... [emoji3549] ›› 𝙄𝙉𝙅𝙐𝙍𝙔
Winga wa klabu ya Simba SC, Aubin Kramo alitonesha jeraha lake dakika ya (42') ya mchezo dhidi ya Ngome FC iliyopo katika Kambi ya Jeshi ya Tualipo (TAU) Temeke Jijini...
Hakika Watanzania hawana shukrani kabisa, badala ya kuimiminia pongezi za dhati nchi ya Algeria kwa kutubeba katika mchezo wa jana bila aibu tunaipongeza Taifa Stars kwa kufuzu baada ya kutoka...
Hii timu ina vigagula ambao wanajitahidi kufanya yao ili mchezaji aliyekuwa timu yao akaamua kuondoka asifanye vizuri.
Na mashabiki wote wangefurahia sana kuona wachezaji wote waliohama timu...
Mara nyingi huwa unatokea ugomvi linapokuja suala la kugawana pesa ya zawadi kati ya wachezaji. Ni vizuri zawadi igawiwe kwa kuzingatia mchango wa kila mmoja ili kila mmoja avune kwa kadri ya...
"Kama tusingekuwa na mambo ya utimu kwenye timu ya taifa basi mimi ningependekeza wachezaji wengi kutoka klabu ya Yanga kwenda kwenye mchezo huu dhidi ya Algeria kutokana na uwezo wao ambao...
Jana nilifanya time traveling kuona matukio ya mbele ghafla niliona tarehe 20 October. Mnyama (kolo) aka Simba [emoji250] [emoji250] amekufa Kwa mvua kubwa ya magoli na miamba wa soka Al ahly...
Haha wanangu wa majamvi wikiendi ya maokoto si ndo hiii, Kuna LiJackpot nimekutana nalo huko Sokabet, hehe yani mechi 6 tu unatabiri kwa buku tu!
Kama mnavonijua mm sio mchoyo wa michongo, Keka...
Nilisikitika mno kumsikia bwana Kazumali (mchambuzi wa soka E FM) akifanya kampeni ya kulalamika kwa nini mchezaji Fei Toto hakujumuishwa kwenye timu ya Taifa iliyokwenda Algeria.
Namkuali mno...
Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu (Taifa Stars) imetua salama alfajiri ya Septemba 9, 2023 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere ikitokea nchini Algeria kwenye mchezo wa wa kufuzu...
Algeria vinara wa Kundi F katika kufuzu kwajili ya AFCON watawaalika Tanzania (Taifa Stars) katika mchezo utakaofanyika katika dimba la Annaba huko Algeria.
Taifa Stars yenye alama 7 inahitaji...
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amesema Serikali itatoa kiasi cha Shilingi Milioni 500 endapo timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu (Taifa Stars) itafuzu kushiriki...
Mods naomba msiunganishe hii thread!
Leo hii kila Mtanzania akiwa na Furaha baada ya timu yetu ya Taifa Stars Kufuzu Afcon mwakani.
Sasa kila Mtanzania ana uhakika wa Kukaa kwenye TV na kuona...
Wakati msimu wa 2021/22 ukielekea ukingoni taarifa za ndani kutoka Yanga zinaeleza kuwa beki kisiki wa timu hiyo, Bakari Mwamnyeto ambaye alikuwa akitajwa kuwaniwa na vigogo kadhaa amesaini dili...
Wakati wanasajiliwa kutoka Coast Union hawa mabeki mmoja akienda Simba na mwingine Yanga wachambuzi walichonga sana, eti Ame Ali ndio alikuwa beki wa kweli na Nondo alikuwa anapita kwenye kivuli...
Na kama Jibu ni Taifa Stars sasa kwanini kila Kiongozi akizungumza baada ya Kufuzu AFCON Jana anatumia Sekunde 20 Kuipongeza, ila anatumia Dakika Saba (7) hadi Kumi (10) Kumpongeza Rais Samia...
Jana Tanzania imefuzu kwenda AFCON baada ya kutoka suluhu na Algeria.
Imekuwa ni desturi iliyojengeka mitandaoni na vyombo mbalimbali vya redio kuisema vibaya Simba hata pale inapopata matokeo...
Mwamnyeto na Bacca wamecheza vizuri
Pengo la kapombe na Mohamed halijaonekana, Yanga inaongoza league, Simba tumepangiwa na Al Ahly Super League, wachezaji wetu bado mfumo hawajaelewana.
Simba we...
Jana tumeshuhudia Stars ikishinda tena kwa mbinde goli 1 kwa sufuri dhidi ya Niger, huku Algeria akiifunga Uganda 2-1. Msimamo hadi sasa ukionesha Algeria akiongoza kundi na akiwa tayari kashafuzu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.