kubwa wanazotumia hawa jamaa kupata ushindi hasa wakishindwa mbinu ya kutumia pesa. Leo mbinu pekee iliyobaki kwa yanga ni kutumia kete yao ya mwisho inayowapa...
0 Reactions
3 Replies
456 Views
Waarabu mchawi wao jua tu Mamelodi na makali yake ila akiona kapangiwa waarabu tu. Mechi huwa anaweka saa tisa Pretoria. Jua kali maana anajua jua Waarabu hawaliwezi.
3 Reactions
30 Replies
2K Views
Sitaki kuanza kwa kujitetea eti mi shabiki wa team flani ila nasema haya kwa Mapenzi ya Nchi. Ila nataka niseme tu kuwa Mungu hua hasikilizi Dua Mbovu na Mbaya za kuombeana Mabaya. Ndio maana...
2 Reactions
34 Replies
991 Views
Nawatakia ushindi kesho kwenye mchezo wenu mgumu dhidi ya Wydad mkiwa nyumbani. Japo timu iliyokuwa ni mbovu kuliko timu zote zinazoshiriki klabu bingwa msimu huu ila nawaombea hivyo mshinde...
1 Reactions
6 Replies
603 Views
Kwa mtazamo wangu kelekea mechi ya kesho naona kabisa mnyama naenda kutoa sare kwasababu Misosa watacheza wamerelax kwakuwa hawana cha kupoteza na Simba watacheza kwa umakini mkubwa kuogopa...
6 Reactions
31 Replies
2K Views
Mechi ni saa 4 usiku mungu ibariki Ahly ungana nami kwa update za mechi hii YallaYaAhly dakika ya 5 mpira umeanza mpira umemalizika kwa sare ya 0-0
8 Reactions
245 Replies
13K Views
Mechi imeisha kwa Serengeti girls kupata kipigo cha 5 kasoro 2 yaani 0-3 ndani ya Azam Complex. Mwendelezo wa machungu ya AFCON.
0 Reactions
1 Replies
377 Views
Tuchel anachopitia ni Adhabu kutoka kwa Mizimu ya Mababu wa Sadio Mane na Mizimu ya Kiafrika. Huwez ukaamua ugomvi ule wa SANE na MANE kwa dharau Vile,.. Muulize Klopp alimdharau MANE hakufuzu...
6 Reactions
49 Replies
3K Views
Mnajisifia mnashinda goli 5, mtuonyeshe ni mechi zipi mmefunga 5 bila penati? Tuliwapiga 6-0, 5-0 -4-1 , zote safi bila tuta za mchongo. Sent using Jamii Forums mobile app
4 Reactions
58 Replies
2K Views
Pamoja na kuwa mi ni shabiki lia lia wa Simba lakini huyu jamaa ameibadili Yanga na ana Vission, club ya Simba imezungukwa na genge la wapigaji kuanzia mdhamini mkuu. Kila mkataba wa Yanga kuna...
12 Reactions
41 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…