Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Mchezaji wa timu ya taifa ya Gabon Guélor Kanga Kaku atakutana na kamati ya nidhamu ya CAF kueleza kwa nini mama yake alifariki mwaka 1986 lakini yeye alizaliwa 1990. [emoji20]
6 Reactions
33 Replies
4K Views
Zlatan Ibramovic Edward Henrik Larsson Hawa wote ni miamba ya Soka toka nchini Sweden japo kwao Sweden kuna mdau mmoja wa Sweden aliniambia Wasweden wanampenda sana Zlatan Ibramovic sio ajabu...
1 Reactions
15 Replies
628 Views
Wakati mwingine ujuaji usio na kiasi huweza kumsababishia mhusika matatizo yasiyo ya lazima mbele ya safari ambayo pengine angefika salama. Haji Manara kwa mfano. Bwana yule hujifanya anayo mengi...
15 Reactions
60 Replies
4K Views
Waziri wa Uatamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro ametoa wito kwa Watanzania na wadau mbalimbali wajitokeze kuzichangia timu za Taifa katika harambee itakayofanyika Januari 10, 2024...
0 Reactions
5 Replies
482 Views
Mashindano ni mengi sana kwa wachezaji walewale. Ligi, FA, CECAFA, Caf champions, AFCON na mechi za kirafiki zote hizi ni muhimu na zina uwezo wa kuzalisha majeruhi kwenye timu yako. Haya...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Bado Jamhuri ipo kwenye growth process , it is too obvious nyie kushinda. Hakukuwa na changamoto. Kwanza SSC leo hii ikikutana na YANGA bado SSC atalalwa sio chini ya goli 3 . Haiwezekani...
2 Reactions
13 Replies
961 Views
Nawaambia kabisa viongozi wa Simba kama Jamhuri wangekuwa na quality kidogo tu kesho asbh tulikuwa tunarudi Dar es salaam, mchezo leo ulikuwa mgumu sana na kwa pira lile leo kama tungecheza tu na...
3 Reactions
21 Replies
1K Views
USAJILI WA SIMBA NI KAMA UJENZI WA MNARA WA BABELI. Wakati wa ujenzi wa mnara wa Babeli mtu anaagizwa alete tofali yeye anaenda kuleta kilita cha ulanzi. Aliyeagizwa alete mchanga yeye analeta...
5 Reactions
31 Replies
21K Views
Kocha Mkuu wa Simba SC, Abdelhak Benchikha ametoa onyo kwa mastaa wa klabu hiyo, ambao wamepewa nafasi nyingi kupitia michuano ya Mapinduzi ambao walikuwa hawapati nafasi ya kucheza kuitumia vyema...
3 Reactions
5 Replies
803 Views
Match Day Simba SC Vs Jamhuri SC Mapinduzi Cup New Amaan Complex Robo Fainali 08.01.2024 Mchuano huu ni kwa ajili ya mchezo wa soka uliosubiriwa kwa hamu huku robo fainali ya nne ikiendelea leo...
8 Reactions
318 Replies
56K Views
Kwanza niseme Ninamuheshimu sana Saimon Msuva kama mchezaji na pia kama binadamu, nidhamu yake ndani na nje ya uwanja ni ya kiwango cha juu sana. Lakini pia ni mchezaji ambae kila anapovaa jezi...
9 Reactions
89 Replies
27K Views
"Tunawapongeza APR ila kwa sisi kitu cha muhimu ni Ligi, Ligi ya Mabingwa na Kombe la FA. Michuano hii tuliichukulia kama sehemu ya kufanya uchambuzi wa kikosi chetu na ni wachezaji gani...
6 Reactions
94 Replies
23K Views
Huyu ni mmojawapo wa wachezaji waliosajiliwa kwa mbwembwe kipindi cha dirisha kuu la usajili msimu huu. Cha kushangaza alicheza mechi zisizozidi mbili za mashindano. Tangu mwezi Septemba 2023...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Tofauti na kauli zinazotolewa baada ya kupokea kichapo cha goli tatu kwa moja kutoka kwa APR ya Rwanda, timu ya Yanga ilienda Zanzibar ikiwa na malengo makubwa. Kauli zinazotolewa baada ya...
0 Reactions
20 Replies
1K Views
Kila timu inayo mipango yake na kupanga ni kuchagua, ndio maana Kuna timu zimeenda kushiriki mapinduzi na vikosi vyao vyote vya kwanza na Kuna timu zimeenda kushiriki na mchanganyiko wa vijana wa...
11 Reactions
22 Replies
2K Views
Kama kweli Yanga wanania ya kumwacha Moloko basi heri Simba wamchukue, kwanza tumeona kiwango chake na tunaijua,halafu bado mdogo sema tu hapewi tu nafasi. Sent using Jamii Forums mobile app
3 Reactions
27 Replies
1K Views
Yaani utoke tu huko Kwenu Ghana ghafla utake kuja Kuvunja Ufalme wa Mtoto wa Kikongo ambaye Mganga wake wa Kienyeji kamwambia mpaka Boksa na Chupi yake ikiwezekana nazo awe Anazichomekea vile...
6 Reactions
30 Replies
2K Views
Wanajamii naombeni sababu za kitaalamu zilizofanya goli la Azam kutokuwa offside. Kwakuwa marejeo ya video yanaonyesha kabisa aliefunga goli alizidi.
1 Reactions
18 Replies
2K Views
"Ni ngumu sana kwa sasa Simba kusajili mchezaji mwenye kiwango kikubwa au timu kubwa kutoka Ulaya labda wasajili wachezaji wanaocheza ligi za daraja la chini au mchezaji ambae tayari kiwango chake...
2 Reactions
12 Replies
878 Views
[emoji599]_| Klabu za Afrika ambazo zimepeleka wachezaji wengi AFCON 2023/ 2024 1. Mamelodi [emoji1221] - 11 2. Al Ahly [emoji1093] - 10 3. Pyramids [emoji1093] - 9 4. Yanga SC [emoji1241] - 8...
5 Reactions
29 Replies
2K Views
Back
Top Bottom