Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Tunajua kuna wenye roho mbaya hawalali wakitutakia mabaya wana Simba tushindwe na hao waarabu. Enyi wenye roho mbaya nawaambieni wazi kwamba tumekuja kuchukua point zetu 3 kwa mwarabu, Simba sio...
4 Reactions
26 Replies
1K Views
Waathirika wa maporomoko ya Mlima Hanang wengi wao kama sio wote ni washabiki wa Simba na Yanga. TFF ratibu pambano la Simba na Yanga ili mapato yote yaende Hanang kama kurudisha kwa jamii...
1 Reactions
6 Replies
607 Views
Hawa ni miongoni wa beki tatu bora waliowahi tokea duniani. Bila ya kujali ushabiki waorodheshe kuanzia alie kuwa bora zaidi ya mwenzake katika nyanja ya beki wa kushoto.
1 Reactions
7 Replies
439 Views
Kinaniuma sana hiki lakini sisi mashabiki wa Simba tulivyo mambumbumbu tunawacheka Yanga wakati kwetu hali si hali.
6 Reactions
28 Replies
2K Views
Ntibanzonkiza ukimwangalia kwa jicho la ndani Hana msaada kwa Simba kwa namba 10 anayocheza, hivyo anampa wakati mgumu Baleke kupata mipira kazi za kumpa mipira Baleke anaiweza Chama only...
6 Reactions
19 Replies
1K Views
5 Reactions
40 Replies
2K Views
Habari za Jumapili wanajukwaa. Nianze kwa kusema tu kwamba kiuhalisia Jana Simba wamecheza vizuri sana kabla ya Sub Moja haijafanywa, na swala la simba kufungwa 1 tu na Wydad linadhihirisha kua...
10 Reactions
51 Replies
3K Views
Yanga juzi wakati wamacheza Ghana walivaa vitambaa vyeusi kuonyesha wanaguswa na tukio la Hanang hamna timu nyingine imefanya hivyo Yanga kwenye foundation ya prof jay imechanga tsh 5m upande...
3 Reactions
9 Replies
577 Views
Simba sc na pacha wake Young African SC Ninyi ni timu bora na kongwe kwa Tanzania. Zinauwekezaji mkubwa na mashabiki wengi kwa Tanzania kuliko timu yoyote ile. Wote mumeingia makundi kwa pamoja...
5 Reactions
23 Replies
997 Views
Hizi ni hujuma Mimi kama mpenda soka Huwa nachukizwa pale timu inakuwa na goli za penalty ( coz inonyesha % nyingi za mbeleko) Hatua ya makundi [emoji23][emoji23]kolo kafunga goli Moja tu nalo ni...
4 Reactions
44 Replies
1K Views
Mechi za hatua ya Makundi za Ligi ya Mabingwa Afrika kuendelea tena leo tarehe 08.07.2023 Yanga kutoka katika kundi D watakuwa ugenini kumenyana na Madeama ya nchini Ghana. Mechi hii itachezwa...
13 Reactions
1K Replies
54K Views
Kwanza Wydad hawana kikosi cha ajabu, kuna game ya ugenini lazima apoteze. SSC ijitahidi kushinda game zote za Home na akienda Asec kwa SSC hii, atafute ushindi au afanye droo. Bado matumaini...
7 Reactions
82 Replies
3K Views
Bocco tushamuona, Baleke tumemuona hana jipya tena, kila cku yeye ni kukosa magoli tu, Phiri amechapoteza mwelekeo, shabaha iliyopo sasa hv ni Shaaban Chilunda tu, kijana huyo ana uwezo mkubwa...
0 Reactions
4 Replies
510 Views
Wydad ndo njia ya Simba kuelekea robo, Wydad wanapoint 6 zetu tutampiga nje ndani. Asec tutashinda kwao au draw, na Jwaneng tutampiga kwa Mkapa kipigo cha mbwa mwizi, halafu mahesabu ya kuelekea...
15 Reactions
80 Replies
4K Views
Embu tujadili shida iko wapi kwa klabu zetu za Tanzania kushindwa kufanya vyema kwenye hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika?🤔 Wote wanashika mkia kwenye makundi yao wakiwa na pointi...
1 Reactions
7 Replies
577 Views
Jana Simba imepambana sana na matokeo yameniuma sana utadhan nimefiwa na mzazi, haki tena, ila kitu kinanipa taabu sana na kunipa hofu kama kweli Umoja upo Simba, pengine ndio maana matokeo...
1 Reactions
5 Replies
628 Views
Huu ndo mchezo unaosubiriwa kwa hamu zaidi kwani utakuwa mchezo wa mwisho kwa Simba na Wydad kuamua kusonga mbele ama lah! Siku hii kwa namna yoyote ile Simba lazima ishinde ili kuwa na matumaini...
1 Reactions
2 Replies
519 Views
Yanga walianza ligi kuu kwa kushinda mechi kwa magori mengi kumbuka zile 5G. Gamond akadhani ana kikosi kipana akafanya rotation kwenye mechi dhidi ya Ihefu, kilicho mpata alipoteza ule mchezo...
1 Reactions
7 Replies
581 Views
Japo hatutaki hili litokee tuendelee kuiombea hiyo timu lakini it's a destiny lazima Wydad Casablanca ashinde coz hawezi endelea kukaa kule mwishoni So japo tuendelee kuomba Dua ....ila hili ni...
5 Reactions
49 Replies
2K Views
Kumekuwa na maneno kutoka kwa wachambuzi na wdau mbalimbali wakidai kuwa yanga Ili itoboe kwenye makundi nilazima wapate mtu kama Mayele, vipi kuhusu mahasimu wao Simba?
0 Reactions
9 Replies
531 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…