Nimeskitika sn Dulla na Ibra Classic kulalamikia chama Cha ngumi Tanzania eti Dulla alikuwa ameshinda.
Kibaya zaidi Ibra Classic anaongea bila aibu eti majaji wameshindwa kumbeba Dulla kwa...
Inaonyesha huko simba hali si shwali kabisa, nasikia admin amekataa kuposti chochote
Tangu jana saa tisa mchana kilipotangazwa kikosi, mpaka sasa hakuna updates zozote, si half time, full time...
Mwanariadha wa kimataifa wa Tanzania Alphonce Felix Simbu ashika nafasi ya Pili kwa muda wa Saa mbili na Dakika tano na sekunde Thelathini na Tisa (2:05:39) na kuwa muda wake mzuri (PB) yaani...
Kuanzia mashabiki, uongozi na mwisho wachezaji wa Simba,utaona kuchanganyikiwa kusiko na kipimo (beyond measure). Wenzao Yanga wametulia tuli.
Simba wanafikiri kuwa na jina kubwa ni magoli...
Kuna huyu mtangazaji wa Manara TV anayehoji watu kwa kifaransa, leo alimuhoji mchezaji wa ASEC Mimosas. Watu wamekuwa wanamsifia sana huyu dogo kisa ufahamu wake wa lugha ila ukiangalia inaonyesha...
Nianze kwa kueleza kusikitishwa kwangu na kiwango kidogo cha uelewa kilicho onyeshwa na baadhi ya wana jf ambao walikuja kuushushua utabiri wangu baada ya mechi.
Komenti za wana jf hao...
Alitoka Azam. Azam ikiwa mbovu sana. Aliua makipa kwa mazoezi yasiyo na vipimo. Alipopewa Timu nilisema mno Kama toka aje Makipa viwango vinakufa kwa mazoezi mengi. Toka Aly Salum, Ayou na...
Kwa yanayoendelea Simba, hakika kama siyo utani wa jadi tungeweza kuwaalika(kuwakodi) mashabiki wa Yanga kwajili ya kutuondolea wanao cheza na akili za mashabiki wa Simba.
Kwanini nasema haya...
Mashabiki wa Simba wamempiga shabiki wa Yanga uwanjani lakini TFF haikutoa adhabu kwa Simba badala yake imewatafuta waliompiga TU na kuwapa adhabu hao tu. Kwa timu nyingine TFF haitafuti mashibiki...
Sisi wakazi wa bunju tunaomba utuwekee bango letu la matokeo ya mechi yetu kati ya Belouzdad na Yanga pale mlipoweka bango la mwanzo.
Pia msiwasahau na wale watu wa manzese pamoja na marudio ya...
Mpira ni moto kuliko kawaida!! Al Ahly wanahaha lakini wamekamatwa vilivyo. Huko Medeama kuna vipaji mno! Golikipa ni mzuri mno!
Kila upande umetengeneza nafasi a wazi lakini hawakuzituia...
Leo 25/11/2023 katika dimba la Bnjamini Mkapa Dar es Salaam unatarajiwa kuchezwa mchezo wa kwanza wa Kundi B kati ya Simba SC ya Tanzania dhidi ya Asec Mimosa ya Ivory Coast.
Mechi hii itaanza...
Ukiangalia kikosi chao cha leo dhidi ya timu dhaifu. Lakini bado uchezaji wao ni uleule hakuna maajabu wala nyongeza yoyote kwenye kikosi cha makolo.
Sajili mpya zote zimeshindwa kuonyesha kile...
Wana Simba SC fanyeni kila muwezalo ili Moja Dewji aachane na Simba SC na haraka sana Cognizant nitawaletea Mwekezaji Mpya na wa maana Klabuni huku upande wa Kusajili Wachezaji mahiri na wa kuipa...
Tutaonana mwakani ndugu zangu kwa sababu hamna maarifa.Mnaoroga wachezaji ili waonekane hawajui mpira, ionekane usajili haukuwa mzuri ili mpige hela tena, mnaroga wachezaji ili wachukiwe na...
Na mlivyo wa hovyo mlidhani Cognizant "Think Tank and Adorable Angel" hili Tukio lenu mlilolifanya kwa Siri Kubwa sitolijua na kupata Taarifa yake kwa Kina?
Ukweli ni kwamba 75% ya Mashabiki wa...
Mwekezaji Ni Dewji na Viongozi wako / wenzako akina Salim Abdallah Mhene 'Try Again", Murtaza Mangungu na CEO Imani Kajula upesi sana kaeni Kitako na Wachezaji wa Simba SC myamalize kwani Upuuzi...
Huyu Mwenyekiti ajitathmini na afanye maamuzi ya kupumzika uongozi, kutoka na upepo unavyoelekea atapata wakati mgumu Sana.
Mangungu aachie ngazi kwani Hali ya timu siyo nzuri
Ukweli usemwe japokuwa ni mchungu, hamasa imekua kubwa sana katika kuwahamsisha mashabiki wa Simba sc lakini mwitikio sifuri.
Zimesambazwa tickets za bure kwenye matawi, viongozi wa Simba sc...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.