Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Naomba kuuliza, Kwa goli la Baleke alilomfunga Makaka, Refa akalikataa na kumpa kadi ya njano. Je ni goli halali ama? Msaada plz
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mchezaji wa Mtibwa Matheo Anthony kachungulia makosa ya Ukuta wa Simba na kubaini makosa yake na hapo hakufanya makosa alitokea na kuupasuapasua vipande japo ni wa Umeme. Pamoja na Ushindi...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Kuna vitu vinatokea uwanjani hasa kwenye mchezo wa soka, haijalishi mara ngapi inatokea, lakini vinakuwa sio vya kuchekesha. Vinabadili matokeo ya mchezo, na kuathiri matokeo ya ujumla. Lakini...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Tuliaminishwa Kipa Jefferson Luis ni bonge la Kipa mara ghafla akalazimishwa ajifanye kaumia ili aachwe na achukue hela yake ya bure ya Tsh. 150 milioni na wapigaji wachukue Tsh. 250 milioni na...
6 Reactions
18 Replies
2K Views
Neymar Jr ameondoka katika soka la ulaya akiwa na miaka 31 tu. Ameenda zake Saudi Arabia kuungana na mastaa wengine waliokimbilia katika ligi hiyo. Baadhi ya ofa ambazo Neymar atazipata katika...
19 Reactions
46 Replies
4K Views
Zipo taarifa kuwa wachezaji wa kigeni wa Tabora United wote wana vibali vya kazi, kilichokosekana ni vibali vya makazi lakini kwa sababu wana business visa, wanaruhusiwa kucheza kwa muda hadi pale...
8 Reactions
29 Replies
3K Views
Baada Ya kuipa mafanikio timu ya taifa wanawake ya uingereza kwa kuiwezesha kutwaa mataji ya ulaya na kufikia hatua ya fainali kombe la dunia, uingereza inafikiria kumpa kazi ya kuinoa timu ya...
0 Reactions
2 Replies
626 Views
Desemba 28, mwaka 2021, Bodi ya Ligi Kuu Tanzania(TPLB) iliamua kuahirishwa kwa mchezo namba 69 wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Kagera Sugar FC na Simba SC uliokuwa uchezwe siku hiyo Saa 10:00 Alasiri...
4 Reactions
31 Replies
3K Views
Salim Abdallah Mhene ' Try Again' Mimi GENTAMYCINE nakuonya kwa mara ya mwisho na huyu Mshambuliaji wangu Kinara na Kwangu Mimi ndiyo namba Moja Simba SC Moses Phiri akitolewa kwa Mkopo au...
6 Reactions
27 Replies
2K Views
TIFUTIFU INAKWEPAJE LAWAMA KWA AIBU YA KITAYOSE Watu wengi wamelazimishwa kuipa LAWAMA kitayose kwangu mimi tifutifu inatakiwa iwambwe kabisaa. Kwanza kitengo cha biashara cha tifutifu...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
... [emoji3578] ›› 𝙈𝘼𝙓𝙄 𝘼𝙋𝙀𝙒𝘼 𝙈𝙆𝘼𝙏𝘼𝘽𝘼 𝙈𝙋𝙔𝘼 Baada ya kuvutiwa na kiwango chake uongozi wa Yanga SC umeuchana mkataba wa awali wa miaka miwili wa Maxi Nzengeli. Mabosi wa klabu hiyo wamempa gari...
5 Reactions
21 Replies
4K Views
Gamondi ameikosa ngao Kaze kafungwa na JKT Tanzania Mwinyi Zahera amefungwa na Coastal Union Haya ni matata matatani. Ni uwezo wao mdogo, timu mbovu au ni mwanzo tu>
2 Reactions
16 Replies
955 Views
Mpaka muda hii Kitayose hawajatokea uwanjani kupasha misuli. Bado dkk 18 mpira uanze. --- Kitayosce FC ilianza mechi dhidi ya Azam ikiwa na wachezaji nane [8], Bodi ya Ligi tulipokea uthibitisho...
10 Reactions
238 Replies
20K Views
Kutoka EFM: Msemaji wa Tabora United Upendo kasema "Tumekamilisha malipo ya ya kiasi million hamsini katika suala la kusajili wachezaji na Hilo zoezi tumelifanya asubuhi lakini nashangaa yanakuja...
7 Reactions
24 Replies
2K Views
Kitayosa timu ngeni kwenye ligi yenye wachezaji 8 TU bila benchi la ufundi Wala mchezaji wa akina ililazimishwa kucheza na Azam kamili kwenye mchezo wa ligi kuu. Lakini Simba iliyokuwa na...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Rais wa Kamisheni inayosimamia ngumi za kulipwa Tanzania (TPBRC) Chaulembo Palasa amesema Bondia Mtanzania Karim Mandonga hajafungiwa kama inavyoripotiwa na baadhi ya Vyombo vya Habari bali sheria...
3 Reactions
9 Replies
942 Views
Interesting... viungo 70 sio mchezo.. 1.macalister. 2. sobozlai 3.manu Kone 4jude Bellingham 5.moise Caisedo 6.Romeo Lavia 7.Enzo Fernandez 8.Declan Rice 9.nicola Barela 10.cheick Doucore...
2 Reactions
6 Replies
867 Views
Katika mchezo wa kwanza uliopigwa ndani ya Uwanja wa Majaliwa Timu ya Namungo inayonolewa na Kocha Mkuu Cedric Kaze aliyekuwa Kocha Msaidizi wa Yanga imeanza mbio zake za ligi kwa kipigo cha goli...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Majira ya Saa 4:00 Usiku utapigwa mcheza wa Uefa Super Cup kati ya Man City dhidi ya Sevilla. Ni mchezo wa ufunguzi kwa msimu mpya wa mashindano kwa ngazi ya vilabu barani Ulaya. Mchezo...
6 Reactions
92 Replies
4K Views
Back
Top Bottom