Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

"Hao sio level yetu, Simba ni timu kubwa Afrika. Level za Simba ni Al ahly, Mamelodi sundown, waydad na ma giant wengine, sio Yanga. Ni lazima tuwapelekee Msiba mkubwa na tunakwenda...
0 Reactions
1 Replies
211 Views
Kuna Vitu Vinafikirisha Sanaa, hasa Ukiangalia Namna Kocha Mkuu wa Simba anavyo ongoza Timu. Nahisi Kocha Wa Simba Anabebwa na Matokeo zaidi kuliko uwezo wake. Najiuliza Maswali Mengi sana 1...
12 Reactions
25 Replies
16K Views
Naomba kuwapa pole mashabiki wa Simba kwa kipigo Cha Leo. Sio lelemama. Kutokana na kipigo hicho Simba inatakiwa ikitumie kipigo hicho Kama changamoto ya mabadiliko. Ila Simba Kama Klabu...
8 Reactions
9 Replies
1K Views
Sina muda wa salamu.Kila mtu apambane na mzigo alionao.Kama una mzigo kichwani wa kilo tano za mawe pambana nazo. Hii yanga mnayoiona bado sana haina namba 9 so dirisha dogo wanaingia sokoni...
11 Reactions
7 Replies
1K Views
Nafikiri Sasa jibu limepatikana ya kwamba ukija kucheza na yanga usije kichwa kichwa Kama vile unaenda harusini, unaweza kupigwa kipigo Cha mbwa mwizi kwa maana wanao wachezaji wenye ubora mkubwa...
12 Reactions
9 Replies
1K Views
Baada ya kipigo cha 5-1 kutoka kwa Yanga, Afisa Habari wa Simba, Ahmed Ally amesema "leo tumezidiwa na mpinzani wetu na hatimaye tumeadhibiwa, hakuna unachoweza kusema zaidi kukiri udhaifu kwa...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Kwa huu mpira wa fainali ya AFL mkondo wa kwanza ninaoushuhudia hapa, nathubutu kusema Simba walibahatika kupangwa na Al Ahly. Simba na wenzao wote wanacheza mpira wa taratibu. Wote wana...
2 Reactions
3 Replies
647 Views
Habari Wanasports Yanga tokea alivyocheza gemu nzito ya fainali dhidi ya Usm Alger na kuondoka na ushindi wa goli 1 kwa nunge nathubutu kusema bado hajakutana tena na gemu ya kumsumbua Yanga...
8 Reactions
9 Replies
893 Views
Uwongozi wa Club ya Simba ni wakati sahihi sasa kujifunza jinsi ya kuendesha Club kisasa na siyo kisiasa. Tukianzia Kwa upande wa watani zetu Yanga,tangu GSM apewe timu Club ya Yanga imebadilika...
2 Reactions
6 Replies
640 Views
Njoo ufute kauli yako uliyotamba wiki nzima kwenye hamasa na kutoa kejeli za kusema kuwa Yanga Sc siyo level ya Simba Sc. Kwa kipigo Cha goli 5 kwa 1 nafikili kitakua kimekufunza Nini maana ya...
1 Reactions
4 Replies
561 Views
"Kama niliwahi kumlinganisha AZIZ KI na CHAMA cha watoa taarifa naomba nisamehewe lazima nitakuwa nililewa" [emoji2399] David Kampista Mtangazaji wa Clouds FM
3 Reactions
3 Replies
833 Views
Najiepusha kuzungumzia matokeo ya leo pale Kwa Mkapa. Kwa Yanga hii, Simba haifui dafu. Simba walipotoka sare mbili na Al Ahly nilisema kuwa walikutana vibonde watupu. Wababe wa AFL wanacheza...
16 Reactions
30 Replies
2K Views
Tunakumbushana tu kuwa rekodi ya 1977 ya goli sita bila bado haijavunjwa. ile ya 5-0 timu zilishalipizana 1968: Yanga 5-0 Simba 1977:Simba 6-0 Yanga 2012: Simba 5-0 Yanga 2023:Simba 1-5 Yanga
9 Reactions
54 Replies
6K Views
Akizungumza baada ya timu yake kufungwa magoli 5-1 katika mchezo dhidi ya Yanga, Kocha wa Simba, Roberto Oliveira “Robertinho” amesema kipindi cha pili wachezaji wake walipoteza umakini. Amesema...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Tanzania Timu ni moja tu nayo ni Yanga SC na zilizobaki ni Upuuzi mtupu. Sijaona Klabu yoyote ile Tanzania ya kumzuia Aucho, Pakome na Zengeli. Kuna Member Mmoja maarufu sana hapa Jamiiforums (...
6 Reactions
36 Replies
3K Views
Kaenda siku ya mechi ya simba na Al ahly,simba na Ihefu kaingia na bado mkasema kwa kejeli aje na kwenye mazoezi yenu pale bunju . matokeo ndio hayo 5G mnara umesoma.
11 Reactions
7 Replies
863 Views
Wakuu heshima kwenu, naomba kutoa wazo kwa uongozi wa YANGA, kuwa Jumapili mechi ya Simba na YANGA wanayanga wote wavae KITAMBAA begani wakiaanisha KUTAMBUA MCHANGO WA kapten wetu Bakari Nondo...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Kuna ndugu zangu jumapili watapakimbia sana hapa ndani
9 Reactions
55 Replies
3K Views
Wananchi popote mlipo ndani ya jamii forums naomba mtembee kifua mbele. Akileta mdomo mdomo. Mwambie tabulelee!!! Laaaaaaaaah Asiyejua maana haambiwi maana.
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom