Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Golikipa la Caf toka Morocco liko nchini, Ally Salim yuko on fire, Aishi Manula tafuta tumu nyingine, otherwise unaenda kuwa kipa namba tatu pale Msimbazi.
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Leo tumeshinda kwa mikwaju ya penati lakini ukweli lazima usemwe, timu yetu haichezi mpira unaovutia, ni ukweli usiopingika kuwa kikosi chetu kina watu wa kazi hasa ambao wana uwezo wa kuleta...
18 Reactions
88 Replies
6K Views
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!. Hutaki au unataka huo ndiyo ukweli, kama ni sumu nendeni mkakoroge mnywe kama hamtotaka maumivu kwa miaka 8 ijayo. Simba haiwezi kamwe kuchukua ubingwa...
14 Reactions
69 Replies
4K Views
Weka ubashiri wako hapa nani ataibuka mshindi. Ubashiri wangu Simba 2- Yanga 0 Wafungaji ni Konde Boy & Baleke
5 Reactions
40 Replies
4K Views
Ni aibu kwa timu kubwa kama Yanga kupiga kelele kila inapofungwa na SIMBA mbona Simba hailalamiki ikifungwa na Yanga? Tatizo kubwa la Yanga ni mashabiki zake kuingia Uwanjani na matokeo na pia...
7 Reactions
8 Replies
960 Views
Mechi ya jana simba walielemewa kila upande dakika zote tisini Kipa wa simba alikuwa busy dakika zote tisini hakuna kupumzika Kipa wa Yanga muda mwingi hakuwa na kazi a relax muda wote wa dakika...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
SIMBA HATUNA KOCHA Ameandika mwanachama wa Simba SC na Mayor mstaafu Boniface Jacob ✍️ "1. Simba hatuna kocha ... 2. Tunasajili halafu tunaogopa kutumia wachezaji wazuri tunaweka walewale...
5 Reactions
20 Replies
2K Views
Ndugu wanalunyasi wenzangu, kwa pira lile la jana, yaani pira mawazo, wasiwasi, mashaka, bora liende, hemweluhemwelu, raha hakuna, pira dakika ziishe hatujazoea jamani. Huyu Kocha ananini na...
13 Reactions
24 Replies
2K Views
Hoja kuwa Ally Salim alicheza faulo wakati wa kudaka mishale ya penati nimesikiliza kwa makini na kubaini wanaojadili hoja hizo ingawa watu wanawaita watu wa mpira, mm nimewapuuza na kuwapachika...
7 Reactions
7 Replies
1K Views
Ni ngumu sana kutofautisha soka la bongo na uchawi. Kwenye Vilinge vya uchawi kwenye mpira wa bongo huwaga kuna msemo "Hii mechi imechezwa na mtu fulani" au " imechezwa na tawi fulani". Maana...
2 Reactions
39 Replies
2K Views
Simba wakichukuwa kombe ili mbele ya yanga hii wazee wa speed mniite mbwa nimekaa hapa [emoji575]
2 Reactions
20 Replies
1K Views
[emoji390] ›› '𝙈𝘽𝙄𝙉𝙐 𝙃𝙄𝙄 𝙉𝙄 𝙃𝘼𝙍𝘼𝙈𝙐' Ameandika mchambuzi Jemedari Said [emoji3578] "Nawapongeza Simba SC kwa kutwaa ngao ya jamii, nampongeza kijana wangu, Ally Salim kwa kuzuia penati (3) ni...
6 Reactions
37 Replies
4K Views
Kwa ufupi huu sio utabiri isipokuwa nimeita utabiri kutokana na dhana ilivyo kwa sasa ,hasa kipindi hiki cha betting nikiwa naandika uzi huu hivi sasa ni saa 11 Na dakika 7 jioni, mechi ya simba...
3 Reactions
43 Replies
4K Views
Yanga haina uwezo wa kucheza vizuri zaidi kuliko ilivyocheza jana. Hapo ndipo ilipoishia!. Lakini Simba bado itaongeza makali, bado haijafika kwenye top form yake. Kwa maana hiyo itakapofikia top...
8 Reactions
26 Replies
2K Views
Ukisikia penye miti hakuna wajenzi ndo hii ligi yetu ya bongo. Sijui marefa wamesomea wapi? Sishangai sana maana hata mechi za.kimataifa huwa hawaitwi. Ni ueledi mdogo..milungura au huwa...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kutoka kwa Mchambuzi wa kituo cha Wasafi FM Eddo Kumwembe. Ahhhh ndio maana kila siku napoteza mapenzi na huu mchezo. Mchezo umekuwa laini sana well, nasikia hii ya kwamba kipa wa Simba Ally...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
UNAPOANDIKA kitabu kinachohusu klabu ya Simba. Utaandika mwanzo, katikati, kisha kuna hizi kurasa za mwisho mwisho. Namaanisha hizi zama zetu za sasa. Utaandika sifa za baadhi za wachezaji...
7 Reactions
14 Replies
2K Views
Wengi wanaamini upigaji penati ni bahati zaidi ya ufundi ila mimi napingana na hiyo dhana. Nikiwa mtu niliyecheza mchezo huu wa football kwa kiwango kikubwa sana katika nafasi tofauti uwanjani na...
2 Reactions
29 Replies
4K Views
Timu inapiga pasi za maana, inatengeneza nafasi za kufunga, wanafunga magoli mazuri na yakuvutia (ndani ya dk 90). Yanga wanapaswa kuiga hii, vinginevyo watapotea
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Hongera mnyama kwa kushinda kombe la ngao ya jamii kwa msimu huu wa 2023/2024 Pole Singida Fountain kwa kupokea kipigo kitakatifu bila huruma.Japo mlionesha kuimarika hasa beki Onyango ni kama...
5 Reactions
43 Replies
4K Views
Back
Top Bottom