The Manchester City boss has been suffering with severe back pain for some time lately, and flew out to Barcelona for emergency surgery performed by Dr Mireia Illueca.
The surgery was a success...
Ni timu ambazo zina probability kubwa za kushinda, katika mechi 30 kuna mechi 20+ wanaweza kushinda
Tena hapo ukiondoa mechi 2 za derby na 2, probability inazidi
Je, pana uwezekano wa kupiga...
Sasa hivi kuna mechi ya ligi Kuu ya NBC.
Singida Big Stars imebadilisha jina sasa hivi ni Singida Fountain Gate. Azam bado wanaandika SBS ikimaanisha Singida Big Stars, na sio Singida Fountain...
Azam pamoja na kutikuwa Bora lkn likija swala la Simba au Yanga wanakuwa wamoto mno. Je wanakamia?? Niko!!!!
Timu Hizi kubwa kwanza hutaka ushindi kwa namna yoyote na kila timu ndogo viongozi...
[emoji599][emoji2424] Ibrahimovic:
"It's very easy to score goals in the MLS. If Messi thinks he's the best in history, he should score at least 7 goals in every game, because he's playing...
GENTAMYCINE nimetaarifiwa na Mdau Mwenzao ( Mshirikina ) Mwenzao bila Yeye kujua aliyekuwa nae ni Mtu HATARI kwa kutafuta Taarifa Ngumu na Zilizojificha na mpaka aliko huyo Mganga Wao na Wachezaji...
Anaandika Mo Mlimwengu.
Wakati Christopher Columbus akizunguka ulimwengu mzima kwa ajili ya kutafuta makoloni ya kutawala na akiamini kwamba dunia ni duara. Hapa Tanzania kuna kijana mdogo...
Wakuu
Binafsi toka msimu ulioisha nimeona ile quality ya Zimbwe na mwenzie Kapombe inapungua na mistakes zinakuwa nyingi hasa kwa kapombe
Mfano Kapombe unakuta anatoa pasi sio sahihi, akipanda...
“Uchungu wa Mwana aujuaye ni Mzazi” Twendeni twendeni Uwanjani kwa wingi Timu yetu inacheza Jumatatu Ktk Uwanja wa Lake Tanganyika Saa 10:00 Jioni.
Tukajaze Uwanja Mashabiki nguvu yetu Umoja na...
Wawakilishi wa aliyekuwa mchumba wa Antony, Gabriela Cavallin wanaandaa malalamiko dhidhi ya Antony kwa unyanyasaji wa nyumbani.
Hati yenye kurasa 70 kutoka kwa Wawakilishi wa Gabriela Cavallin...
TFF ndiyo muidhinishaji wa mwisho wa Wachezaji wa ndani. TFF ndiye anayepokea majina yoote ya Wachezaji ligi zote 3 na kutoa Leseni.
Iweje Leo iruhusu timu yenye Wachezaji 8 pekee kuendelea na...
Nchi hii uhuru umepitiliza,yaani mtu aliyeshindwa kusimamia sheria za soka uwanjani na kufungiwa maisha leo hii anawakosoa na kuwafundisha waliopewa dhamana hiyo baada ya yeye kushindwa...
Mwacheni aende tu huko kwa Marafiki zake Wakubwa akina Injinia Hersi Said (Rais wa Yanga SC ) na wana Yanga na wala msipoteze muda Wenu kumhitaji kwani ana Sifa kuu nisiyoipenda ya Unafiki na...
Ligi yetu imeanza j4 tarehe 15/08, leo timu zinacheza mechi ya pili cha kushangaza pana timu hazijacheza hata mechi moja ya ligi, hii inakaaje.
Natambua tuna timu nne zinatuwkilisha kimataifa na...
Salaam Tanzania na duniani kote!
Mechi kubwa ya leo Tanzania na Afrika mashariki na kati ni kati ya SIMBA VS DODOMA JIJI
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara inayojulikana kama NBC PREMIER LEAGUE...
Life-time bans for Tanzanian refs
Referee Othman Kazi denies taking a bribe for a game in Tanzania
The Tanzania Football Federation (TFF) has imposed life bans on four premier league...
Mechi ikiwa inaendelea Wao (Mashabiki wao) huwa Wanashangilia kwa Kugeuka nyuma ( kutuonyesha Makalio yao ) kisha Wanabong'oa, Wanaganda kidogo, Wanayatikisa na kuendelea Kushangilia.
Mashujaa FC...
Our process commenced in February 2023, following all charges against Mason being dropped. Throughout, we have taken into account the wishes, rights and perspective of the alleged victim along...
Jana Dodoma jiji walivalia jezi nyeusi baada ya kudanganywa na utopolo kuwa ndio njia pekee ya kuikamata Simba kwenye mchezo huo, ni kweli mchezo ulikuwa mgumu sana baada ya kucheza defensive game...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.