Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Alivyokuja akajifanya hana mpango na Boko vile. Akaanza kuwabwaga Chama na Phiri. Na akiendelea kuwasikiliza anaenda kuiua timu kifo cha mende.
2 Reactions
6 Replies
696 Views
Baada ya kuja kocha Cadena Chama na Phiri waliwekwa kwenye presha kubwa sana. Lengo wateswe kisaikolojia watoke mchezoni. Kweli bana fitina zikakuzwa kwa kocha Chama akaanza kutemwa mara Benchika...
8 Reactions
37 Replies
2K Views
Mechi moja makosa mawili yanyofanana na moja likizaa goli. Umesifiwa siku mbili, lakini haikukusaidia kubadilika. Makosa kama haya hayawezi hayavumiliki. Waliosema Manula atafute timu Leo...
6 Reactions
43 Replies
4K Views
Vunja Bodi ya Simba haina uwezo wa kukushauri wala kukusaidia, wape kazi wanachama wakushauri watu wa kuingia kwenye Bodi, hiyo Bodi kwa sasa inakuchonganisha na mashabiki na wanachama wa Simba...
4 Reactions
8 Replies
658 Views
Habari wajumbe. Ni muda Sasa sijamsikia mtangazaji maarufu wa kabumbu wa Azam Media, Baraka Harrison Mpenja a.k.a Sauti ya Radi ambae mechi zote kubwa mara nyingi huwa anakaa nyuma ya kipaza...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
SSC mtagombana na makocha wote, makocha hawana Options, wachezaji wa SSC ni wamemaliza maajabu yao kwa asilimia kubwa na hakuna wachezaji wenye uwezo kwa kocha kufanya maajabu. Hata mshinde vipi...
10 Reactions
11 Replies
570 Views
Kwa mtu yeyote aliyeifatilia Simba atagundua timu haipo sawa kuanzia kiuchezaji Hadi kujituma kwa wachezaji. Pamoja na kuufurahia kuwafunga Wydad lakini timu imepoteza uelekeo, Kila mchezaji...
3 Reactions
9 Replies
820 Views
Sorry mwalimu wa medeame wewe sio wakwanza kufukuzwa baada ya kufungwa na yanga Nikumbushe mwalimu mwingine aliefukuzwa baada ta kufungwa na yanga[emoji116][emoji116] Mwingine ni robertinho Toka...
2 Reactions
2 Replies
456 Views
Uwanja huo ambao gharama yake kwa mechi moja ni milioni 5.9 kwa siku sisi hatuutaki na ndio maana hatukwenda kwa wingi uwanjani, na mkiendelea kutumia uwanja huo hata nafasi ya nne hamshiki msimu huu.
1 Reactions
5 Replies
493 Views
Ikicheza mchezo wake wa 18 katika Premier League msimu huu wa 2023/24, Manchester United imepoteza kwa magoli 2-0 dhidi ya West Ham United, ikiwa ni mchezo wa 8 kupoteza katika Ligi hiyo. United...
1 Reactions
6 Replies
794 Views
Gamondi ameongeza kitu Yanga tumpe Maua yake !
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Kuelekea Mechi ya chelsea na Man utd siku ya jumapili hutawaliwa na sayari ya jua na nyota yake ni ya simba,ilhali tarehe 16/04 hutawaliwa na nyota ya kondoo Chelsea man utd...
21 Reactions
99 Replies
39K Views
Habari wakuu Clatous chota chama ameifanyia simba makubwa sana kwa misimu kadhaa nyuma ila imefika wakati simba tunapaswa kuachana nae na kuangalia maisha mengine. Yanga waliachana na Saido...
4 Reactions
41 Replies
4K Views
Kutokana na Sheria kutoruhusu vilabu viwili tofauti vyenye mmiliki mmoja kushiriki michuano hiyo. Kazi kwao kuchagua aende Nani abaki nani. ? Angalizo : Vipi kuhusu RB SALZBURG na RB LEIPZIG...
0 Reactions
1 Replies
381 Views
Imefahamika kuwa mabosi wa Simba SC wapo kwenye mazungumzo na winga wa klabu ya Sporting Lagos ya Nigeria, Jonathan Alukwu kufuatia maagizo ya kocha mkuu wa timu hiyo, Abdelhak Benchikha katika...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Tunajua tunachokifanya kwenye program za Watoto ndo maana tunatumia Watoto kweli kwenye mechi zetu Hatuangaliii matokeo ya leo tunaangalia faida kubwa ya baadae kupitia Watoto hawa Hatutaki...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Nani mwene link ya kutazama mapambano haya live, nliwauliza Azam kwanini wanaonesha mipira ya nje na sio boxing, hawakunipa jibu la kuridhisha
1 Reactions
8 Replies
500 Views
Timu za kariakoo (Simba sc na Yanga Sc) Hawa mapacha huwa wanakasumba sana haswa Hawa viongozi wanapoulizwa kuhusu suala la masilahi. Nimemshuhudia Chama (kipenzi Cha mashabiki) akicheza mpira...
7 Reactions
95 Replies
4K Views
Jina lake kwa sasa ni kubwa kwenye Ulimwengu wa Soka na anatajwa takribani kila wiki, amecheza soka Hispania, Ufaransa, Scotland na England. Timu alizocheza Barcelona B Paris Saint-Germain...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Back
Top Bottom