Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Tangu nianze kufatilia soka sijaona kituko cha refa kuwa na haraka ya kutoa kadi mbili kwa pamoja kama huyu refa wa leo. Ni aibu kwa ligi ya 4 Afrika. Hii haraka ya nini? Soka letu lina safari...
9 Reactions
31 Replies
1K Views
Kwanini refa ametunyima penati? Baada ya kipa kupata kadi mbili za njano ilibidi tupate penati ili kufidia dakika zetu. Yani alivyotoa kadi yapili ya njano angetenga mpira kwenye box, na azuie...
7 Reactions
7 Replies
404 Views
Maulid Kitenge akija kwenye shughuli yako kama Mc hamna hamna ubaoni uwe na Milioni 15 mpaka 20. Klabu ndogo ya mkoani kama Singida ambayo inategemea mapato ya mlangoni wanawezaje kumlipa pesa...
4 Reactions
21 Replies
856 Views
Muda mchache ujao wababe wa Anfield watakuwa uwanjani kumenyana na Tottenham huku wakimkosa Trent, BOSI wa Liverpool Arne Slot amesema beki wake wa kulia Trent Alexander-Arnold ataukosa mchezo...
0 Reactions
2 Replies
296 Views
Mwanzoni mwa miaka ya 2000 kuna bendi moja iliitwa Mviko Sound ,ilikuwa ikimilikiwa na mmoja wa wanafamilia yetu Kufikia mwaka 2004 bendi ikafa,huyu ndugu yangu akasema ni bora kuwa na wanawaje...
14 Reactions
61 Replies
2K Views
I salute you kinsmen. Kwa kweli kwa sisi tulioona mbali tangu muda tulipinga sana kufukuzwa kwa Gamondi. Mkatuona mazuzu kwamba tunamkubali sana noo. Sisi ni yanga sio Gamondi wala Hersi. Tatizo...
7 Reactions
96 Replies
2K Views
Mechi ya leo tutamlaumu bure Chasambi na kumsingizia kila jambo, ila ukweli unafichwa.Ukweli ni kuwa watu wanaosafiri na timu yetu mikoani sio waadilifu, wameanza kutuchomesha mahindi, mimi...
1 Reactions
11 Replies
527 Views
Kuanzia sasa Hawa wajukuu wa Rage wataanza zile kauli zao pendwa za GSM anaharibu ligi na SINDANO. Uzi tayar
8 Reactions
12 Replies
357 Views
Ukiwa Mwanasimba uko mitaani ukatamka neno utopolo basi unacheka, unafurahi , unadharau na kubeza , simba ikija uwanjani inaanza mbwembwe Debora anazungusha watu dimba la katikati watu...
3 Reactions
11 Replies
482 Views
Wakuu nimeamua kwa hiyari yangu na pasipo kulazimishwa na mtu yoyote kuitosa club ya Arsenal.Nina sababu nyingi za kuitosa The Gunners. [1] Kukwepa magonjwa ya moyo. [2] Imeshindwa kutwaa...
51 Reactions
1K Replies
105K Views
JIoni ya leo tunashuhudia mechi halisi mpira halisi na matokeo halisi yaani fair play yasiyo na chembe ya mashaka fountain gate dhidi ya simba ni mechi ya kukamiwa simba ni aina ya mechi simba...
1 Reactions
18 Replies
455 Views
Mtuambie mliotazama mechi
3 Reactions
14 Replies
350 Views
Haya maneno ya Kolo, Dunduka na Utopolo ambayo yanatumika na washabiki Waswahili wa mpira mitaani ni misamiati yenye maana yoyote?
3 Reactions
3 Replies
167 Views
Huyu kijana ninashauri apewe maua yake Anatusaidia sana wana yanga kwa kweli Wengi mnammpigia kelele chasambii hamjaona upuuzi wa kamara alioufanya. Hakuna tofauuti na goli la yanga Yeye yuko...
0 Reactions
1 Replies
244 Views
Waarabu wameshaonja utamu wa asali ya pesa za CAF kwa hiyo wamejijengea mtandao mkubwa wa kuhakikisha hakuna boya yoyote anakuja kuwanyang'anya asali na himaya yao. Miaka ya hivi karibuni Simba...
3 Reactions
21 Replies
752 Views
Kwa utafiti niliyoufanya Kwa miaka miwili kwenye soka nimegundua mambo mengi kuhusu ugumu wa michuano hii ligi ya NBC premier vs CAF confederation league ( kombe la wamama Zifuatazo ni tofauti...
3 Reactions
51 Replies
787 Views
Kwa kuwaambia Wachezaji wake kipindi Cha pili wafunguke mwanzo mwisho.
1 Reactions
0 Replies
203 Views
Wakuu Jana nimelia sana hii Yanga inatisha yaani inamchapa mtu 6 bila goal la penalty Mimi kama mchambuzi m,bobevu wa soka hapa TZ ufuatao ni ushauri wangu Kwa Simba kuelekea derby 1. Wachezaji...
4 Reactions
32 Replies
734 Views
Back
Top Bottom