Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kuelekea mchezo kati ya Fountain Gate Fc dhidi ya Simba Sc, Kocha mkuu wa klabu ya Fontain Gate Fc, Robert Matano ameweka wazi kuwa yeye kwao Kenya anaitwa Simba na anakwenda kukutana na mnyama...
2 Reactions
21 Replies
800 Views
Ligi NBC kuendelea leo majira ya saa kumi na robo alasiri katika uwanja wa KMC Complex ambapo Yanga watakuwa wenyeji wa Ken Gold. Yanga wanaingia katika mchezo huu wakiwa katika nafasi ya pili...
7 Reactions
303 Replies
12K Views
Mabosi wa Yanga walishtushwa na uamuzi wa ghafla wa kocha Sead Ramovic ambaye aliomba kuvunja mkataba wake kisha jana Jumanne, Februari 4, 2025 akawaaga wachezaji na maofisa wengine wa timu...
0 Reactions
4 Replies
358 Views
Newcastle United Football Club is a professional football club in Newcastle upon Tyne, England, that plays in the Premier League, the top tier of English football. Founded in 1892 by the merger of...
6 Reactions
325 Replies
15K Views
Leo ratiba ya UCL imetoka na Arsenal amepangwa na Bayern Munich. Baada ya kuona ratiba hii, nikawaonea huruma mashabiki wa Arsenal kwani wanaenda kumaliza msimu tena bila taji lolote. Arsenal...
14 Reactions
50 Replies
2K Views
Uongozi wa Simba SC nawalaumu sana kwani mlijisahau, kubweteka na kujiamini, badala ya Kujiandaa na Mechi hii muhimu Kwetu Sisi muda wote tukawa tunashangalia Watani zetu Yanga SC kupokea Vipigo...
6 Reactions
18 Replies
1K Views
05 February 1985 05 February 1992. Wote Hawa ni wazaliwa wa tarehe hizo na miaka hiyo. Wote Hawa wanacheza eneo moja kiasili ( Winger ) kutokana na mahitaji na mifumo wamejikuta wakiangukia...
4 Reactions
8 Replies
341 Views
Hawa makocha baada ya kupigwa na Yanga walitimuliwa wote Kwa nyakati tofauti, hadi Leo hawajulikani wapo wapi? Labda wapi makwao wakilea wajukuu Yaani hao makocha hawana hadhi hata ya kufundisha...
0 Reactions
16 Replies
511 Views
Paris Saint-Germain Full name -Paris Saint-Germain Nickname(s) -Les Parisiens (The Parisians) Les Rouge et Bleu(The Red and Blues)Short ParisFounded. -12 August 1970; 50 years ago Ground. Parc...
3 Reactions
53 Replies
4K Views
1.mwaka wa 3 wa uongozi mabadiliko ya katiba hayajakamilika mpaka sasa wawekezaji kwa hisa hawajawekeza 2. Hali na morali ya wachezaji ipo chini 3. Mauzo ya jezi yameporomoka 4.wachezaji wengi...
4 Reactions
17 Replies
572 Views
Sekta ya online betting & casinos ni kubwa sana na inazalisha mabilioni ya pesa kila mwaka. Kuna wale wanaocheza na kushinda pesa, lakini fursa kubwa iko kwa wale wanaomiliki au kupromoti kasinon...
2 Reactions
0 Replies
156 Views
jina kamili: Associazione Calcio Milan. a.k.a: Rossoneli ''red & black'', Diavolo ''the Devil''. Kuanzishwa: 16/dec/1899. Uwanja: Sansiro Meazza. Uwezo: unabeba watu 80,074... President: Paolo...
23 Reactions
10K Replies
472K Views
Wazee Ubaya Ubwela jiandaeni Kisaikolojia AS FAR ya Morocco, inamtaka kocha wenu kipenzi baada ya kumfukuza Hubert Velud leo, tarehe 5 Februari 2025, kufuatia matokeo ya hivi karibuni. Katika...
0 Reactions
20 Replies
805 Views
Klabu ya soka ya MC Alger ya Algeria, imetuma ofa ya $350,000 sawa na TSh. 890,322,650 ili kumnasa Kibu Denis. MC Wwako serious na Kibu wanamuhitaji haraka sana ndani ya dirisha hili dogo. Pia...
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Baada ya kutolewa kwenye FA Cup, Carabao, nimekaa nikawaza nikaona ni kombe gani Arsenal anaweza kutwaa nimeshindwa kuona. Arsenal kabaki kwenye michuano ya Europa League na EPL. Europa hawezi...
35 Reactions
200 Replies
12K Views
Huwa najiuliza hii timu na hili shirika la ndege ndio wamejiunga mkataba wa milele au maana wanamiaka mingi wakuu anaejua anifahamishe Ili nipate kujua maana tangia wajengewe uwanja mpaka Leo...
0 Reactions
8 Replies
372 Views
Wanamichezo naomba tujadili Kwa kina Matatizo ya Makocha wetu WA mpira miguu hapa nchini. Kwanini Makocha wetu hawaendi kufundisha nje ya Tanzania. Wana udhaifu gani na ni changamoto zipi...
1 Reactions
24 Replies
668 Views
Serikali imesema bado ina dhamira ya kuhakikisha inatekeleza mpango wa kuwapa mafunzo (kozi) wachambuzi wa michezo kabla ya kwenda kufanya kazi ya uchambuzi kwenye vyombo vya habari kwa mujibu wa...
1 Reactions
7 Replies
365 Views
Nimejitahidi Kuwasililiza hawa utopolo lakini nimeshindwa... Hebu wasikilize kama utawaelewa. Hawaeleweki kabisa!!
4 Reactions
13 Replies
380 Views
Nilitazama mchezo wa Yanga vs Mtibwa Fc niliona kabisa alipaswa kuondoka na Clean sheet bila wasi wasi lakini kilichotokea alifungwa goli la kizembe/la kujitakia. Mashabiki /wadau wa mpira...
7 Reactions
55 Replies
3K Views
Back
Top Bottom