Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Leo unasema umechoka na majini. Kipindi kile yanakusaidia hukuchoshwa nayo? Waulize wenzio sasa. Muulize Feisal si una namba yake. Waulize wengi tu ambao wamepita Yanga wakatengenezwa wakajifanya...
16 Reactions
255 Replies
14K Views
Dawa haramu. hizi ni dawa zilizopigwa marufuku kutumika na wachezaji either wa Mpira wa miguu, riadha au hata masumbwi kwani dawa hizi zinavichocheo ambavyo huweza kumfanya mchezaji kucheza bila...
2 Reactions
6 Replies
819 Views
Kwa mchezaji yeyote anayetaka kucheza yanga na ama aliyepo yanga kwa sasa, ajue hii ndio timu ya hatma ya ubora wake. Ubora wanaouonesha kwa sasa hautawahi kuonekana tena akisajiliwa na timu...
13 Reactions
79 Replies
2K Views
Match Day.... #nguvumoja# Kikosi Cha Simba Kinachoanza. Kikosi cha Geita Kinachoanza. Updates... Mpira Unaendelea 06' Simba wanafanya mashambulizi yakushtukiza kwenye lango la Geita...
9 Reactions
238 Replies
15K Views
Natumaini u buheri wa afya. Kumekuwa na mijadala mingi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu uchezaji wa Simba. Ukweli ni kwamba baada ya Simba kujitathimini kwa muda mrefu imeamua kubadili falsafa...
6 Reactions
69 Replies
5K Views
Je Yanga huwa wanatoa laana kwa wachezaji wanaohama klabu yao? Mifano iko wazi kama ifuatavyo... Frank Domayo alitoka Yanga akiwa fomu sana akaenda Azam Fc. Kila mmoja ni shahidi juu ya...
10 Reactions
91 Replies
12K Views
Nimewaza na kuwazua, kwa muda sasa Simba imeweka kambi yake maeneo ya Mbweni na ni umbali mdogo sana kutoka uwanja wa Meja Generali Isamuhyo ulipo. Yaani umbali wake ni mdogo kiasi kwamba katika...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Nasikia simba watacheza apo sasa kama huo uwanja unaweza kuchezewa ligi kuu kwa nini na sisi tusicheze pale bunju upi mzuli kati ya uwanja wao na wetu
4 Reactions
23 Replies
4K Views
Zaki Khellaf huyu ni mmoja wa wasakata kandanda 'mahiri' zaidi kuwahi kutokea duniani. Ni mraibu wa soka anayetokea nchi ya Algeria anayefahamika kwa jina la Chouchaa(Shusha) maarufu duniani kote...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katika pita pita zangu za kuangalia mechi za hivi karibuni kati ya Belouizdad alizocheza na mechi za Al Ahly alizocheza nikaja kustushwa na hali ya ratiba ya ligi ya Misri. Al Ahly mara ya...
5 Reactions
20 Replies
2K Views
Sisi mashabiki wa Yanga tulimvika Mayele ukubwa ambao hakustahiki Tulimwimba mno lakini me nilimwona ni mchezaji wa kawaida sana Kuna strikers walikuja Tanzania wakafanya makubwa lakini...
6 Reactions
28 Replies
1K Views
Katibu mkuu wa kamisheni ya ngumi TPBRC, George Silasi amesema kuwa kwa sasa kamisheni ya ngumi haiwezi kuwaruhusu Mwakinyo na Twaha kiduku wapigane. George Silasi amesema utofauti wa uzito ndio...
0 Reactions
4 Replies
723 Views
Kuna kipindi nilihamia team nyingine kutoka yanga nikakuta kule mashabiki wachache nishazoea shangwe kufunga kukawa shida nikasema ndio nimeisha au Ikn sikuwaza majini.” “Kuna wachezaji wakitoka...
5 Reactions
53 Replies
3K Views
Huyu ni mchezaji ambaye amepata nafasi ya KUSAJILIWA na kocha mmoja katika nyakati tofauti kwenye klabu tatu. Ni mchezaji wa Daraja la Juu na hata kocha aliyemsajili pia ni wa Daraja la Juu, je...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Hii timu ina viongozi wasiokuwa na maono kabisa na upigaji uliokithiri, pale mo arena tayari pana pitch nzuri tu. Kilichobakia hapo ni maboresho madogo tu. Vyumba vya kubadilishia nguo wachezaji...
3 Reactions
4 Replies
645 Views
Tuhuma za Yanga kutupia majini wachezaji wake imenikumbusha nyuma kidogo. Imenikumbusha nyakati kina Ngasa, Ajibu, Domayo, Niyonzima (orodha ni ndefu) wakati wanaondoka Yanga. Wakiwa kwenye piki...
10 Reactions
44 Replies
3K Views
Sijui kwanini Azam media wanalazimisha timu yao ya Azam kwamba ni derby dhidhi ya wakongwe wa Kariakoo? Kwanza ni timu ya juzi hakuna derby kati ya baba na mtoto, Mafanikio ya mataji haiwezi...
26 Reactions
97 Replies
4K Views
Namkubali sana Neymar Jr kwenye kuchezea mpira, sijapata kushuhudia mchezaji mpira anayejua kuchezea mpira atakavyo kama huyu kijana. Kuna watu wanasema Ronaldinho alikuwa fundi wa mpira, ila...
1 Reactions
39 Replies
3K Views
Nataka nikuhakikishie Mrisho Ngassa, mchezaji mwenye kipaji aliyeishia kuwa lofa kuwa Feitoto hakuna wa kumrushia majini. Feitoto kule kwao ndiko waliko hao majini, ushindi wa timu zetu...
3 Reactions
9 Replies
610 Views
Tatizo la Mayele ni majivuno fulani ambayo anayo. Anafahamu kauli yake itazua taharuki nchini kwa sababu bado ni maarufu hapa nchini. Angeweza kukaa kimya tu na kufanya mipango yake kuliko...
12 Reactions
55 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…