Habari wanamichezo.
Nimeangalia mechi 2 za Simba SC. Simba vs Singida na Simba vs Yanga.
Timu ya Simba ina mapangufu katika nafasi hizi:-
1. Golikipa.
2. Beki wa kushoto "left back".
3. Beki...
Na
NALIA NGWENA
Hakuna shabiki yoyote Yule duniani mwenye furaha yakushiriki michuano Fulani pasipo na mafanikio yoyote, Bali kila shabiki ana matamanio yakupata mafanikio haswa yakubeba kombe...
Kuna habari zinazagaa hapa Tanga muda huu kuwa Klabu ya YANGA huenda ikapata RUFAA Usiku huu Kupinga Ushindi wa SIMBA leo.
Sababu za Kupinga ni SIMBA kumchezesha CHAMA ktk Mchezo huo.
Ngoja...
CR7 kuonyesha kuwa aliwapania Al Hilal kwenye Michuano ya King Salman Clubs Cup kawapiga zote mbili mpaka Filimbi ya mwisho Al Nassr wanatawazwa Machampioni.
FT' matokeo katika mchezo huo...
Ally Salum ameweka record mbele ya kipa aliyepewa kila aina ya sifa lakini hata hivyo amekwama kwa kutobolewa vitatu huku kipa wa Simba akizuia mikwaju mitatu ya moto.
Tunzeni record hii
Si Mara ya kwanza kwa waamuzi nchini Tanzania kulalamikiwa kwa maamuzi mabovu Tena ya wazi kabisa
Achana na mechi ya Jana ambayo golikipa alifanya ya kuyafanya Tena refa alikuwa jirani kabisa...
Karibu kwenye kilele cha Wiki ya Simba.
Karibu kwenye Simba Day, Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Hii ni siku muhimu kwa Klabu ya Simba na wapenda michezo wote nchini Tanzania...
Wasalaam wana jf
Kwanza nianze kwa kuwapongeza wanafainali wote wa ngao ya jamii 2023 kwa kufanikiwa kucheza fainali.
Pili niwapongezea tena simba sc kwa kufanikiwa kushinda ngao ya jamii mwaka...
Habari wanaJf
Katika kufuatilia aina ya uchezaji wa hawa wachezaji wawili Onana wa Simba na Skudu wa Yanga kwa mechi mbili walizocheza kwa maana zile za utambulisho wa wachezaji na ngao ya jamii...
Kesho Tanga kuna mchezo wa watani jadi Simba dhidi ya Yanga lakini naona huu mchezo umedorora hamna shamra shamra na mtaani watu hawazungumzii hili tukio kubwa la kimichezo la kesho
TFF imeweka...
Licha ya kutajwa mara kadhaa kuwa anaweza kurejea Barcelona lakini inavyoonekana Neymar ataweza kuwa mchezaji wa Al-Hilal ya Saudi Arabia siku chache zijazo.
Mshambuliaji huyo wa PSG amekuwa...
Hongera kwa uahindi mtani. Lakini ukajitafakari kucheza dakika 180 bila kufunga goli. Kwenye ligi utatakiwa kufunga ili uwe boingwa, huko hakuna penati za kuamua mshindi
......Ubora wa Okwi, Chama na Wawa
Hakika hawa Wangekuwa Watanzania Tungeenda AFCON kiulaini Sana.
..Simba SC kuifunga Mbambane Goals 8-1 Si kitu cha kawaida.....What a performance? What a...
ALLY SALIM Bwana Mdogo tu lakini shoo zake za kibabe alafu hajiiti skrini protekta wala mdaka nchale.
Mayele na vishuti vyake aliishia kung'oa majicho.
Hilo halina ubishi kabisa, na lisipotolewa macho tusije kushangaa fainali zote zikaishia tanga ili bwana mkubwa afurahi yeye na moyo wake.
Huu ni upendeleo wa hali ya juu angalia mkoa Kama songea...
Simba sc mnyama hatari kafanya yake leo, na ndiyo timu kubwa zinavyobeba makombe.
Eti oooh tumeupiga mwingi, sasa kama umecheza vizuri umeshindwa vipi kufunga magoli, ukweli usemwe leo simba...
Wasalaam wana jf
Kwanza nianze kwa kuwapongeza wanafainali wote wa ngao ya jamii 2023 kwa kufanikiwa kucheza fainali.
Pili niwapongezea tena simba sc kwa kufanikiwa kushinda ngao ya jamii mwaka...
Siyo tunafungwa Goli 10 au 17 na Wydad Casablanca FC Siku ya Jumamosi tarehe 29 April, 2023 huko Kwao nchini Morocco halafu tunaanza Kumchukia na Kumlaumu Kipa Wetu Kinda ambaye nimembatiza rasmi...
Tarehe imewadia, Klabu za Yanga na Azam hapa nchini zinaenda kukiwasha Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, jiji lenye raha yake, waja leo waondoka leo.
Kikosi cha Yanga kina nyota tishio wapya kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.