Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kwa mliangalia uwezo wa uyu mdada walahamuwezi kubisha kabisa anaujua mpira haswa tena haswa kipaji chake kinaweza kulingana na Cha AZIZ K Ni fundi haswa wa Mali huwezi mkinai kumuangalia.
1 Reactions
7 Replies
564 Views
Kutokana na ratiba ngumu na wachezaji kukosa muda wa kutosha kumpumzika imepelekea Baadhi ya wachezaji kuwa na kipindi kigumu ikiwemo majeraha wakati timu ya taifa Ina wahitaji na vilabu navyo...
4 Reactions
2 Replies
469 Views
Kiungo wa zamani wa Chelsea na Nigeria, John Obi Mikel amedai Waafrika wengi waliofanikiwa kiuchumi wanakumbana na presha kubwa kutoka kwa Familia wakitakiwa kutoa msaada wa fedha kwa lazima na...
12 Reactions
58 Replies
6K Views
Viongozi lazima wawe siliasi. Kulikuwa na mda wa kutosha kupata kocha mzuri. Na kama Mo amekataa kutoa Mpunga akitaka mumpe timu Mgunda sasa kwanini mzilie kwa kumwachia Matola. Matola kaachiwa...
11 Reactions
36 Replies
3K Views
Hii picha niliipiga mtaa fulani katika kata ya Yombo vituka Dar es salaam miaka kama miwili nyuma hivi ,leo katika kupekua simu nimeiona..
6 Reactions
8 Replies
2K Views
Wametafuta mzungu asiye na timu anayezulula tu mtaani wakaongea nae. Ifikie sehemu tuheshimu wazawa. Dili la viongozi kupiga Pesa ndefu kwa Mo limekaribia kutiki. Huyu kocha hajawahi kuongoza...
7 Reactions
33 Replies
3K Views
Jemedari Saidi ameupiga kelele sana mchezo wa Yanga na Namungo, akishinikiza TFF kumfungia Aucho kwa retaliation dhidi ya Ajibu. Kwa namna ya ajabu TFF wakayafanyia kazi malalamiko ya Jemedari...
1 Reactions
3 Replies
451 Views
Mh. Aden Rage, Mheshimiwa wakati unachangia hotuba ya upinzani, umepotoka kwa kumuita mwenzako (Mchungaji Msigwa) a fool!! Nilikuwa nakuona kama mtu wa maana kumbe hauko hivyo. Uko kwenye mfungo...
6 Reactions
167 Replies
15K Views
Hamasa kibao ila mpira wa hovyo, mimi kama shabiki wa Simba sirudi tena uwanjani kuangalia mechi ni aibu kubwa mno. Tulishasema sana kocha hafai, tangu msimu uliopita hamna kiungo mkabaji...
15 Reactions
31 Replies
2K Views
Hii michezo basi Simba wanayo kuanzia siku nyingi rejea kwa mapana ishu ya Kabwili, Ulimboka et al ndio utafahamu Simba na kuhonga kwao ni pie ya 22/7 wanaipenda na wameizoea tangu kale. Kumbe...
8 Reactions
14 Replies
1K Views
Hapa kuna michezo michache ya kubashiri inayopendwa sana ulimwenguni: 1. Mashindano ya farasi: Hii ni michezo ya kale ambayo imekuwa ikifurahiwa kwa karne nyingi. Ni mchezo wenye msisimko mkubwa...
1 Reactions
3 Replies
555 Views
Sina shaka na mechi ya leo, kwani historia inatubeba! Tumekutana na Niger mara mbili na tumeshinda mechi moja na droo mechi moja! Kwa kikosi tulichonacho Stars leo lazima tuwatembezee kichapo hawa...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Kipindi klabu ya Simba inamtafuta CEO mpya mashabiki wengi walitoa maoni yao kwamba KAJULA anao unasaba na Young Africans, viongozi wakaendelea na mchakato na wakampa ajira. Hata baada ya kupigwa...
7 Reactions
28 Replies
2K Views
Baada ya IFFHS kutoa list ya vilabu bora Africa baadhi ya watu wamehoji kwa nini Yanga wamekaa juu ya Mamelodi Sundowns na USM Alger bingwa wa (CAF-CC) ?! Kabla ya kubisha unatakiwa kujua ni...
12 Reactions
7 Replies
2K Views
Huu ni mfululizo wa maamuzi yenye dosari ya kuipendelea Yanga unaofanywa na marefa katika ligi yetu, Kamati ya ligi naona umeamua kutokucheka na kima, ili kuokoa ligi yetu kumezwa na rushwa...
7 Reactions
49 Replies
3K Views
Salaam Wana jf Baada ya a Simba kuruhusu hamsa ya kichapo Cha Karne 5__1 binafsi niliamini kipa langu la viwango manula ni mbovu Kwa kuruhusu kichapo hicho heavyweight Maajabu yake nimeona...
5 Reactions
8 Replies
704 Views
unadhani huyu ni Mchezaji gani ambaye amecheza soka katika Klabu 12 ndani ya Nchi 7 ikiwemo katika Bara la Ulaya na Asia?
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Mechi ya Simba na Yanga huwa ni mechi ngumu huwa haijalishi timu zote zipo kwenye hali gani. Hata mashabiki wa Simba tukicheza dhidi ya mashabiki wa Yanga unaona kabisa amsha amsha jinsi ilivyo."...
4 Reactions
61 Replies
3K Views
Haya mashindano ya chini ya miaka 15 ni ya kijinga sijui ni kwa faida ya nani? Timu nyingi zimepeleka vijana zaidi ya miaka 18 huku vyeti vyao vikisoma miaka 14 Hadi 15. Huyu Halaand wa unguja...
5 Reactions
12 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…