Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

"Tunafurahi Kesho kucheza na Yanga SC ambayo baadhi ya Wachezaji wetu Wanaishabikia na Wengine Wanaishabikia Simba SC. Na kuhusu Matokeo anayejua ni Mwenyezi Mungu pekee kama tutashinda au...
4 Reactions
10 Replies
3K Views
Waandishi Wetu, Dar na Morogoro MSHAMBULIAJI wa zamani wa Simba, Ulimboka Mwakingwe amekamatwa na polisi mkoani Morogoro akihusishwa na njama za kuhujumu mchezo wa Ligi Kuu baina ya Simba na...
1 Reactions
26 Replies
7K Views
Updates 62' Mabadiliko Yanga: Wanatoka Mzize na Max wanaingia Moloko na Pacome 53: Asas FC 0-2 Yanga 52' Goaaaal: Musonda Kipindi cha pili kimeanza Halftime: Asas FC 0-1 Yanga 45' Asas FC...
10 Reactions
156 Replies
12K Views
Wafungaji wetu, Mzize, Musonda na Hafidh bado hawaja click. Gamondi ongeza bidii, vinginevyo hatufiki mbali.
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Jezi atakayoivaa Alphonce Felix Simbu siku ya Mashindano. Mwanariadha wa Kimataifa wa Riadha Tanzania na Mwakilishi Pekee , Alphonce Felix Simbu anatarajia kutuwakilisha kwenye Mashindano ya...
1 Reactions
3 Replies
763 Views
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania kuendelea leo August 17 2023 kwa Bingwa wa ngao ya jamii Simba SC, Mnyama Mkali Mwituni, Lunyasi wakiwa na furaha ya kutoka kumshindilia mtani wake yanga kwa penati...
15 Reactions
454 Replies
30K Views
Baada ya mshambuliaji Mayele kuuzwa kwa lazima tukatangaziwa kwa mikogo mingi na huyo kijana anayeitwa Kamwe , kwamba timu hiyo italeta striker wa hatari ! Lakini Ukweli ni kwamba Waliosajiliwa...
3 Reactions
35 Replies
2K Views
Dar es Salaam. Tarehe 20 Agosti 2023: Katika kuhamasisha mazoezi ya kujenga mwili na kuimarisha afya, Benki ya CRDB imezindua mashidano ya Super League kwa timu zinazoundwa na wafanyakazi wake...
0 Reactions
0 Replies
768 Views
Imebainika kuwa Klabu za England zinalengwa na wadukuzi, ambao wanatuma ankara za ulaghai kuhusu uhamisho wa wachezaji wa nje ya Nchi hiyo. Suala hilo ni zito, Chama cha Soka Cha England (FA)...
0 Reactions
1 Replies
688 Views
Naomba mtu ambaye na clip zote za referee au a complete match, anipe link ya youtube, nitatuma email referee committee niombe review ya refa kama nitapata. I need evidences za kutosha. kama zipo...
7 Reactions
76 Replies
4K Views
Mashindanoa ya FIFA kombe la dunia la wanawake litaanza kesho Alhamisi July 20, 2023 na kumalizika August 2nd. Round za kwanza zitachezwa Sydney, Australia na Auckland, New Zealand huku fainali...
6 Reactions
222 Replies
11K Views
Leo hii timu ya mpira wa miguu ya Hispania imeshinda kombe la dunia la wanawake mjini Sidney nchini Australia baada ya kuifunga timu ya Uingereza goli 1-0. Goli la Hispania lilifungwa na Olga...
0 Reactions
8 Replies
857 Views
Hizi timu za kuokota zinadhalilisha sana ligi ya mabingwa Afrika, we unaingia ligi ya mabingwa halafu unaomba mechi zote ucheze ugenini una akili wewe?
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Inadaiwa kuwa uamuzi huo umetokana na maamuzi ya Kocha wa Bayern Munich, Thomas Tuchel kuamua kutomsajili kipa huyo wa zamani wa Manchester United. Bayern ilikuwa katika mazungumzo ya kumsajili...
0 Reactions
3 Replies
990 Views
Kwa mujibu wa kanuni mpya za TFF, wachezaji binafsi hawapaswi kuwa na mdhamini ambaye ni mpinzani kibiashara wa mdhamini mkuu wa ligi kuu (NBC). Hili ni jambo la ajabu sana. Kwanini kanuni hii ya...
12 Reactions
76 Replies
4K Views
Hawa wengine nawaona kama wasindikizaji tu ndio maana siandikagi maneno marefu kuwachosha watu.Gemu inaendelea azam kashakufa bao 1, azam sports 2 wanaonyesha.
1 Reactions
35 Replies
2K Views
Mashabiki wa timu ya Mashujaa FC wameanza kuliteka Vibe la Soka la Tanzania ambalo limeanza kupoteza mvuto wake kwa timu za mikoani. Ukiachana na Timu za Simba na Yanga pamoja na Azam kwa kiasi...
3 Reactions
7 Replies
925 Views
Ayoub Lakeed Duchu ISrael Kazi Che Malone Abdallah Hamis Kibu Fabrice Ngoma Chilunda Chama Micquisone Utanishukuru
1 Reactions
2 Replies
778 Views
Nimeona mechi na Mtibwa, Robertinho ameanza na Kapombe na Tshabalala, kwangu mimi nawaona wameshachoka na hawaendi na kasi inayotakiwa, jamani tuwe wa kweli na tuache ushabiki maandazi, yule beki...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Simba ina shida katika uchezaji wake ingawa ina kikosi chenye uwezo wa kupambana na hata PSG ya ufaransa, we kama unabisha endelea kubisha lkn hiyo ndio fact. Na mbrazil huyo ni kocha kweli kweli...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Back
Top Bottom