Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Sababu kubwa. Mvua itanyesha kubwa sana jumamosi na itasababisha maafa makubwa. Uwanja hautaweza kuchezeka mechi. Tujiandae kwa hilo
2 Reactions
83 Replies
12K Views
Wakulu wa nchito, Naomba anaejua wapi kwa hapa Nairobi naweza angalia Derby ya Simba na Yanga anifahamishe hasa pande hizi za Westland maana wiki ya Derby imenikuta huku bila kutarajia...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Uzi huu ni maalumu katika kukuletea matukio ya moja kwa moja kutoka katika kilele cha wiki ya mwananchi katika dimba la Mkapa Hili ni sherehe maalum kwa timu ya Dar es Salaam Young Africans kwa...
8 Reactions
329 Replies
25K Views
Sasa Ni Saa 5 inaenda Saa 6 Mchana na Hali ya Hewa ni ya Mvua, Baridi na Upepo tusidanganyane kuwa Hali ya Hewa hadi Saa 11 Jioni muda wa Mtanange ( Mechi ) hii Mvua itakuwa imekata. TFF na TPLB...
6 Reactions
41 Replies
3K Views
Simba Vs Yanga [emoji413]June 1, 1968 [emoji460]️Yanga 5 - Simba 0 [emoji413]July 19, 1977 [emoji460]️Simba 6 - Yanga 0 [emoji414]Mwaka 2012 [emoji460]Simba 5-0 Yanga Kama kuna kipigo kingine...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakati homa ya pambano la watani wa jadi ikianza kupanda kabla ya timu hizo kuvaana Jumapili ya kesho Novemba 5.Bodi ya Ligi imetaja waamuzi watakaopewa pambano hilo litakalopigwa Uwanja wa Mkapa...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Ukiangalia mechi inayochezwa pale katika uwanja wa UHURU - Dar es Salaam, basi maeneo ya majukwaa YANATIA KINYAAA. ULE ukoko unapaswa kuondolewa kwa kuwa sisi tunatabia za uchafu, basi yale...
7 Reactions
24 Replies
1K Views
Inaweza kuwa mzaha mzaha..lakini ikaja shangaza huko mbele!!! EPL inabidi ibadilike kwenye malipo ya mishahara. Dunia sasa hivi inaonesha mabadiliko kila sehemu. Ukibaki unajiamini we ni bora...
9 Reactions
33 Replies
2K Views
Niseme ya kwamba Yanga ina bahati na kupangiwa timu kubwa ambazo huwa zinapatwa na matatizo, walianza na Tp Mazembe na msimu huu ni Al Ahly Al Ahlu ya sasa ni timu nzuri ila kuna matatizo ndani...
8 Reactions
62 Replies
3K Views
Salamu, Leo Novemb 5 2023 Mshambuliaji wa Taifa Captain wa Simba ,John R.Boko.anaenda Kuandika Historia Mpya katika maisha yake ya Soka! Tukutane saa moja jioni! Nakala: Gentamycin...Aione...
1 Reactions
7 Replies
808 Views
Njia pekee ya arsenal kuongoza msimamo wa EPL,nikuzipanga timu kwakuzingatia mtiririko wa Alphabeti.[emoji16][emoji16][emoji16]
0 Reactions
4 Replies
332 Views
Wakuu match hii inachezwa katika uwanja wa Highland Estates, Imeanza saa 10, Hadi sasa ni dakika ya 20 na matokeo ni 0-0 endeleeni kuwa karibu nami ili kuendelea kuwapa Updates Full time 1-3...
4 Reactions
46 Replies
3K Views
Habar wakuu, Siwezi kuafiki ya kuwa Simba ataifunga yanga tarehe 5 yaani hata kwa kunyoshewa mtutu mie nitaendelea kupinga tu. Yaani kwa Yanga hii yenye High quality player Kipa bora Beki bora...
9 Reactions
27 Replies
1K Views
List ya mwisho ya Vilabu Bora Afrika 2023. Timu yako inashika nafasi ya ngapi hapa [emoji1541][emoji116]. Africa, Dunia 01 Al ahly. 06 02. Wydad. 51 03 Yanga. 63 04. Pyramids 73 05. Mamelodi 79...
6 Reactions
39 Replies
6K Views
1. Mimi ni shabiki wa Yanga lia lia. 2. Mitandaoni wanayanga wanalalamika kuhusu R.G. ga kupewa mechi ya kesho kwa sababu wanadhani au wana amini R.G.ga ni mnazi wa Simba. 3. Sikubaliani na...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Kocha Erik Ten Hag yupo katika hatari ya kupoteza kibarua chake ndani ya Manchester United kutokana na matokeo mabaya na kiwango kibovu kinachooneshwa na timu hiyo tangu kuanza kwa msimu huu hasa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ufundi kwenye mvua na tope ni kidogo kuliko nguvu. Simba na Yanga kama mvua itaendelea hivi hadi siku ya mechi hakikisheni wanaopata nafasi ya kucheza ni wale wababe tu, aina ya Mzamiru...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Utabiri wangu kuelekea mchezo wa kesho FT 0-0
2 Reactions
24 Replies
1K Views
Habari Wanajukwaa La Michezo, Mimi kabisa nianze kwa kusema sio Muumini na siamini kama Ushirikina kua eti unafanya kazi asilimia 100 katika maswala ya football, Yani I mean Team Nzima kuanzia...
0 Reactions
19 Replies
856 Views
Hii nchi ina siri Sana, aliyekuwa kocha wa Singida Foundation Gate amelalamika kuingiliwa majukumu yake na Waziri wa Fedha, ikapeleka yeye kufanya vibaya katika kazi yake. Mimi sipo hapa kwenye...
5 Reactions
46 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…