Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

"Alex Luambano kiukweli nchi ni nzuri na tumefika Salama hapa Kigali Rwanda, ila tatizo Kubwa tunalolipata ni wengi wetu kurokujua Lugha ya Kiingereza kiasi kwamba tunalanguliwa mno Bei ya Taxi"...
8 Reactions
125 Replies
7K Views
Za weekend Wakuu, Kuna hii kampuni mpya ya kubet inaitwa Bonus bet. Nliona wamekuja vizur na offer zao za ku deposit plus odds unaweza kujiongezea kidogo. Ila Sasa tabu yao Ukitaka ku deposit...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Sababu ni moja tu hawajawahi kamwe kuwa na bahati na Timu za Sudan na Mpira wa Wasudani Siku zote umekuwa ni wa Kimkakati zaidi na huwa Hawarogeki kirahisi tena na Uchawi wa Timu za kutoka Afrika...
10 Reactions
25 Replies
2K Views
𝙔𝘼𝙉𝙂𝘼 𝙔𝘼𝙒𝘼𝙁𝙐𝙏𝘼 𝙈𝘼𝘾𝙃𝙊𝙕𝙄 𝙒𝘼𝘼𝙏𝙃𝙄𝙍𝙄𝙆𝘼 𝙈𝘼𝙁𝙐𝙍𝙄𝙆𝙊 𝙍𝙒𝘼𝙉𝘿𝘼 Klabu ya Yanga imekabidhi mifuko 200 ya saruji na bati 70 kwa Shirika la Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) hapa Kigali kwa ajili ya waathirika wa...
6 Reactions
18 Replies
2K Views
Ni muendelezo wa kuwafunga midomo wale wote waliokuwa wanabwata ya kwamba kombe la shirikisho lilikuwa na timu dhaifu, kwa walioangalia mpira wa Al ahly na USM alger atakubaliana na mimi ya kwamba...
16 Reactions
31 Replies
2K Views
Al Merrikh ya Sudan wakitumia Uwanja wa Pele Kigali watawaalika Young Africans ya Tanzania katika mchezo wa mkondo wa kwanza kufuzu hatua ya makundi ya Klabu Bingwa Africa. Ni mchezo wa aina yake...
17 Reactions
473 Replies
38K Views
Ewe Mola kama tayari tumeshawapa Waarabu Bandari yetu basi kwa Upendo wako huo huo GENTAMYCINE nakuomba Uwabariki pia na Waarabu wengine ili leo nao Waweze Kumiliki Jangwa la Mtoni kupitia...
6 Reactions
45 Replies
3K Views
Wiki hii nimejaribu kufanya uchambuzi wa kina Kwa mechi hii ya mnyama na timu ya power Dynamo Matokeo yatakuwa kama ifuatavyo Simba kutokana na kuwa na ulinzi dhaifu wataruhusu goli 3 pia...
6 Reactions
76 Replies
5K Views
Taarifa hii ni kwa mujibu wa Msemaji wa Yanga, Ally Kamwe ambae anasema Raisi huyo wa Yanga aliamua kufanya hivyo kuondoa usumbufu na pi imesaidia kukabiliana na zile njama/mbinu za kupandisha...
3 Reactions
2 Replies
842 Views
YANGA Singida SIMBA Coastal Mtibwa Namungo Ihefu Tuendelee
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimefika mahali nikakuta mashabiki wa Simba wanafurahi kwa ushindi wa leo wa yanga nikastaajabu! Nilipouliza huu urafiki umeanza link,wakasema kila yanga ikishinda wanapewa tunda bure bila malipo...
7 Reactions
23 Replies
1K Views
Moja ya wachezaji wanaofahamika kuwa na mitindo mingi na tofauti ya nywele ni David Joseph Beckham. Moja ya unyoaji uliowahi kumletea shida akiwa chini ya Sir.Alex Ferguson ni kijogoo. Alijua...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Mwamba hatunaye tena. Alikuwa na miaka 60. Masikitiko makubwa. Rais wa Argentina katangaza siku 3 za maombolezo. ----- Wasifu Wa Hayati Maradona ----- Mmoja wa wachezaji waliobarikiwa...
12 Reactions
155 Replies
17K Views
Hamjambo ndugu zangu wa Tanganyika? Tangu nifike kwenye nchi yenu kuna jambo silielewi, kila wanachokifanya Yanga upande wa pili wanadai walishapita huko zamani. Wenye kumbukumbu naomba...
6 Reactions
6 Replies
1K Views
Mpira unachezwa hauongelewi..hicho ndio unachoweza sema. Ila kingine ni kua nyie Simba endeleeni kuishi kwa Matumaini tu. Si maswala ya kuombea eti watakuja Nyumbani tushatoka huko. Popote kambi.
2 Reactions
6 Replies
659 Views
Haya Watanzania Wote hasa hasa wale Mashabiki wa Makafara FC mlioko Jijini Kigali nchini Rwanda mmeombwa Kujitokeza ili Kuchangia Damu Jini letu lifurahi na baadae tutaenda kutoa Misaada kwa...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Leo hii kila shabiki wa timu hizo mbili anafanya maombi ya kupata matokeo mazuri. Nilichokipenda kwenye mechi za leo ni muda mmoja timu zote zinaingia uwanjani. Baada ya dakika 90 mbivu na mbichi...
1 Reactions
14 Replies
925 Views
Maana mechi za simba na yanga zote saa kumi uwezo wa kuzionyesha wanaweza ila sauti unaweka kwenye mechi ipi?
0 Reactions
7 Replies
924 Views
Leo watanzania tutakuwa bize na matukio mawili na hivi punde mechi zinaenda kuanza pale nchini Zambia na Rwanda limebaki saa moja la kufanya maombi ya mwisho. Mungu awabariki mashujaa wetu...
1 Reactions
4 Replies
554 Views
Mimi nishabiki la simba ila Yanga wananigusa sana dadeq... Mpira wanaocheza ni mara mia ya USM Alger Jana dhidi ya Al ahly Ila sisi Simba subiri TU jwe maji kwanza
0 Reactions
6 Replies
899 Views
Back
Top Bottom