Kufuatia mastaa wengi kwenda kucheza ligi ya Saudia huko Uarabuni wakiwemo Cristiano Ronaldo, Sadio Mane, Bobby Firmino, Riyad Mahrez na wengineo wengi, hatimaye Azam Media wameamua kurusha ligi...
Mpira sio mchezo wa kificho, winga Micquison, winga Onana, chini fabrice ngoma, juu chama, tisa Baleke au Chilunda, kumi Saido, kama mpira una uchawi sawa lakini kosi hili kesho mtatoa t hakuna namna.
Wakati Ngao ya jamii inaanza Yanga Singida walikuwa kambi moja na kufanya mazoezi pamoja.
Hii ni match fixing kama zingine tu. Je, kwenye ligi wanapokutana lazima Singida waachie, ndo maana mechi...
Muda mfupi baada ya Mwekezaji wa Simba SC, Mo Dewji kuchapisha ujumbe kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akidai kutoa karibu bilioni 3 kwenye usajili wa msimu huu aliyekuwa CEO wa klabu...
Kila siku mnatamba kuwa tunaitaka Simba, tunaitaka Simba, Simba hii ya Fabrice Ngoma, Chama, Saido, Micquisone, Onana, Kramo, Kibu Denga mtakoma na hamtarudia tena kuomba mechi na Simba.
Leo...
Kwa kawaida charity show yeyote ni kukusanya hela kwa ajili ya kutoa msaada either wasiojiweza, watoto yatima, elimu au matumizi yeyote ya bure kwa jamii flani.
Hivi TFF wanatimiza hili lengo? Au...
Kuna rafiki yangu alikuwa anamiliki gazeti la michezo wakati fulani. Rafiki yangu huyu alinipa Siri ni Kwa vyombo vya habari huwa vinaipaisha sana Yanga.
Alisema kuwa mashabiki Wa Simba si...
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Karia ndo Rais bora zaid wa TFF kuwahi kutokea, ubora unapimwa na mafanikio, hakuna Rais wa TFF anayefikia mafanikio ya Karia.
Kuanzia thamani ya ligi kwasasa...
Wala hauhitaji kuwa na elimu ya uchunguzi kujua kwanini TFF ya Karia inalazimisha kutumia waamuzi wa kike wasio na uwezo kuchezedha mechi kubwa na ngumu.
Jibu ni moja tu, TFF wameamua rasmi kuwa...
Ile Gemu pale Nyamagana Agosti 10, 1974, Yanga ilikuwa imefungwa lakini kutokana na kubebwa na Refa Manyoto Ndimbo ikaibuka na ushindi wa mchongo wa 2-1.
Amina kafanya makosa ya kibinadamu tu...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu akizungumza Kwenye Bonanza la Uzinduzi wa Michezo ya SHIMIWI katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma, tarehe 12 Agosti, 2023.
Naam, mlio karibu na kocha juma mgunda naomba mumuonyeshe mawazo na fikra sahihi yaliyoandikwa na the great thinker NALIA NGWENA.
Ndiyoo ukweli mchungu lakini pia ni tiba kwa mtu mwelevu na...
Kauli hiyo inafuatia Winga kutoka Algeria, Riyad Mahrez kujiunga na Al-Ahli ambapo Pep ameeleza kuwa uwekezaji wa Matajiri hao wa Mafuta unaolenga kujenga Ligi ya kipekee huko Uarabuni unaleta...
Mpaka Sasa sijapata majibu kwa hili ninaloliona hapa katika mpira wetu hapa Tanzania.
Nijuavyo Mimi katika ngao ya jamii ilipaswa mshindi wa kombe la ligi na mshindi wa kombe la FA ndiyo wakutane...
Kuna watu kweli akili zao sijui kama Zina weza kufikiria vyema hasa katika kipindi hiki kigumu na Cha mpito
Tanga wameangalia mechi 2 mfululizo kwa KIINGILIO Cha elfu 10 na kuendelea .tena ndani...
Dirisha la usajili Ligi Kuu kubwa Ulaya linatarajiwa kufungwa Saa 5:59 Usiku wa Septemba 1, 2023, kuna taarifa nyingi kuhusu usajili, hizi ni baadhi
Chelsea ina nafasi kubwa ya kumsajili kiungo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.