Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Jamaa anavyeti na mzuri wa mazoezi lakini bingwa wa Figisu na hana uwezo kabisa wa kufundisha ata makipa. Toka aje Simba kama alivyokuwa Azam makipa ndio wanakuwa wabovu zaidi badala ya...
3 Reactions
34 Replies
2K Views
Zanzibar, Kwa mujibu wa msemaji wa Yanga ndugu Ally Kamwe mchezaji wao wa kati Ibrahim Bacca ni mwanajeshi wa KM Zanzibar hivyo ameomba mashabiki wa Yanga waliopo kwenye vyombo hivyo siku ya...
8 Reactions
41 Replies
6K Views
Sisi tuna uchungu sana wa kuonewa kufungwa mabao 5 na ndio maana tumechanganyikiwa kila mtu anasema lake, machawa wanatetea uongozi na sisi tunasema hapana, uongozi umetuangusha. Sasa hawa jamaa...
7 Reactions
13 Replies
1K Views
Sijui itakuwaje miaka ijayo maana hii leo kila mtanzania anajua high pressing, low block, back three na mengine yote. Ifikie wakati pundits watoshe tubaki mashabiki.
6 Reactions
33 Replies
1K Views
"Niwaombe tu wana yanga sc kuwa pamoja na kuambiwa na msemaji wao Ali Kamwe kuwa jumamosi watakapocheza na al ahly wavalie kanzu na misuli ila mimi naongezea kwakuwa wanacheza na waarabu (Al Ahly...
11 Reactions
21 Replies
3K Views
Ukiangalia jezi za Yanga ipo ki-professional na simple lakini Sisi Simba matangazo yapo mengi hadi mgongoni kwa chini. Hivi unavaaje jezi kama hii kweli,basi maandishi yangekuwa madogo yaani ni...
15 Reactions
110 Replies
7K Views
Ushindi wa timu yako unanoga na kufurahisha sana kama ukiwa mwanachama hai. Iko siku wanachama hai watapata gawio la fedha mbali na lile gawio la sasa la furaha viwanjani. Mpira ni pesa twendeni...
1 Reactions
10 Replies
630 Views
Benchika the great [emoji91]!! Abdelhak Benchika ni kocha ambaye hawezi kudumu kwenye timu Yako Kwa muda mrefu kama Kuna magumashi mengi ....Huyu ni kocha ambaye hapendi Magumashi. Benchika...
5 Reactions
31 Replies
2K Views
Viongozi wa Yanga wameona hapo ndo mwisho kimataifa wameona kundi ngumu hawavuki wameaamua kuwapoteza mashabiki maboya kuendelea kusherekea ushindi wa kumpiga mtani goli 5. Lengo lao ni kuwatoa...
9 Reactions
41 Replies
2K Views
Huyu ndio cadena. Yeye yuko na drill nzuri. Lakini hamfanyi kipa kuwa kiongozi wa ulinzi. Hafanyi wapange safu vizuri. Hafanyi kipa afanye maamuzi sahihi kama kutokea mpira, Yeye huwarusha tu...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Sijui huu ni utaratibu wa wapi unaotumiwa na Simba kufanya vikao vya kila siku na wachezaji. Hauwezi kujua shida za mchezaji kwa utaratibu huu. Tukisema siasa imezidi pale Simba kuna watu...
8 Reactions
12 Replies
1K Views
Viongozi wa Simba wamekuwa wakiishi kwenye tabia za ovyo sana kwenye kuendesha klabu yao, uongo uongo umekuwa sehemu ya maisha yao kwa muda mrefu wakiwadanganya wanachama wao mambo mengi na kwa...
13 Reactions
58 Replies
4K Views
Timu iliyofungwa mabao 5 na Yanga imemleta Benchika, kocha ambaye unapotaja makocha 10 bora afrika na yeye yumo. Benchika ana mbinu na uwezo wa kuwafurahisha wale waliokufa mabao 5 na kurudisha...
1 Reactions
1 Replies
709 Views
Mangungu anaamini mno kwenye mpira wa kishirikina kuliko ufundi na uwezo. Hili linawakera sana wachezaji na bechi la ufundi. Kuna mambo ya kishirikana kutoka kwa Mangungu ambayo baadhi ya...
3 Reactions
43 Replies
2K Views
Na milichokisahau tu ni kwamba kiuchawi na kwa dua hamuwaweza waarabu hivyo mnapoteza mno muda wenu Pia labda niwasaidieni tu kwa kuwaambia kuwa kama ni kufanya michezo michafu (ya nje ya uwanja)...
3 Reactions
33 Replies
2K Views
Habari wananchi wenzangu... Jumamosi hii ya tarehe Mbili December tuna game ya CAF champions League dhidi ya Mabingwa watetezi National Al ahly. Hii itakua game ya pili kwenye kundi letu...
2 Reactions
6 Replies
653 Views
Asante sana Mchezaji mwandamizi wa Simba sc uliyenipenyezea hii taarifa na kunisihi sana nisije kuweka wazi jina lako. NALIA NGWENA nakuahidi sitoweka jina lako hadharani kwa hizi taarifa muhimu...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Baada ya Simba sc kudroo na Asec Mimosa kitu ambacho mashabiki hawakutegemea kuwa Simba sc ingedondosha pointi mbili muhimu kwa mkapa. NALIA NGWENA nilipata kusikia sauti na mayowe na kushuhudia...
2 Reactions
8 Replies
664 Views
Kitendo cha Msemaji wa Yanga SC Haji Manara kuandika kama Kuwatahadharisha Wageni wa Simba SC Klabu ya Asec Mimosa kuwa Wachukue Tahadhari zote za Hujuma za Dawa, Sumu au hata Kuuliwa Mtu...
23 Reactions
108 Replies
9K Views
Leo tarehe 27/11/2023 Serikali ya Zanzibar chini ya Rais mwinyi wamekubali kutoa udhamini kwa yanga kupitia taasisi yake ya mapato yaani zanzibar revenue authirity (ZRA) pamoja na ZIPA(Zanzibar...
8 Reactions
9 Replies
759 Views
Back
Top Bottom