Karma ya watani wa jadi,
Karma is what?... Usimalizie bwana wapo watoto underage humu ambao matusi hayapaswi kuwa sehemu ya ukuaji wao.
Hivyo wacha turejee nyuma tuone ni kwanini wanazuoni...
Barani Afrika Waarabu na timu zao wamekuwa mabingwa wa kubuni figisu na wengine kuanza kuiga. Baadhi ya figisu zao ni kumulika wachezaji kwa Lasers, kuwasha myoshi uwanjani na kuwatumia vijana...
SHILINGI BILIONI 3 KUDHAMINI JEZI ZA TIMU ZA TAIFA; DKT. NDUMBARO ASHUHUDIA UTIAJI SAINI
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amelipongeza Shirikisho la Mpira wa Miguu...
Kuna kila dalili Yanga anapeleka Yutong zaidi ya 200 Rwanda.
Wasiwasi wangu ni je Rwanda wamejipanga kwa huu ugeni wakuu?
Kuna tetesi kuwa Kagame atakuwepo Rusumo kuwapokea wadau.
Yanga hana...
Ndiyo maana GENTAMYCINE nilikataa na hadi leo naendelea Kukataa kuwa Ligi Kuu yetu ya NBC Premier League ni Bora na ni ya Tano ( 5 ) kwa Ubora Afrika.
Ila nikiambiwa kuwa Ligi Kuu yetu ni ya Tano...
For the Superstitious!!
Since 2013 all the teams that have won the UEFA Champions League had a Croatian player in their Squad.
[emoji1082]
2013
Bayern Munich - Mario Mandzukic
2014
Real...
Yaani kabisa GENTAMYCINE niishangilie Yanga SC nisiyoipenda kuliko hata Shetani Lucifer na nizishangilie Yanga B Timu za Singida Fountain Gate FC na Azam FC?
Waziri Damas Ndumbaro ( ambaye...
Joseph Panga (1:04:12) na Jackline Sakilu (1:12:08) Washinda Mbio za Ruangwa Half Marathon 2023.
Huku nafasi ya Pili ikienda kwa Hamis Athumani kwa muda wa ( 1:04:15) na nafasi ya tatu ni Nestory...
[emoji966] Every winner of the African Footballer of the Year awards from 1970 till date:
2022: Sadio Mane | Senegal [emoji1211]
2019: Sadio Mane | Senegal [emoji1211]
2018: Mohamed Salah |...
Hii kitu inaitesa sana simba kwa sasa, wachezaji wengi wamekuwa wakipigana misumali kwenye kikosi cha Simba but kocha na viongozi wao awajajua chanzo ni nini na solution ni nini, matokeo yake na...
Mshambuliaji wa Kimataifa wa Ivory Coast anayekipiga ndani ya Timu ya Simba ya Tanzania Aubin Kramo amekuwa rafiki wa majeraha toka atue klabuni hapo, na mshangao kwa wengi ni pale anapokumbwa na...
𝙏𝙊𝙆𝙀𝙉𝙄 𝙃𝘼𝘿𝙃𝘼𝙍𝘼𝙉𝙄 𝙈𝘼𝙆𝙊𝙇𝙊
Neno samahani ni dogo sana haswa kwa yule alieyefanya makosa,,Makolo msione aibu tokeni hadharani waombeni msahama tu Ngome kwasababu kudarisha logo haitoi uhalisia Kama...
Manchester United inahitaji winga wa kulia baada ya Antony kutakuwa kuwa nje ya klabu kwa muda wakati akishughulikia kesi zinazomkabili wakati Jadon Sancho hatma yake haijulikani baada ya...
Mungu amekisikia kilo chetu cha muda mrefu. Yule aliyekuwa anatufanya tukose raha kabisa ya mpira anaondoka.
Tulikuwa tunaumia kutetemeshwa kunyanyaswa na yanga. Nilichukia kutetema
Pamoja na ngeke la kufuzu Afcon lakini ukweli lazima usemwe kuhusu maufa ufa yaliyojaa katika timu ya Taifa stars. kwa ukweli kabisaa taifa stars haina ubora wa soka la kitabuni ambalo Yanga na...
Yule kipa bora wa Africa na mwanafinalist wa CAF yupo dimbani leo Mali ikicheza na South Sudan mpaka sasa wakiongoza kwa mbili kipindi cha kwanza.
Yule kipi wetu mdaka penalty za mbambamba jana...
Kama timu ya yanga isipoifunga El Mereikh pale Kigali basi wanayanga tusitegemee makubwa hapa nyumbani. Yanga na Simba zina mashabiki na wapenzi wengi wa soka pale Kigali kwa sababu ya uhusiano...
Huu ni upuuzi ambao wachezaji wageni wanauleta.
Jana nimeangalia huyu jamaa akicheza kwenye timu yake ya Taifa alivaa proper tu lkn kwenye ligi yetu anavaa kisela kama karukwa na akili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.