Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kwa kiwango na uchezaji wa Simba hii, hakika michuano hii ingedharaulika na kutofuatiliwa. Simba imechoka na haina hata uwezo wa kupiga pasi tano. Simba wamekuwa wakijipambanua kuwa wao ndiyo...
3 Reactions
5 Replies
419 Views
Malengo ya Simba sc kimataifa ni kufika nusu fainali na malengo Yanga Sc kimataifa ni kuingia makundi. Yanga wametimiza malengo Yao lakini siyo malengo ya kushangilia sana kwa maana Yanga Sc ni...
1 Reactions
0 Replies
265 Views
Nasikia Simba waliokuwa wanawacheka Yanga kushika nafasi ya mwisho kwenye kund,i, leo wanaongoza kundi baada ya mechi yao na Wydad. Nawapa hongera sana kwa kuongaza kundi.
5 Reactions
8 Replies
939 Views
Simba hii kwa sasa naona wamebaki kukamia mechi dhidi ya waarabu na sio kuzicheza mechi hizi kiufundi, kilichoonekana Jana kinathibitisha ilo! Kadri muda ulivyokuwa unaenda nilikuwa sioni Simba...
0 Reactions
2 Replies
404 Views
Hii team ni mbovu sana aisee, naangalia hapa mechi yao dhidi ya asec hata ikitokea wameshinda ni ngekewa tu ila hii team mbovu. Na huu uwanja wao kabisa ni takataka eneo la kuchezea, hapa hata...
1 Reactions
3 Replies
358 Views
Yaani nionavyo mimi hizi timu hazifiki popote pale, zitaishia kwenye makundi tu au zitupwe shirikisho huko. Uzi tayari, kama una kaza fuvu sawa.
5 Reactions
35 Replies
3K Views
Huyu Cadena hajui ukocha kabisa. Aliachiwa azam kidogo akaiua kwa staili hii hii ikitoka kushinda gemu 10 kati ya 11 chini ya Kali Ongala. Leo sio kibu, Sio ngoma, Kanute au Mzamiru miguu kama...
8 Reactions
31 Replies
2K Views
Mechi 2, Alama 1, Goli za Kufungwa mpaka sasa ni 4 na uko wa Mwisho katika Kundi halafu bado kabisa mlivyo watupu Vichwani mnatamba mtatoboa hadi Robo Fainali ya CAFCL. Ukisahau kuwa hata...
12 Reactions
53 Replies
4K Views
Msemaji wa Singida BS Hussein Massanza tulipokutana Singida nilikwambia uache kuwasumbua watu kwamba mtaifunga Yanga. Nilikuuliza mtashindaje ikiwa mnacheza kwa maelekezo? Mzee wa Jambia kaiweka...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Nimejaribu kuangalia gemu nyingi Sana Simba alizocheza ugenini hususani na timu za kaskazini. Kama wangewekeza kwenye professional game huenda wangevuka hatua zaidi hata kufika nusu au fainal kabisa
3 Reactions
8 Replies
904 Views
Hawa jamaa wamekuwa na desturi ya kulalamikia waamuzi sana.Ni kama mwanamke anavyolalamikia mfumo dume.Unakuta mradi aonekane kaonewa tuuu na huenda wanatafuta huruma. Kwa hapa nyumbani...
3 Reactions
11 Replies
710 Views
Yaani kwa jinsi uwezo wa hii timu ulivo wa kiwango cha kawaida, tunashindwa kuamini kama kweli yale mabao 5 yalikuwa ni uwezo wa timu yao, ushahidi ni hizi mechi za ligi ya mabingwa ambazo...
11 Reactions
35 Replies
2K Views
Bongo mambo mengi ..... Msimu uliopita Baada ya wananchi kuvuka vikwazo vingi Katika michuano ya CAF confederation na kufika fainali....baadhi ya wachambuzi na semaji lao la mchongo na mashabiki...
11 Reactions
65 Replies
2K Views
MSAADA MWENYE KUJUA CHANNEL ITAKAYOONYESHA MECHI YA TIMU YA WANANCHI DAR YOUNG AFRICANS MSAADA PLS
0 Reactions
15 Replies
6K Views
[emoji1630]Klabu ya Wydad AC imewarudisha wachezaji wake wawili ambao ni Zouahir El Moutaraji na Ismail El Moutaraji ambao walishaanza mazoezi na timu [emoji1630]Wachezaji hao wawili walikuwa...
7 Reactions
47 Replies
3K Views
Timu ya Aston Villa imeendelea kuonesha kuwa msimu huu haina utani kwenye Premier League, hiyo ni baada ya kuichapa Arsenal goli 1-0 kwenye Uwanja wa Villa Park. Matokeo hayo yanaifanya Villa...
4 Reactions
5 Replies
678 Views
Leo Jwaneng Galaxy kachezea pale pale kwake mabao 2 - 0 na Asec, sisi tulimkosa sana na tulivokuwa wasahalifu tukaanza kumsifia Benchika kaibadilisha timu, cjui ss hv timu inacheza vizuri, sijui...
6 Reactions
14 Replies
953 Views
Kikosi cha Simba Queens Kikosi cha Yanga Princess Simba Queens yaingia fainali kwa kuipiga Yanga Princess Kikosi cha timu ya soka ya Wanawake ya Simba Queens kimefanikiwa kuingia Fainali ya Ngao...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Asec ameshinda mabao 2 0 ugenini leo, nini maana yake? Ameshaokota pointi 7 now, mechi 3 alizobakisha mbili atakuwa nyumbani, atacheza na Gwanengy kwake na atamalizia na Simba, hao wote atawaua...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Asec Mimosas wamewacharaza Jwaneng Galaxy nyumbani kwao kwa goli 2-0. Na sasa wana jumla ya pointi 7, Asec wana mechi mbili za nyumbani dhidi ya Galaxy na Simba, na moja ya ugenini dhidi ya Wydad
3 Reactions
24 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…