Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Timu yake ya MAMELOD SUNDOWNS inawachezaji wazawa wengi na ndio timu inayofanya vizuri kwa sasa afrika, timu ya taifa ya RSA ni mamelody hiyo hiyo kilichofanyika ni kuwavua jezi na kuwavalisha...
13 Reactions
31 Replies
2K Views
Reasons 1. Players chemistry yanga wana players chemistry nzuri sana . One the best in Tanzania 🇹🇿 . 2 : GAMONDI BALL mpira upo chini. Awabutui . Wa nafanya build up vizuri . Creativity . The...
2 Reactions
15 Replies
976 Views
Kwa muda mrefu timu ya Simba imekuwa inavutana na mchezaji wake clatous Chama lakini imeshindwa kumfukuza kutokana na jinsi media zimekuwa zikivumisha kuwa mchezaji huyo anahitajiwa na klabu ya...
1 Reactions
4 Replies
547 Views
Kwa mujibu wa report za FIFA za hivi karibuni kuhusu gharama za usajili na uhamisho wa wachezaji, imeonyesha vilabu vikubwa kama Al Ahly, Mamelodi, Pyramids vikiendelea kuonyesha sababu ya wao...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Chama ni mkubwa kuliko Simba sc Mnaopiga makelele aondoke mnajisumbua tu. "Simba sc haijamsamehe Chama Bali Chama kaisamehe Simba sc"
9 Reactions
27 Replies
1K Views
Zaidi ya vilabu 1000 vya soka duniani vilitumia dola bilioni 9.63 katika uhamisho wa mwaka jana na kusajili ongezeko la 48.1% la takwimu kutoka 2022. Wachezaji wa kitaalamu walichangia 31% ya...
0 Reactions
1 Replies
493 Views
Kama ulikosa kuingalia mechi ya Inter Miami dhidi ya Al Nassr, basi hapa nimekusogezea video inayoonyesha magoli yote yaliyofungwa. Mechi hii ilizikutanisha timu za Miamba miwili ya Dunia Lionel...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa mtazamo wangu simba sc ili ifanikiwe kimpira barani africa inatakiwa isajili washambuliaji kutoka inchi hizi barani africa na wachukuwe anaecheza kikisi cha taifa. Morocco [emoji1173] Mali...
2 Reactions
25 Replies
1K Views
Ukweli usemwee juu ya mTanzania mwenzetu na mwanamichezo wa mchezo ngumi nchini ndugu Twaha kiduku kuhusu uwezo wake mdogo katika mchezo wa ndondi, naheshimu kipaji chake na kazi yake ya ngumi...
7 Reactions
33 Replies
3K Views
Mzuka wanajamvi. Hawa wazungu hasa wana habari wanawamaliza sana jamii ya kiafrika hasa kwenye michezo. Wasipokuundia mizengwe ya ubakaji basi watasubiri tu utende kosa flani na kukuathiri...
26 Reactions
79 Replies
4K Views
1. Ryan giggs - 162 2. Cesc fabregas - 111 3. Kevin De bruyne - 104 4. Wayne Rooney - 103 5. Frank Lampard - 102 6. Dennis Berg Kamp - 94 7. David Silva - 93 8. Steven Gerrard - 92 9. James Milner...
0 Reactions
3 Replies
705 Views
Nje ya Mada ( na wala haihusiani kabiaa na Bondia wa Mchongo tajwa hapa ) hivi ni kwanini Siku hizi Watu wakikukuta / wakikufumania na Wake zao na wakijua tu kuwa Wewe ni Mtu maarufu duniani...
6 Reactions
23 Replies
2K Views
Mnaobeti chukueni hii Morocco anatoka leo kwa kufungwa na South Africa Goli 1 sasa au Goli 1 katika dakika 30 za baadae kama wasipofungana au katika Penati ambako South Africa watafunga ila kwa...
13 Reactions
114 Replies
5K Views
Bingwa wa mashindano ya AFCON 2023 anachukua zawadi nono ambayo haijawahi kufikiwa ya dola milioni 7, sawa na shilingi bilioni 17 na milioni 500. Kabla mashindano ya AFCON 2023 hayajaanza...
13 Reactions
25 Replies
3K Views
Bado sijaelewa kama hawa wachezaji wa Simba wana kazi nyingine zaidi ya mpira au namna gani? Bado wachezaji wetu wanafanya makosa madogomadogo na wanakosa seriousness. Bado wachezaji wetu...
5 Reactions
36 Replies
2K Views
Nilikuwa ninaangalia Mahojiano ya Kocha wa Azam bwana Youssoph Dabo kupitia Azam FC TV, kuna mengi kwenye interview ile kuhusu Mpira wetu; mfano kuna swali aliulizwa juu ya wachezaji wa Tanzania...
3 Reactions
5 Replies
896 Views
Daaah nimeitazama Simba yangu Jana nimesikitika sana siku mzima Kwa wachezaji wapya na uchezaji wao Kwa kweli hawa wachezaji tumepigwa. Wachezaji hawa ni wabovu hawawezi kutoboa Kwa mechi za...
1 Reactions
2 Replies
597 Views
KATUNI KUTOKA MWANASPOTI. KATI YA SIMBA NA CHAMA HAPA UMEELEWAJE? Maelezo ya picha Kwa ambao picha hazifunguki Picha ya katuni inaonyesha simba mdogo amefungwa kamba shingoni kama mbwa Kamba...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
Wahariri Tv zetu hebu wastueni watangaza mpira kati ya Guinea na Equatorial Guinea kombe la AFCON .Guinea ziko mbili Guinea Bissau na Guinea conakry geography wako zero. Timu inayocheza Leo na...
14 Reactions
81 Replies
4K Views
Wasalam wanajukwaaa. Nipo naangalia hii Match ya Simba na Tembo ya FA Aisee inakera badooo sana, Yani zile beki zinachokifanya ndio kile tumetoka kukiona kwenye Team ya Taifa. Japo sio wote...
5 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom