Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Habari wapenda soka wenzangu, naam nianze kwa kusema Mpira wetu kivyetu vyetu, ndio naweza kusema hivo. Jana Simba amecheza Match ya CAF Champions League walichokiona Viongozi na wapenda Mpira ni...
5 Reactions
15 Replies
956 Views
Siku moja nikiwa naangalia Soka pale Gentlemen Sports Lounge (Sinza) huku najipongeza kidogo baada ya mihangaiko ya hapa na pale, nilimsikia jamaa mmoja meza ya pembeni akisema "Hii siyo Simba...
4 Reactions
5 Replies
603 Views
ManchesterCity imeendelea kushika usukani wa Premier League kwa kufikisha pointi 29 licha ya kulazimishwa sare ya goli 1-1 katika mchezo dhidi ya Liverpool yenye alama 28 kwenye Uwanja wa Etihad...
1 Reactions
6 Replies
943 Views
Jambo Afande. Heshima yako mkuu Kama nilivyotanguliza salam hakika unastahili pongezi za dhati kabisa katika utendaji wako wa kazi hakuna atakayebisha kwa Hilo na hata Kama akitokea wa kubisha...
2 Reactions
7 Replies
703 Views
Mpira unachezwa kichwani kwa mchezaji. Matokeo mabaya uwanjani yanaanzia kichwani na yanarudi na kuishi kichwani kwa mchezaji. Wachezaji hawana kazi nyingine, kazi Yao ni mpira TU na Wana malengo...
2 Reactions
0 Replies
550 Views
Habari. Jumamosi Novemba 25 pale Benjamin Mkapa stadiamu itapigwa mechi kati ya Simba vs Asec. Iwapo Simba watapoteza mechi hii, basi msimu huu mambo yatakua yameharibika na kuisha kabisa...
3 Reactions
4 Replies
504 Views
Ukiangalia gemu ya jana Yanga anakula vyuma vitatu dhidi ya waAlgeria ni kama Jana Yanga walijisahau wakahisi wanacheza na Pamba ya Mwanza au Lipuli ya Iringa na kusahau wale ni professional...
3 Reactions
6 Replies
687 Views
Sioni Benchika akitoboa pale Simba SC. Jamaa hana mpira mzuri wa kuvutia, Alipokuja Dar ma USM Alger alizidiwa possession na pia second leg tena wakiwa na home advantage wakazidiwa possession na...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Tunawashukuru sana Azam TV kwa kufufua mchezo wa ngumi , watu wameukubali na wanaunga mkono , lakini jaribuni kuwa wabunifu , haiwezekani mabondia wale wale wapigane mara zote . Mabondia hawa...
15 Reactions
68 Replies
41K Views
Leo baada ya mechi uwanjani Simba waliamua kupandisha wachezaji kwenye magari madogo kama Alphad na Noah ili wasijulikane baada ya kuona usalama ni mdogo nje ya uwanja. Hata walipotoka walikuta...
1 Reactions
2 Replies
814 Views
Na naukumbuka tena kama kawaida yake Alifumba na Kuuliza / Kutuuliza je, tunadhani ni Timu gani kati ya Yanga SC na CR Belzoud FC itafungwa Magoli hayo ama 2 kwa 0 au 3 kwa 0? Team GENTAMYCINE...
12 Reactions
50 Replies
4K Views
1. Bado nafasi ipo kwa Yanga kama tunakumbuka msimu jana kwenye shirikisho Yanga walipoteza ugenini mechi ya kwanza nawakafika adi fainali hivyo bado muda upo. Tuna enjoy kwatimu kutoka Tanzania...
13 Reactions
85 Replies
5K Views
Ujio wa kocha mpya utawafanya wachezaji watakaopata nafasi ya kucheza wapambane kufa na kupona Ili kujihakikishia nafasi kwenye kikosi Cha kwanza Cha kocha mpya. Matokeo yatakua ni 3-0 au 3-1.
6 Reactions
24 Replies
1K Views
Huu mfumo wa 4:2:3:1 ni mfumo mbovu kwenye mashindano ya kimataifa yenye waamuzi wazuri na teknolojia ya VAR, Huo mfumo huzalisha offside nyingi pia unaruhusu mashambulizi ya pembeni, huu mfumo...
1 Reactions
8 Replies
675 Views
Baada ya kuutuzama kiufundi mchezo wa jana wa ligi ya mabingwa Africa baina ya yangu Yanga sc dhidi ya CR Belouizdad ya nchini Algeria nafikiri uongozi wa Yanga sc unapaswa kuzinduka haraka ikiwa...
6 Reactions
8 Replies
681 Views
24 November 2023 Vancouver, Canada Mshambuliaji hatari wa Azam FC, Cyprian Kachwele umri miaka 18 amesainiwa katika klabu ya Vancouver Whitecaps FC Taarifa ya klabu hiyo ya Canada inayoshiriki...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna maswali huwa najiuliza hivi inakuwaje timu zetu zinakuwa na magolikipa mapazia halafu wanachaguliwa timu za Taifa na kudaka mechi za umuhimu Manula na Metacha hawawezi kutulia golini na wala...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Karibu kocha mpya wa simba na nakutakia mafanikio katika safari yako ya kuja kulibadilisha soka la simba kutoka kuwa soka la konokono (polepole) na kwenda kucheza mpira wa kisasa wa kasi kubwa...
2 Reactions
2 Replies
752 Views
Ni wazi kwambasimba inajibusti kwa nguvu za ndumba wakiwa uwanjani na mara kadhaa hufanya wazi wazi hata kama ni nje ya nchi. Ndumba mama ni roho ya ndumba zingine, bila ndumba mama ya Simba...
0 Reactions
6 Replies
703 Views
Back
Top Bottom