Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kwa wataalam wa ndondi hebu mtusaidie hili, Mandonga alipigana wiki mbili zilizopita nchini Kenya akapigwa TKO lakini leo Tena amepigana pale mwanza akapigwa Tena kwa KO yaani ndani ya mwezi...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Nimemaliza Sina mengi viongozi wa Simba dharau ndio Zinawaponza mara zote ! Mfano benno ni Bora mara kumi ukimtoa Aishi na huyu wa gorilla wa yanga wengine wote hakuna wa kimfikia benno...
3 Reactions
5 Replies
948 Views
Bondia Errol Spence Jr (The truth) amefanikiwa kumtwanga vilivyo Yordenis Ugas kwa T.K.O round ya 10 na kufanikiwa kuunganisha mikanda ya WBA, WBC na IBF amebakisha mkanda mmoja tu wa WBO ambao...
3 Reactions
40 Replies
2K Views
Tangu ufunguzi wa usajili katika ligi mbalimbali duniani SAUDI ARABIA imeonekana ndio kinara katika kunyakua saini za wachezaji wakubwa ambao waLItegemewa na kuwa kivutio kikubwa kwenye EPL...
7 Reactions
22 Replies
2K Views
Tetesi za kipa la kibrazil kutua msimbazi zimenifanya nikumbuke Derjan (Mzungu) Mlete mzungu! Mlete mzungu ! Mlete mzungu!! MAONI YANGU: Kocha zolan alimleta Derjan lakini usajili wake haukuleta...
8 Reactions
32 Replies
2K Views
Jangwani Kuna tatizo! Jangwani Kuna tatizo! Jangwani Kuna tatizo! Naandika Kama shabiki mkereketwa niliyechoshwa na kelele za wachezaji Tena wachezaji ambao ni mafundi haswaa wa mpira Nani...
13 Reactions
38 Replies
3K Views
Hizo offer zinazotolewa ni kubwa mno, zaidi hata ya Luis Miquison! Je unaonaje auzwe halafu Miquison arudi au aletwe mzuri zaidi. Maana Sakho hata hivyo ana mapungufu mengi tu pamoja na kuwa na...
1 Reactions
31 Replies
2K Views
Unyama mwingi tukutane simba day.
1 Reactions
3 Replies
780 Views
BREAKING NEWS: Baada ya kukamilisha uhamisho wa Bangala kutokea Yanga huenda @azamfcofficial ikampunguza kiungo wao Isah Ndala ili kutimiza idadi ya wachezaji wa kigeni (12). Taarifa zinaeleza...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Za ndaniiiiii, Mdau mmoja ambaye sitopenda kuweka jina lake hapa ambaye yuko Nchini Uturuki ananipenyezea mambo kadhaa kuhusu Mnyama, (1) Kocha hamtaki Ngoma Kocha Mkuu wa Simba Mbrazil Mzee wa...
12 Reactions
40 Replies
5K Views
Habari ndugu ZANGU. Mimi ni mdau WA soka. Na mpenzi na mdau wa Simba. Nimekuwa nikifuatilia usajili HASA WA wachezaji wa KIGENI ndani ya simba. NIMEWEZA KUYAONA MAKOSA YAFUATAYO KIUFUNDI. 1...
10 Reactions
101 Replies
11K Views
Halafu GENTAMYCINE akisema kuwa 75% ya Viongozi wa Simba SC ni Wahuni, Waswahili na Wapigaji mnakasirika. Nasisitiza Kipa Mbrazili Jefferson Luis wala hajaumia vibaya kama mlivyotuzuga bali...
8 Reactions
22 Replies
2K Views
Club ya Pyramid FC ya Misri imetangaza kumsajli Mshambuliaji wa Kimataifa wa Congo DR Fiston Kalala Mayele (29) kutokea Yanga SC ya Tanzania. Mayele anaondoka Yanga baada ya kucheza misimu miwili...
7 Reactions
58 Replies
7K Views
FT Simba 4-1 Batman Onana Bocco Saido Zimbwe
0 Reactions
3 Replies
627 Views
Habari ndio hiyo anarudi yanga dili lake la nje limebuma atabakia yanga kwa mwaka mmoja zaidi
3 Reactions
23 Replies
3K Views
Kama alikua Hana sifa Nani aliyemleta Tanzania na kumsainisha mkataba kuwa Simba sc? Nini majukumu ya head of scouting au ilikuwa ni zuga/njia nyingine ya kupiga hela? NALIA NGWENA nilipoona...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Kuna kitu gani kinaendelea huko kati ya Simba na Yanga kiasi cha kumuinua Mo Dewji na kuandika alichoandika? === Simba na Yanga ni utani sio uadui, mbona mimi nawasaidizi wakaribu ambao...
5 Reactions
16 Replies
1K Views
Jana, pale Mwanza bondia mtanzania Kiduku alipanda ulingoni kwa pambano la raundi 12 la ubingwa wa WBF. Alipambana na bondia Wellem wa Afrika ya Kusini. Wellem, akitumia jab yake ya kushoto na...
14 Reactions
31 Replies
4K Views
Sina umri mkubwa katika kufuatilia soka nje ya uwanja. Sijawahi kushuhudia mtu muongo kama huyu Haji. Sijui wenzangu mtusaidie kama aliwahi kutokea mtu muongo na mfitini kama huyu kwenye soka.
7 Reactions
29 Replies
2K Views
Sterling wamepigwa changa, Jamaa hamna kitu mule. Yani unachukua mchezaji wa Bench kwenye timu unayotaka kushindana nayo halafu utegemee kushindana nayo.
1 Reactions
31 Replies
2K Views
Back
Top Bottom